Tundu Lissu na Godbless Lema Kutua nchini Tanzania kabla ya tarehe 21/01/2023

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,246
Hii ndio Taarifa mpya ambayo imepatikana leo, kwamba kwenye uzinduzi wa Mikutano ya hadhara, Makamanda hawa watakuwepo, kwa vile tayari maandalizi ya kurejea nyumbani kutoka huko waliko yanaendelea.

Chanzo: Mwananchi

Ikumbukwe kwamba watu hawa waliondoka Nchini Tanzania ili kuepuka Mauaji yaliyopangwa dhidi yao baada ya Spana kabambe walizozitoa kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020.

JamiiForums1327454580.jpg



Tundu Lissu aliondolewa Nchini kwa msaada wa Jopo zito la Mabalozi wa kigeni wakiongozwa na balozi wa Marekani nchini Tanzania, huku Godbless Lema akipita Nairobi ambako aliwekewa kinga na Serikali ya Nchi hiyo kwa Msaada wa Mwanasheria nguli Profesa Rastafarian George Wajakhoya, ambaye baadaye alikuwa Mgombea Urais wa Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika zinadokeza kwamba kama Lissu na Lema wasingepata ujasiri wa kuondoka haraka, basi Maisha yao yangekuwa Historia.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu awarudishie wema wao wale wote waliowezesha viongozi hawa kunusurika.
 
Hii ndio Taarifa mpya ambayo imepatikana leo, kwamba kwenye uzinduzi wa Mikutano ya hadhara, Makamanda hawa watakuwepo, kwa vile tayari maandalizi ya kurejea nyumbani kutoka huko waliko yanaendelea.

Chanzo: Mwananchi

Ikumbukwe kwamba watu hawa waliondoka Nchini Tanzania ili kuepuka Mauaji yaliyopangwa dhidi yao baada ya Spana kabambe walizozitoa kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020.

View attachment 2476082


Tundu Lissu aliondolewa Nchini kwa msaada wa Jopo zito la Mabalozi wa kigeni wakiongozwa na balozi wa Marekani nchini Tanzania, huku Godbless Lema akipita Nairobi ambako aliwekewa kinga na Serikali ya Nchi hiyo kwa Msaada wa Mwanasheria nguli Profesa Rastafarian George Wajakhoya, ambaye baadaye alikuwa Mgombea Urais wa Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika zinadokeza kwamba kama Lissu na Lema wasingepata ujasiri wa kuondoka haraka, basi Maisha yao yangekuwa Historia.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu awarudishie wema wao wale wote waliowezesha viongozi hawa kunusurika.
Kwani walikuwa wapii
 
Hii ndio Taarifa mpya ambayo imepatikana leo, kwamba kwenye uzinduzi wa Mikutano ya hadhara, Makamanda hawa watakuwepo, kwa vile tayari maandalizi ya kurejea nyumbani kutoka huko waliko yanaendelea.

Chanzo: Mwananchi

Ikumbukwe kwamba watu hawa waliondoka Nchini Tanzania ili kuepuka Mauaji yaliyopangwa dhidi yao baada ya Spana kabambe walizozitoa kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020.

View attachment 2476082


Tundu Lissu aliondolewa Nchini kwa msaada wa Jopo zito la Mabalozi wa kigeni wakiongozwa na balozi wa Marekani nchini Tanzania, huku Godbless Lema akipita Nairobi ambako aliwekewa kinga na Serikali ya Nchi hiyo kwa Msaada wa Mwanasheria nguli Profesa Rastafarian George Wajakhoya, ambaye baadaye alikuwa Mgombea Urais wa Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika zinadokeza kwamba kama Lissu na Lema wasingepata ujasiri wa kuondoka haraka, basi Maisha yao yangekuwa Historia.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu awarudishie wema wao wale wote waliowezesha viongozi hawa kunusurika.
Kama miaka mitano itakua haijafika, sahau hilo la Lema kurudi nchini. Siyo fala yule, hakwenda Canada Kiboya, wewe unadhani kwanini hakuhamia Nairobi au UK akaamua kwenda kule mbali?
 
Hii ndio Taarifa mpya ambayo imepatikana leo, kwamba kwenye uzinduzi wa Mikutano ya hadhara, Makamanda hawa watakuwepo, kwa vile tayari maandalizi ya kurejea nyumbani kutoka huko waliko yanaendelea.

Chanzo: Mwananchi

Ikumbukwe kwamba watu hawa waliondoka Nchini Tanzania ili kuepuka Mauaji yaliyopangwa dhidi yao baada ya Spana kabambe walizozitoa kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020.

View attachment 2476082


Tundu Lissu aliondolewa Nchini kwa msaada wa Jopo zito la Mabalozi wa kigeni wakiongozwa na balozi wa Marekani nchini Tanzania, huku Godbless Lema akipita Nairobi ambako aliwekewa kinga na Serikali ya Nchi hiyo kwa Msaada wa Mwanasheria nguli Profesa Rastafarian George Wajakhoya, ambaye baadaye alikuwa Mgombea Urais wa Kenya.

Taarifa kutoka vyanzo vya Uhakika zinadokeza kwamba kama Lissu na Lema wasingepata ujasiri wa kuondoka haraka, basi Maisha yao yangekuwa Historia.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu awarudishie wema wao wale wote waliowezesha viongozi hawa kunusurika.
Umeshaambiwa Lema anadaiwa. Aje kudaiwa upya?
 
Back
Top Bottom