Je TCRA au Mamlaka ya Tanzania wanaweza kusoma meseji za Whatsapp? Au zile za kawaida kwenye iPhone?

Great Thinkers,

Naomba kufahamu, je mamlaka yetu nchini inaweza kusoma jumbe za whatsapp? Na je zinaweza pia soma texts za sms za kawaida kwenye simu za iPhone?

Asanteni.

Una mpango wa kumpindua nani kinyemela ndugu?

Mambo yote awamu hii si hadharani mbona?
 
Whatsapp hawawezi soma msg wala kusikiliza calls yoyote!

Kwenye msg na calls za kawaida wanaweza soma na kusikiliza kwa sababu zinapitia kwa mtoa huduma (tigo,voda, airtel nk)
Asante sana. Nilikuwa na hizo hisia. Nadhani issue za privacy kwa bongo huko mna tabu sana
 
Hata mke wako anaweza kusoma msg zako zote au akajua namba zote unazowasiliana nazo and vice versa.
Wewe tu hujaamua.
 
Kuna program iliyoundwa Israel inaitwa Pegasus inadukuu kila kitu
Wakumbuka mawasiliano ya Kinana, Makamba snr na Nape yalivyodukuliwa?
Ukianza kuandika au kuongea chochote inadukuu mpaka taswira yako.
Watawaka wa nchi zote za kiimla wanatumia.
 
Back
Top Bottom