Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,149
- 137,116
All ya grow up, mbona masela kibao tu wanatolewa kule tokea kajamba nani mpaka mawaziri wa serikali, so itakuwa president? Ile ni site ya kikubwa anayeona inamzingua aache kuitembelea.
Ni mtazamo tu.
Exactly! Mbona kuna viongozi wengine kibao tu duniani wanaofanyiwa hayo mambo? Leo kafanyiwa Kikwete imekuwa nongwa. Mimi nasema hivi, katika ulimwengu wa leo haya mambo ni vigumu kuyazuia. Leo utafunga Utamu kesho Uchungu inatokea na inakuwa mara mia zaidi ya ilivyokuwa Utamu.
Upuuzi huu hauwezi kuisha. Ndio hali halisi ya maisha ktk karne ya 21!!