Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Jana nilipata ujumbe wa simu toka kwa Mpwa wangu ambaye yuko chuo kikuu cha dar es salaa,Safari hii alikuwa akiniambia jambo la kusikitisha. Aliniandikia kuwa ile tovuti al maarufu ze utamu kuwa wamemtoa mhe rais kwa picha mbaya isiyo na heshima katika jamii, Na kwa haraka sana mie nilienda kuchungulia kujua nini kilichomo na kukuta mambo ya jabu na kinyume na maadili ya kitanzania.
Nilisikitika sana na kwa haraka zaidi nikawasiliana na mzee Mwanakijiji na Invisible kuonesha kusikitishwa kwangu kwa jambo hilo, Hata kama kuna sehemu mhe. Rais kashindwa siyo jambo zuri kufika hapa
Kumkosea heshima na kumdharirisha mhe rais mie naona ni utovu wa niahdnamu na kukosa maadili.
Nimefikira sana juu ya jambo hili na sas anaomba mnipe ushauri wa nini cha kufanya ili tuiomeshe tabia hii na ninavyoona naona hatuihitaji tovuti hii.No way!
Nampa pole Mheshimiwa Rais na Familia nzima ya mkuu wa nchi na naomba vyombo vya sheria vichukue jukumu lake kufuatilia ni nani alifanya jambo hilo!
It is so sad and am very angry about this
Jana nilipata ujumbe wa simu toka kwa Mpwa wangu ambaye yuko chuo kikuu cha dar es salaa,Safari hii alikuwa akiniambia jambo la kusikitisha. Aliniandikia kuwa ile tovuti al maarufu ze utamu kuwa wamemtoa mhe rais kwa picha mbaya isiyo na heshima katika jamii, Na kwa haraka sana mie nilienda kuchungulia kujua nini kilichomo na kukuta mambo ya jabu na kinyume na maadili ya kitanzania.
Nilisikitika sana na kwa haraka zaidi nikawasiliana na mzee Mwanakijiji na Invisible kuonesha kusikitishwa kwangu kwa jambo hilo, Hata kama kuna sehemu mhe. Rais kashindwa siyo jambo zuri kufika hapa
Kumkosea heshima na kumdharirisha mhe rais mie naona ni utovu wa niahdnamu na kukosa maadili.
Nimefikira sana juu ya jambo hili na sas anaomba mnipe ushauri wa nini cha kufanya ili tuiomeshe tabia hii na ninavyoona naona hatuihitaji tovuti hii.No way!
Nampa pole Mheshimiwa Rais na Familia nzima ya mkuu wa nchi na naomba vyombo vya sheria vichukue jukumu lake kufuatilia ni nani alifanya jambo hilo!
It is so sad and am very angry about this