Je, TBC wameripoti taarifa za Tundu Lissu kurejea nchini? Kama wameripoti, imetoka moyoni?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Mhe. Tundu Lisu ameripoti kurejea nchini mwezi huu, hii ni habari kubwa nje na ndani ya nchi.

Swali la kujiuliza: Je, TBC wameripoti habari hii saa mbili kwenye taarifa ya habari?

Wameripoti mitandaoni? Kama awajafanya hivyo kwenye taarifa ya habari, tunaamini mfumo unasema na kutenda kile kinachowatoka midomoni?

Kama kama wameripoti kwa kiasi gani? Imetoka moyoni au ndo Bora iende?
 
Karibu nyumbani Mh. Tundu Lissu the chosen one. Mwenyezi Mungu muumba mbingu na ardhi yu pamoja nawe.
 
Mhe. Tundu Lisu ameripoti kurejea nchini mwezi huu, hii ni habari kubwa nje na ndani ya nchi.

Swali la kujiuliza: Je, TBC wameripoti habari hii saa mbili kwenye taarifa ya habari?

Wameripoti mitandaoni? Kama awajafanya hivyo kwenye taarifa ya habari, tunaamini mfumo unasema na kutenda kile kinachowatoka midomoni?

Kama kama wameripoti kwa kiasi gani? Imetoka moyoni au ndo Bora iende?
Unauliza kama imetoka moyoni mwa TBC?
 
Ukisema "Imetoka moyoni" moyo ni kiungo cha binadamu, na TBC ni taasisi, labda neno moyo kwa upande wa TBC litumike kumaanisha "Taaluma ya habari"

Kama unamaanisha mtu, maana yake chombo cha wananchi kinaendeshwa kwa utashi wa mtu, mbapo sio sawa. Press must be free
 
Mhe. Tundu Lisu ameripoti kurejea nchini mwezi huu, hii ni habari kubwa nje na ndani ya nchi.

Swali la kujiuliza: Je, TBC wameripoti habari hii saa mbili kwenye taarifa ya habari?

Wameripoti mitandaoni? Kama awajafanya hivyo kwenye taarifa ya habari, tunaamini mfumo unasema na kutenda kile kinachowatoka midomoni?

Kama kama wameripoti kwa kiasi gani? Imetoka moyoni au ndo Bora iende?
Hata Itv hawana huo ujinga
 
Mhe. Tundu Lisu ameripoti kurejea nchini mwezi huu, hii ni habari kubwa nje na ndani ya nchi.

Swali la kujiuliza: Je, TBC wameripoti habari hii saa mbili kwenye taarifa ya habari?

Wameripoti mitandaoni? Kama awajafanya hivyo kwenye taarifa ya habari, tunaamini mfumo unasema na kutenda kile kinachowatoka midomoni?

Kama kama wameripoti kwa kiasi gani? Imetoka moyoni au ndo Bora iende?
Mkuu Resilience , hiki unachokifanya hapa ni kuingilia uhuru wa vyombo vya habari kwenye kitu kinachoitwa editorial independence, newsroom zina uhuru wa kuamua ipi ni habari kwao na ipewe uzito gani, habari kuwa Lissu atarejea might be it's a big news kwa Chadema, halafu ikawa ni no news kwa TBC and TBC wakawa very right.
P
 
Tundu Lissu ni nani katika nchi hii?

Mpaka sasa yeye ni kiongozi wa Chadema tu.

Na Chadema ni chama cha siasa kama vyama vingine vilivyopo ndani ya nchi hii.

Nini umuhimu wa Tundu Lissu kwa watanzania kwa sasa?

Msitafute kick za kulazimisha!
 
Mhe. Tundu Lisu ameripoti kurejea nchini mwezi huu, hii ni habari kubwa nje na ndani ya nchi.

Swali la kujiuliza: Je, TBC wameripoti habari hii saa mbili kwenye taarifa ya habari?

Wameripoti mitandaoni? Kama awajafanya hivyo kwenye taarifa ya habari, tunaamini mfumo unasema na kutenda kile kinachowatoka midomoni?

Kama kama wameripoti kwa kiasi gani? Imetoka moyoni au ndo Bora iende?


Niwashauri tu msije kufikiri Chadema watazungumzia ndege bila ushahidi na kumkashirisha Kinana wakati katiba ya nchi kwa sasa ipo mikononi mwa Mbowe, Lissu, samia na Kinana. Watakuwa wapuuzi kuregesha hili. Kitu kimoja nawapongeza Chadema wanafikiria kwa upana wa vitu/ strategically.
 
Back
Top Bottom