Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Status
Not open for further replies.
Kuu hizo ni address za webhost na sio za utamu mwenyewe, kupata data za utamu mpaka webhost atoe ushikiano, na hilo kwa sheria za marekani ni suala gumu sana.

Ninaweza kupata hizo data mkuu nipe muda nitakupa. Nilisoma computer migombani wakati hakuna laptop wala notepad bali kuliwa na mainfremu.
 
teh teh teh wamefanya vizuri sana ili huyu mtu aadabishwe kufunua mahali pasipofunuka. Labda ndo mwisho wake kama siyo mwanzo kwa kila kigogo wa nchi.
 
yaani hata kama kumchukia m2 uwezi kutengeneza kitu kama hicho, jamii yetu ya watanzania ni asilimia chache ambao wana access ya computer na pia wapo wachache wanaoelewa kwamba kuna graphic manipulations ambazo zinaweza kutengeneza picha kama hizo, just imagine mtu akaamua kuziprint na kuzisambaza vijijini ambako hawana uelewa mzuri wa mambo ya graphics, nadhani watakuwa wanajua hicho kitendo ni cha kweli na bwana mkubwa si riziki, hizo ndio hasara kubwa za mambo ya utandawazi, ubovu sasa hakuna control maalum unakuta m2 anastudio nyumbani kwake ambayo anaweza kufanya chochote
pamoja na hayo yote nadhani inafika wakati lazima tuwe na busara na heshima kwa wakubwa (umri/cheo)
 
duh duh duh
hii si ilikuwa thread ya mwaka 2007? ina maana ze utamu bado imemuanika Muungwana? jamani jamani!!!!?
mie nimeacha kamwe kuangalia site zenye utamu wa nyegezi baada ya kuathiriwa na kujichua kutwa mara tatu. nadhani inabidi sisi binafsi kuchukua hatua.
kaaaz kweli kweli
 
Good news the image has been deleted so far. This guy is any bad thing you can call of.
Image deleted and is a weak point to what the owner used to say "freedom of speech" To be standard and fair in unfair matters he should have treated all the harassment the same and not a matter of double standard, downside thing.

Poor you zeutamu.

1st thing we must identify this anonymous owner
2nd deal according to Tanzania - Constitutional Laws
3rd make an intensive punishment that no one absolutely no one should ever repeat the maduduz
 
Mhhh unatishia mtu mzima nyau? Wewe weka wala uimwombe idhini yake


Nimepata picha zake, nimejua alisoma wapi na lini na kwa sasa anafanya kazi. Sina sababu ya kutishia sababu sioni sababu ya kufanya hivyo. Nimeomba aache upuzi wake vinginevyo nitamweka wazi hapa jf sina utani na uchafu kwani siwezi kukubali uchafu.
 
Nimepata picha zake, nimejua alisoma wapi na lini na kwa sasa anafanya kazi. Sina sababu ya kutishia sababu sioni sababu ya kufanya hivyo. Nimeomba aache upuzi wake vinginevyo nitamweka wazi hapa jf sina utani na uchafu kwani siwezi kukubali uchafu.

We dare talk openly in JF, vile vile is a home of great thinkers....sasa kama huna uthubutu kaa kimya....weka hapa tumrushie masumbwi! Hakuna anayependa uchafu, vinginevyo tutakuchukulia wewe unatafuta cheap popularity tu vile vile
 
Hivi vipi sera ya Tanzania ktk haya mambo? Maana wanafunzi/watoto wadogo wanaenda cafe analipa tu 500 anaaanza kuangalia picha mbaya!
Najua nchi kama China wana mipaka..sii kila kitu kinakubaliwa! Vipi nchi zingine za Afrika jirani kama Kenya, Malawi, SA nao wana sera gani?
Je taifa letu ninasemaje over this?
Kuna dogo alikuwa China aliwahi niambia kuwa wakiwa pale web ya hi5 hawaipati kwani imekuwa blocked,sasa nikajiuliza hivi kufanya hilo hapa bongo nalo linahitaji HOJA BINAFSI pale mjengoni???Ila naamini kwa tarumbeta walilopiga hao utamu kwa sasa,wakulu watazinduka.
 
Kinachoniudhi mimi ni hii outrage wanayoionyesha baadhi ya watu humu kwa vile tu aliyefanyiwa mbaya ni raisi. Ebo! Vipi leo muonyeshe kukasirishwa hivi wakati kila siku raia wa kawaida wanabandikwa huko utamu.

Inakuwa kama vile heshima ya raisi ni bora zaidi kuliko heshima ya watu wengine. Watu mbona hamuwaki hivi muonapo picha za akina Nsia na wengineo? Acheni unafiki wenu bana.
 
Mkuu raisi anachanguliwa na wananchi wengi na ndiye kiongozi wa serikali...ukilinganisha raisi na Nsia ama Masanilo uko nje ya mstari
 
Mkuu raisi anachanguliwa na wananchi wengi na ndiye kiongozi wa serikali...ukilinganisha raisi na Nsia ama Masanilo uko nje ya mstari

Kwa hiyo kwa mujibu wako wewe unaona kuwa utu na heshima ya raisi vina thamani zaidi ya Nsia kwa vile tu raisi kachaguliwa na watu wengi?

Well, mimi kama Ngabu ninastahili heshima kama binadamu mwingine yeyote yule regardless ya cheo au nafasi yoyote aliyonayo mtu mwingine. Heshima yangu, utu, na ubinadamu wangu ni sawasawa kabia na ule wa Kikwete, Obama, Malkia Elizabeth, Nsia, Aunty Mudy, Masanilo, Juma Kilaza na wengineo. I am not above or under anyone.
 
Kwa hiyo kwa mujibu wako wewe unaona kuwa utu na heshima ya raisi vina thamani zaidi ya Nsia kwa vile tu raisi kachaguliwa na watu wengi?

Kabisa kabisa Raisi ni mamlaka mazee, huwezi linganisha NN na JK labda kama unataka ligi!
 
Good news the image has been deleted so far. This guy is any bad thing you can call of.
wewe nawe hamnazo tu......hio ni gud news?
.....so imeondolewa web iendelee kudunda......?
 
Kabisa kabisa Raisi ni mamlaka mazee, huwezi linganisha NN na JK labda kama unataka ligi!

Sitaki ligi lakini nadhani hapo tutakubaliana kupingana bila kupigana. Heshima ya mwenye mamlaka ya madaraka haiizidi heshima yangu mimi kama raia wa kawaida ninayestahili kutendewa kwa heshima na kuwatendea kwa heshima binadamu wengine kama mimi.
 
acheni double standard....
kama unakaa nchi za ulaya utaona hayo ni mambo ya kawaida picha zinachezewa marais/ waziri wa kuu wanakuwa vituko. wengi wenu humu mtakuwa mmeona picha za kina bush mara akiwa mwanamke mkafuraia na mkazani haitafika TZ.
hamna kitu muhimu kama uhuru....
wakiwakamata wenye zeutamu kwa tabia mbaya kesho itakuwa zamu
ya JF na kuwaita ma terrorist

MOD naomba urekebishe hicho kichwa cha habari kwa ajili kina majungu kwa zeutamu. hata kama zeutamu hawaandiki maadili mema lakini JF haitakiwi kushabikia kufungwa au kutokuwepo kwa zeutamu.

mimi sifurahii hiyo picha lakini hawa viongozi wetu huwa wananyanganya watu wanawake zao na kuwafukuza kazi ambacho hicho ni kitendo cha unyama kulikoni hiyo picha iliyogeuzwa.

Hata kama kuna sehemu mhe. Rais kashindwa siyo jambo zuri kufika hapa

hiyo picha ni kitu kidogo sana wala haininyimi usingizi na wala simuonei huruma kiongozi yeyote wa ngazi za juu atayefanyiwa hivi, mateso tunayopata kutokana na epa, richmond, radar, watu kufungwa pasipo hatia yanatosha na wao lazima wajue uchungu wa wananchi
 
Naona picha imetengenezwa na kubandikwa pale hiyo sasa zeutamu wanakosa heshima na maadili hata kama wanasema ukweli kwa vingine watu wajirekebishe kwa kile walichoonyesha kwa raisi sasa huo ukweli wao wote kama kuna ambao walikuwa wanauamini sidhani kama leo wataendelea tena na hadidhi zile zile -- kuna aina ya kufanya marketing ya tovuti la blogu lakini njia hii sio halali ni haramu na inachafua kabisa maadili ya tovuti au blogu husika

kuna aina ya kushinda uchaguzi lakini sio epa kwa ajili inachafua kabisa sura ya rais na uhalali wake....
rais keshajichafua mwenyewe na epa na sio zeutamu
 
Last edited:
acheni double standard....
kama unakaa nchi za ulaya utaona hayo ni mambo ya kawaida picha zinachezewa marais/ waziri wa kuu wanakuwa vituko. wengi wenu humu mtakuwa mmeona picha za kina bush mara akiwa mwanamke mkafuraia na mkazani haitafika TZ.
hamna kitu muhimu kama uhuru....
wakiwakamata wenye zeutamu kwa tabia mbaya kesho itakuwa zamu
ya JF na kuwaita ma terrorist

MOD naomba urekebishe hicho kichwa cha habari kwa ajili kina majungu kwa zeutamu. hata kama zeutamu hawaandiki maadili mema lakini JF haitakiwi kushabikia kufungwa au kutokuwepo kwa zeutamu.

mimi sifurahii hiyo picha lakini hawa viongozi wetu huwa wananyanganya watu wanawake zao na kuwafukuza kazi ambacho hicho ni kitendo cha unyama kulikoni hiyo picha iliyogeuzwa.



hiyo picha ni kitu kidogo sana wala haininyimi usingizi na wala simuonei huruma kiongozi yeyote wa ngazi za juu atayefanyiwa hivi, mateso tunayopata kutokana na epa, richmond, radar, watu kufungwa pasipo hatia yanatosha na wao lazima wajue uchungu wa wananchi
huwa napenda watu wanaofikiria nje ya box......kula tano mzee wa kremlin
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom