Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Eti eeeehh! aache unafiki sasa...anonymous over anonymous ndo nini sasa.....si angeingia na hiyo a.k.a yake mkuu?
Sasa kaka na wewe tena....mbona unafail kutalk openly? a.k.a .....? nani?
Moja ya bylaws za JF ni kutohusisha majina ...naogopa rungu la kuwa banned!