Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Je tuhahitaji tena Ze Utamu?

Status
Not open for further replies.
Eti eeeehh! aache unafiki sasa...anonymous over anonymous ndo nini sasa.....si angeingia na hiyo a.k.a yake mkuu?

Sasa kaka na wewe tena....mbona unafail kutalk openly? a.k.a .....? nani?

Moja ya bylaws za JF ni kutohusisha majina ...naogopa rungu la kuwa banned!
 
Moja ya bylaws za JF ni kutohusisha majina ...naogopa rungu la kuwa banned!

Kaka si utataja a.k.a anonymous.....sio original? au hiyo aka ni real name?...kama ni real name ....nimekupata mkuu, lakini kama is like Next Level..we mwaga unga tu!
 
Ahahahahahahahaaaa....well...kwa bahati mbaya au nzuri mambo kama haya huwezi kuyazuia. Wangapi wamefanyiwa hivyo?

Heheheheheeee sijui mwenyewe akiiona hiyo picha atasemaje?

Atasema heheheee, kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
 
Mmefika huku..very bad!

Naona mnaimba mwana yo yo,Mlunji mwana..

Invisible..Naomba ufunge hii thread...Please...!
 
kweli hii ni double standard NN, rais kalipuliwa ze utamu tunapiga kelele, tena wakati mwingine huwa nashangaa wakati sote ni binadamu sawa rais yeye anapewa ulinzi wa kutosha huku albino kibao wanapoteza uhai pasipo kulindwa na mtu, na mara nyingi wapo akina mama kadhaa wanajifungulia kwenye foleni na wagonjwa lukuki hufia kwenye mataa wakisubiri huruma ya trafiki wakati rais yeye magari yake yanapita tena kwa kasi ya ajabu baada kusafishiwa njia, mara nyingi tu tumeshudia watu wakipigwa mateke virungu na kudhalilishwa na polisi bila hatia lakini wana kijiji pale mbeya wanaoza jela kwa kupiga tu vimawe msafara wa rais tena hata hawakumpata...JAMANI NITAACHA UNAFIKI NA KUKARIBIA KWENYE 21st CENTURY YENYE USAWA KWA BINADAMU WOTE....du na mimi nikitaka kuongea na machizi kwanza tunagonga national anthem...du double standard bwana we acha tu.
 
Mmefika huku..very bad!

Naona mnaimba mwana yo yo,Mlunji mwana..

Invisible..Naomba ufunge hii thread...Please...!

Gembe bwana wakati mwingine waniacha hoi sana! unaona work done sasa, umeishaitangaza Zeutamu vya kutosha eeehh!
 
Gembe bwana wakati mwingine waniacha hoi sana! unaona work done sasa, umeishaitangaza Zeutamu vya kutosha eeehh!

what the hell is utamu..Picha si imeshaondolewa..that is what i wnated!

Kuitangaza anitangaza Yo YO!

wakti mwingine huwa napita hapa kucheka tu..vionjo vya yoyo na vijimaneno vya watu wachache kama masanilo na Nyani Ngabu(Nyani mkubwa wa kongo) huwa nasikia Raha!

Kuna haja gani ya hii kuwepo tena?thread Closed..Tujadili mabo mengine!leo waziri mkuu kajibu nini huko Bungeni?maswali yalikuwa yapi?
 
Kuitangaza anitangaza Yo YO!

wakti mwingine huwa napita hapa kucheka tu..vionjo vya yoyo na vijimaneno vya watu wachache kama masanilo na Nyani Ngabu(Nyani mkubwa wa kongo) huwa nasikia Raha!

Huyu Yo Yo ni balaa tupu ingawa ni shem wangu!

OK Gembe nimekusoma....nafurahi pia kama vijimaneno vyetu vya kukosha, tupe credit basi kwa kutuwekea thenks kwenye mabandiko yetu, maana huwa hatutusi mtu asiyetuchokoza.

Peace and respect
 
what the hell is utamu..Picha si imeshaondolewa..that is what i wnated!

Kuitangaza anitangaza Yo YO!

wakti mwingine huwa napita hapa kucheka tu..vionjo vya yoyo na vijimaneno vya watu wachache kama masanilo na Nyani Ngabu(Nyani mkubwa wa kongo) huwa nasikia Raha!

Kuna haja gani ya hii kuwepo tena?thread Closed..Tujadili mabo mengine!leo waziri mkuu kajibu nini huko Bungeni?maswali yalikuwa yapi?


Unajidanganya au unajifurahisha nini! Picha imejaa tele palepale... au alikudanganya ameiondoa?
 
Mhhh, tupo wote humu ndani KASORO MIMI........

Currently Active Users Viewing This Thread: 135 (48 members and 87 guests)
Sikonge, B52, Bint, BINTI SAYUNI, bob, Bonnie1974, borntown, Burn, Damky, Dawson, Degauche2008, Gembe, Gozigumu, Iteitei Lya Kitee, jethro, Kaka Mdogo, Kidatu, Kijakazi, Killuminati, Lunanilo, Magehema, Mbogela, mchizi, mshiiri, MTM, mwalimu, mwanahawa, MwanajamiiOne, MyTanzania, ndumbayeye, newmzalendo, Ng'azagala, Ngorunde, Nziku, obhusegwe, rolemodel, sambah, samvande2002, semilong, Shadow, Single D, SMU, Son of Alaska, Tabu, ThinkPad, ygjunior, Zanaki
 
shem si unajua tunaelekea 2010 basi chui huwa nyiiingi mwa wapinzani wangu......

2010 kuna nini mkuu..mnaelekea huko na nani.Wee si ndiyo mzee wa ma-utamu wa JF..kila shemu ze comedi tu..it is good kuwa na watu kama wewe..Keep it up1


Hivi Picha za mkulu bado zipo?si nimesikia wamezitoa?YO YO nihakikishie hili kama bado zipo...

Nani ana namba ya salva?si ndiyo kazi yake kufuatilia mambo haya au,unaweza kuta wabunge huko dodoma wamekimbilia net kuchek picha hizi..Na kama ndiyo tunaelekea 2010 basi kazi ipo!nakumbka kipindi kile mambo ya salmin...yetu macho ila hii ya picha za mkuu imenichefua na mpaka sasa sijala

masanilio,Nimekupata Mkuu..bado unaendea na mipango yako ya kuchukua jimbo la kwenu huko au?
 

masanilo,Nimekupata Mkuu..bado unaendea na mipango yako ya kuchukua jimbo la kwenu huko au?

Kuna kazi kubwa mazee naogopa kuaibika naona Kuna muhindi anakuja juu na Masha naye anataka litetea lile jimbo, kwa kuwa mimi ni mpinzani sina namna ngoja nijaribu udiwani!
 
Kuna kazi kubwa mazee naogopa kuaibika naona Kuna muhindi anakuja juu na Masha naye anataka litetea lile jimbo, kwa kuwa mimi ni mpinzani sina namna ngoja nijaribu udiwani!

Muhindi au Mtanzania?Kwani upinzani hauwezi kushinda?ukitaka kusaidiwa mbinu za ushindi nishtue nitakupa..

Udiwani ni sawa kwa kuwa unakaribia karibu na wananchi,Ubunge utaishia kujadili EPA na mamboe ya kesi za kina Manji,kuwakaribisha Yanga Bungeni,Maximo na Ma-Miss watakofanikiwa kuiletea sifa nchi
 
Muhindi au Mtanzania?Kwani upinzani hauwezi kushinda?ukitaka kusaidiwa mbinu za ushindi nishtue nitakupa..

Udiwani ni sawa kwa kuwa unakaribia karibu na wananchi,Ubunge utaishia kujadili EPA na mamboe ya kesi za kina Manji,kuwakaribisha Yanga Bungeni,Maximo na Ma-Miss watakofanikiwa kuiletea sifa nchi

Mazee itabidi uniPM hizo mbinu...Mtanzania wa kihindi maana najua ana passport mbili. Upinzani bado kuna kazi sana maana nitakuwa napingana na polisi, magereza, UwT, na nguvu za giza. Maana sera yangu kubwa ni kushirikisha wananchi katika kugawana umasikini, sintoweza kupata mil 7 kwa mwezi na kutembelea VX wakati walionipigia kura wanasurvive kwa mlo mmoja. Sintonunua wapiga kura kwa pilau na Tshirt wala kanga. Sintohamishia makazi yangu Dar, nitapenda kushiriki nao shughuli za kuzalisha mali pamoja kama uvuvi, kufyatua tofari pamoja na kuwa nao karibu....sitegemei kutoa hata shillingi moja kununua kura. hizi ni baadhi ya sera zangu kwa kweli nikiwa mbunge nitakuwa wa aina yake Tanzania na Africa
 
2010 kuna nini mkuu..mnaelekea huko na nani.Wee si ndiyo mzee wa ma-utamu wa JF..kila shemu ze comedi tu..it is good kuwa na watu kama wewe..Keep it up1


Hivi Picha za mkulu bado zipo?si nimesikia wamezitoa?YO YO nihakikishie hili kama bado zipo...

Nani ana namba ya salva?si ndiyo kazi yake kufuatilia mambo haya au,unaweza kuta wabunge huko dodoma wamekimbilia net kuchek picha hizi..Na kama ndiyo tunaelekea 2010 basi kazi ipo!nakumbka kipindi kile mambo ya salmin...yetu macho ila hii ya picha za mkuu imenichefua na mpaka sasa sijala

masanilio,Nimekupata Mkuu..bado unaendea na mipango yako ya kuchukua jimbo la kwenu huko au?
muulize huy huyo auliesikia kwake......usisingizie picha nenda kale ulipanga kutingishia free leo....
 
Mazee itabidi uniPM hizo mbinu...Mtanzania wa kihindi maana najua ana passport mbili. Upinzani bado kuna kazi sana maana nitakuwa napingana na polisi, magereza, UwT, na nguvu za giza. Maana sera yangu kubwa ni kushirikisha wananchi katika kugawana umasikini, sintoweza kupata mil 7 kwa mwezi na kutembelea VX wakati walionipigia kura wanasurvive kwa mlo mmoja. Sintonunua wapiga kura kwa pilau na Tshirt wala kanga. Sintohamishia makazi yangu Dar, nitapenda kushiriki nao shughuli za kuzalisha mali pamoja kama uvuvi, kufyatua tofari pamoja na kuwa nao karibu....sitegemei kutoa hata shillingi moja kununua kura. hizi ni baadhi ya sera zangu kwa kweli nikiwa mbunge nitakuwa wa aina yake Tanzania na Africa
tehe tehe shem unajua kiswahili kimekua sana siku hizi......unajua maana ya hilo neno siku hizi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom