Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 260
Hata thread zetu nyingi hapa JF kwa tabaka kubwa tu la waTZ zinaonekana ni za uchochezi na zilizovuka mipaka, Muulize Dr. Nchimbi, Mh. Masha, n.k. JF Nayo Ifungwe?
Alafu ukiangalie trend ya ze Utamu ilikuwa inajikusanyia mashabiki na walikuwa wanatengeneza pass wafike golini, na golini ndio huyo waliyemfikia leo. Nasita kusema zeUtamu watakuwa na ufadhiri wa maadui zake mkuu wa kaya kisiasa, waliorecruit vijana wenye vipaji na akili kwa ajili ya kuwaisaidia kuelekea 2010. Ngoja tuone.
Juzi Juzi hapa ilipotolewa picha ya Kagisi wengi hapa mkajifanya mna data za kutuaminisha kuwa mwisho wa ile web umefika, matokeo yake imeboreshwa mara dufu, hata sisi tuwe makini kabla hatujatoa utabiri wetu tunapoteza credibility zetu.
Alafu ukiangalie trend ya ze Utamu ilikuwa inajikusanyia mashabiki na walikuwa wanatengeneza pass wafike golini, na golini ndio huyo waliyemfikia leo. Nasita kusema zeUtamu watakuwa na ufadhiri wa maadui zake mkuu wa kaya kisiasa, waliorecruit vijana wenye vipaji na akili kwa ajili ya kuwaisaidia kuelekea 2010. Ngoja tuone.
Juzi Juzi hapa ilipotolewa picha ya Kagisi wengi hapa mkajifanya mna data za kutuaminisha kuwa mwisho wa ile web umefika, matokeo yake imeboreshwa mara dufu, hata sisi tuwe makini kabla hatujatoa utabiri wetu tunapoteza credibility zetu.