Kitendo cha ze utamu kumchafua kiongozi wa nchi hakikubaliki.kwa mara ya kwanza nimeangalia web hiyo baada ya kuambiwa na rafiki zangu.ni upuuzi usiokubalika na nadhani ni wakati muafaka watanzania tukatae udhalilishaji huu.
Nina imani state resources zitatafuta namna ya kukomesha upuuzi huu.
Nina imani state resources zitatafuta namna ya kukomesha upuuzi huu.