Mbogela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2008
- 1,384
- 260
Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why?
haya Sasa yamekuwa hayo? Inanikumbusha ile hadithi ya Heri Mimi sijasema, Mchawi atapatikana kweli?
Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why?
Ahaaaa, sasa napata picha kwa nini Mwanakijiji na Mwafrika wa kike walijishaua kipindi kileeeee, kwamba wameahirisha kuziweka picha hadharani.
Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why? Kwanza una chuki binafsi na CCM, na vile JK ni CCM, na kila siku hapa unamchafua mara kumuita fisadi, terrorist na kadhalika, bado umeona haitoshi. Ukijua wazi 2010 ndiyo hiyoooo, umeamua kumdhalilisha Baba wa watu kwa hizi picha ulizotengeneza na kuzitunza tangu kipindi kileee, ili kumchafua kwamba muoneni Raisi wenu! Ukoje lakini wewe Mwanakijiji jamani?
Kila siku kujifanya wewe unauchungu sana na Tanzania kuliko wengine, Bongo yenyewe huji kuona iko vipi tangu uondoke miaka ileee, kulalamika tu CCM, sijui nani na nani, as if wewe uko safi.
Sijapenda ulivyofanya. You really need to convice me kwamba huhusiki which I won't buy it anyway. Kwa nini hukuitoa kipindi kile, eti mwenyewe ukaitunza kufikiri tumesahau, leo na wewe unajishaua. Grrrrrrrr. Unafiki mbaya sana.
Nenda bana kaitoe hiyo picha. Ni wewe umezituma kwa zeUtamu, zile ulizozitunza kipindi kileee, nitajaribu kuzitafuta Post zenu na Mwanamke wa kike sijui wa kiafrika, whatever the name. You didnot play smart this time Mwanakijiji.
Eti na wewe upo hapa kuchangia kulaani, come on old man! You lost big time kupigia Kampeni JF.
Members waliojiunga siku nyingi kisha wana post chache(relatively) huwa nakisoma walichokiandika wit a HIGHLY cautious mind.Maana huwa wakija kuchangia basi wana lao jambo,au huwa ni reserve id mahsusi kwa ajili ya kusemea yale ambayo kwa status ya id zao wazitumiazo frequently hawawezi kuyasema.Watch out!Ahaaaa, sasa napata picha kwa nini Mwanakijiji na Mwafrika wa kike walijishaua kipindi kileeeee, kwamba wameahirisha kuziweka picha hadharani.
Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why? Kwanza una chuki binafsi na CCM, na vile JK ni CCM, na kila siku hapa unamchafua mara kumuita fisadi, terrorist na kadhalika, bado umeona haitoshi. Ukijua wazi 2010 ndiyo hiyoooo, umeamua kumdhalilisha Baba wa watu kwa hizi picha ulizotengeneza na kuzitunza tangu kipindi kileee, ili kumchafua kwamba muoneni Raisi wenu! Ukoje lakini wewe Mwanakijiji jamani?
Kila siku kujifanya wewe unauchungu sana na Tanzania kuliko wengine, Bongo yenyewe huji kuona iko vipi tangu uondoke miaka ileee, kulalamika tu CCM, sijui nani na nani, as if wewe uko safi.
Sijapenda ulivyofanya. You really need to convice me kwamba huhusiki which I won't buy it anyway. Kwa nini hukuitoa kipindi kile, eti mwenyewe ukaitunza kufikiri tumesahau, leo na wewe unajishaua. Grrrrrrrr. Unafiki mbaya sana.
Nenda bana kaitoe hiyo picha. Ni wewe umezituma kwa zeUtamu, zile ulizozitunza kipindi kileee, nitajaribu kuzitafuta Post zenu na Mwanamke wa kike sijui wa kiafrika, whatever the name. You didnot play smart this time Mwanakijiji.
Eti na wewe upo hapa kuchangia kulaani, come on old man! You lost big time kupigia Kampeni JF.
Members waliojiunga siku nyingi kisha wana post chache(relatively) huwa nakisoma walichokiandika wit a HIGHLY cautious mind.Maana huwa wakija kuchangia basi wana lao jambo,au huwa ni reserve id mahsusi kwa ajili ya kusemea yale ambayo kwa status ya id zao wazitumiazo frequently hawawezi kuyasema.Watch out!
hujamuelewa nini mercy? kama unakumbuka mwaka juzi mwanakijiji huyu huyu wa JF na mwafrika wa kike walikuja hapa na kusema wana picha za muungwana jk akiwa hotelin anakula maraha na kimwana.......wakafanya mpaka server ikaenda down....Wewe dada mbona ajenda yako hapa haieleweki. Watu tumekaa kimya comment kwenye maudhui ya hiyo picha, unawatafuta wachangiaji au? Unajua undani wa hiyo picha kuwekwa hapo? Unaanza kuihusisha na chuki binafsi za CCM? Au na usafi wa vitendo vya mhusika mwenyewe? Unazo data ama? Hizo za Mwanakijiji unazo? Ziweke bayana hapa tafadhali, usimwogope yeyote.
Yep...mtu uko mwanachama tokea 2006 halafu unamabdandiko 9 au 10....hahahahahaaa...something ain't right with that picture
NN,Yep...mtu uko mwanachama tokea 2006 halafu unamabdandiko 9 au 10....hahahahahaaa...something ain't right with that picture
hujamuelewa nini mercy? kama unakumbuka mwaka juzi mwanakijiji huyu huyu wa JF na mwafrika wa kike walikuja hapa na kusema wana picha za muungwana jk akiwa hotelin anakula maraha na kimwana.......wakafanya mpaka server ikaenda down....
......haya connect na mengine
Oh!hujamuelewa nini mercy? kama unakumbuka mwaka juzi mwanakijiji huyu huyu wa JF na mwafrika wa kike walikuja hapa na kusema wana picha za muungwana jk akiwa hotelin anakula maraha na kimwana.......wakafanya mpaka server ikaenda down....
......haya connect na mengine
Ahaaaa, sasa napata picha kwa nini Mwanakijiji na Mwafrika wa kike walijishaua kipindi kileeeee, kwamba wameahirisha kuziweka picha hadharani.
Mwanakijiji it's pity kwamba i have to connect you with this scandal kwa 95% you know why? Kwanza una chuki binafsi na CCM, na vile JK ni CCM, na kila siku hapa unamchafua mara kumuita fisadi, terrorist na kadhalika, bado umeona haitoshi. Ukijua wazi 2010 ndiyo hiyoooo, umeamua kumdhalilisha Baba wa watu kwa hizi picha ulizotengeneza na kuzitunza tangu kipindi kileee, ili kumchafua kwamba muoneni Raisi wenu! Ukoje lakini wewe Mwanakijiji jamani?
Kila siku kujifanya wewe unauchungu sana na Tanzania kuliko wengine, Bongo yenyewe huji kuona iko vipi tangu uondoke miaka ileee, kulalamika tu CCM, sijui nani na nani, as if wewe uko safi.
Sijapenda ulivyofanya. You really need to convice me kwamba huhusiki which I won't buy it anyway. Kwa nini hukuitoa kipindi kile, eti mwenyewe ukaitunza kufikiri tumesahau, leo na wewe unajishaua. Grrrrrrrr. Unafiki mbaya sana.
Nenda bana kaitoe hiyo picha. Ni wewe umezituma kwa zeUtamu, zile ulizozitunza kipindi kileee, nitajaribu kuzitafuta Post zenu na Mwanamke wa kike sijui wa kiafrika, whatever the name. You didnot play smart this time Mwanakijiji.
Eti na wewe upo hapa kuchangia kulaani, come on old man! You lost big time kupigia Kampeni JF.
Nimepata picha zake, nimejua alisoma wapi na lini na kwa sasa anafanya kazi. Sina sababu ya kutishia sababu sioni sababu ya kufanya hivyo. Nimeomba aache upuzi wake vinginevyo nitamweka wazi hapa jf sina utani na uchafu kwani siwezi kukubali uchafu.
hujamuelewa nini mercy? kama unakumbuka mwaka juzi mwanakijiji huyu huyu wa JF na mwafrika wa kike walikuja hapa na kusema wana picha za muungwana jk akiwa hotelin anakula maraha na kimwana.......wakafanya mpaka server ikaenda down....
......haya connect na mengine
tehe tehe tehe hayo ya yeye kapost kule sijui mkuu.....Tuko hatua chacvhe kufikia conclusion kuwa Mwanakijiji ndiye aliyepost picha ile huko zeutamu
shem umetukana nakuazishia thread.....NL
Achana na Mercy ni aka ya ....
NL
Achana na Mercy ni aka ya ....
kama una mfahamu ni bora umuweke wazi ili hatua husika zifuatwe, sio kumtisha huyo bwana/bibi, kama kutishwa keshatishwa sana na kwa kweli kilichobaki ni kuchukuliwa hatua tu
watu wengi wamearibiwa malengo na matumaini yao kupitia huo mtandao kwa kweli inafikia hatua ukikorofishana na m2 tu unakuwa na wasiwasi mikubwa kwamaba muda si mrefu nawe utatundikwa hewani na maneno ya kashfa zisizokuwa na mipaka
cha muhimu ni kumuweka hadharani
Tuko hatua chacvhe kufikia conclusion kuwa Mwanakijiji ndiye aliyepost picha ile huko zeutamu