Anachotafuta Lissu ni kukimbia nchi kama kawaida yake

Nesi mkunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2022
701
1,840
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.

Na Thadei Ole Mushi.

Utulivu wa Akili utakusaidia kuelewa, Mihemko, Hasira na Ukada utakufanya kutokuona jambo hili la kiuchunguzi. Christina Shusho aliwahi kuimba nyimbo ya “ Nipe Macho ya nione” akiwa na maana ya kwamba kuna mambo mengine huwezi kuyaona kwa macho ya nyama tuliyonayo.

Twende Sawa hapa.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.

Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.

:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.

Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.



Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais



2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba. Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana. Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu. Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….

4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…

5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.

6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.

Ole Mushi.
0712702602
 
Thadei ebu muacheni Lissu awapambanie, huko wengi wenu ni waimba pambio na tarab tu na miongoni mwao ni wewe

Thadei unalo nini ambalo uliwahi wafanyia watanganyika wenzako kama sio kulamba viatu vya wanaume wenzako ndani ya CCM?

Lissu ameonesha dira na njia, wote mliotaka kumuua mmeumbuka vibaya, alichokuwa akiwashauri na kuelimisheni msifanye mtaipa Tanganyika gharama imeonekana wazi.

Lissu amewazidi wote hapo Tanganyika, ebu msikilizeni awape njia sahihi acheni kushupaza shingo zenu wakati ishabainika nani anatetea maslahi ya nchi na nani yupo kwa maslahi ya tumbo lake

Lisssu ni another level Lissu sio level yenu akina Thadei wewe unaota uteuzi lakin yeye yupo kwa maslahi ya baba, mama, mkeo na watoto wako ujue ovyo sana machawa nyie
 
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.

Na Thadei Ole Mushi.

Utulivu wa Akili utakusaidia kuelewa, Mihemko, Hasira na Ukada utakufanya kutokuona jambo hili la kiuchunguzi. Christina Shusho aliwahi kuimba nyimbo ya “ Nipe Macho ya nione” akiwa na maana ya kwamba kuna mambo mengine huwezi kuyaona kwa macho ya nyama tuliyonayo.

Twende Sawa hapa.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.

Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.

:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.

Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.



Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais



2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba. Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana. Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu. Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….

4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…

5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.

6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.

Ole Mushi.
0712702602
Je hili la bandari kuuzwa kwa waarabu unalifafanuaje?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Thadei ebu muacheni Lissu awapambanie, huko wengi wenu ni waimba pambio na tarab tu na miongoni mwao ni wewe

Thadei unalo nini ambalo uliwahi wafanyia watanganyika wenzako kama sio kulamba viatu vya wanaume wenzako ndani ya CCM?

Lissu ameonesha dira na njia, wote mliotaka kumuua mmeumbuka vibaya, alichokuwa akiwashauri na kuelimisheni msifanye mtaipa Tanganyika gharama imeonekana wazi.

Lissu amewazidi wote hapo Tanganyika, ebu msikilizeni awape njia sahihi acheni kushupaza shingo zenu wakati ishabainika nani anatetea maslahi ya nchi na nani yupo kwa maslahi ya tumbo lake

Lisssu ni another level Lissu sio level yenu akina Thadei wewe unaota uteuzi lakin yeye yupo kwa maslahi ya baba, mama, mkeo na watoto wako ujue ovyo sana machawa nyie
"PThadei unalo nini ambalo uliwahi wafanyia watanganyika wenzako kama sio kulamba viatu vya wanaume wenzako ndani ya CCM?"

KWA KWELI NIMEHUZUNIKA SANA. NA NITAHUZUNIKA ZAIDI KAMA HUYU THADEI NI MWANAUME. HII IMEENDAAAA
 
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.

Na Thadei Ole Mushi.

Utulivu wa Akili utakusaidia kuelewa, Mihemko, Hasira na Ukada utakufanya kutokuona jambo hili la kiuchunguzi. Christina Shusho aliwahi kuimba nyimbo ya “ Nipe Macho ya nione” akiwa na maana ya kwamba kuna mambo mengine huwezi kuyaona kwa macho ya nyama tuliyonayo.

Twende Sawa hapa.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.

Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.

:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.

Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.



Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais



2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba. Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana. Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu. Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….

4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…

5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.

6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.

Ole Mushi.
0712702602
Mnataka kupiga tena RISASI
 
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.
Kwanini akimbie? Mnataka kumpiga risasi tena kwa sababu anawapiga za uso (kufunua ujinga, upumbavu na wizi wa viongozi wenu) huko CCM siyo? Safari hii hizo risasi mtakazo shoot, zitageuka nyuma na kuwapiga wenyewe mpaka mfe wote pumbavu zenu..!!
Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.
Kwa hiyo kwa kuwa alitenda hili☝️☝️☝️, basi ndo linampa uhalali huyo mama yenu a.k.a "nani kama mama" kufanya uhaini wa kuuza maliasili za Tanganyika Kwa waarabu wa Dubai..?

This type thinking is a stupidity of highest level...!!
Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.
Unaelewa hata maana ya maridhiano (truth & reconciliation) kweli wewe au unajiandikia tu dude? Hayo hayakuwa na hayawezi kuwa ni maridhiano. Hayo yalikuwa ni majadiliano na mazungumzo tu..

Rudi tena uandike upya article yako kuingia kwenye dictionary uangalie maana ya "reconciliation" na principles zake..
:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.
It's obvious humjui Tundu Lissu na vyanzo vyake vya mapato. Tundu Lissu ni local & international lawyer, books writer na siasa na harakati kwake iko damuni..

Na kama unadhani alitegemea posho ya ukimbizi huko Ubelgiji na wewe mwenyewe unasema keshapoteza hadhi hiyo, sasa familia yake unadai iko huko unadhani inaishije? Watoto wanaendaje shule?
Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.


Nimetazama video hii☝️☝️☝️hadi mwisho nimegundua kuwa wala hujamwelewa Tundu Lissu...

Tundu Lissu yuko clear kwa kusema kuwa, maridhiano bila hoja ya Katiba mpya na kuwaleta mbele ya sheria wote walioumiza watu na kufidia wote walioumizwa, hayo hayawezi kuwa ni maridhiano. Na hii ni kweli kabisa maana hii ndiyo principle kuu ya reconciliation. Na huu ndiyo msimamo wa freeman Mbowe - M/Kitu wa CHADEMA taifa siku zote..
Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais


Katika mkusanyiko wowote, kutokukubaliana ktk mambo mengi kupo sana tu. Hata huko CCM huwa hamkubaliani ktk mambo mengi. Mfano ulio hai ni ishu ya mkataba wa kugawa bandari za Tanganyika bure kwa waarabu wa DP World/Dubai. Kila mtu anajua huko CCM wengi hawakubaliani na uchafu huu na kwa sababu hii huko kunawaka moto ambao unaweza kuiteketeza kabisa CCM hii...
2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba.
Yes, anakosoa Kwa hoja na anaeleweka vizuri mno na hata tulizokuwa hatujui, sasa tumejua uchafu huu. Jawabu la hii ni nyie kujibu hoja maana zote msingi wake ni huo mkataba. Shida iko wapi? Ndo akimbie nchi Kwa sababu hii? Are you insane?
Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana.
Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu.
1. Mkataba huo umesainiwa na mwanasiasa (Rais Samia Suluhu Hassan). Unadhani ataongea lugha gani ili huyu mwanasiasa amwelewe?
2. Unataka amu - attack nani? Wewe? Kwani wewe ndiye uliyekwenda kwenye maonesho Dubai Expo 2022 uka - negotiate na DP World uwape bandari za Tanganyika? Si ni yeye Samia Suluhu Hassan?

So let her get what she deserves. Huyu ni mwanasiasa, amefanya kosa la kisiasa and therefore she must pay for her mistakes..!!
Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji
Ana - provoke vyombo vya dola? How exactly?

Ole Thadei Mushi, Tundu Lissu anaongea lugha ya siasa na wanasiasa. There's no provocation there. Kama unabisha, mahakama ziko wazi, waende wakutane huko na kamwe msijaribu kutumia risasi tena kikabiliana na hoja zake..!!
na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.
Hapa ☝️☝️umewaza kijinga, kitoto na kipumbavu na kuishia kuandika hivyo hivyo sawasawa na mawazo yako!!

Wewe Ina maana hujui kosa la wito wa polisi? Unafikiri no kwanini mpaka sasa wanamuangalia tu? Jibu ni rahisi sana, kuwa, wanajua kabisa kuwa HAKUNA KOSA LOLOTE LA KISHERIA..!!

Tumia akili yako vyema kufikiri kabla ya kuandika!!

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….
Very stupid thinking!

Hata Mimi familia yangu partly iko Sweden na sehemu iko hapa Tanzania. What's wrong with that? Kuna sheria imeivunjwa kwani?
4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…
Wewe ni mjinga sana kuwa na mawazo haya..!

Tundu Lissu na Samia Suluhu Hassan ni wanasiasa tena walio kwenye vyama viwili tofauti. Na si unajua lengo la Kila chama Cha siasa?

Sasa wewe unataka Tundu Lissu (CHADEMA) awe mshauri wa kisiasa wa Samia Suluhu Hassan (CCM)?

Sikiliza bwana Ole Thadei Mushi, in politics ukifanya kosa la kisiasa tegemea wapinzani wako kutumia makosa yako kukusulubu vilivyo kuhakikisha unapoteza imani na credibility Kwa umma. That's what Tundu Lissu is doing for Samia's stupid mistakes...

Nyinyi huko CCM ndiyo wapumbavu na wajinga kwa sababu mmeshindwa kum - lead mwenyekiti wenu na Rais kwenye njia salama...

How come unarusha blames Kwa Tundu Lissu??
5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.
Aah, haa haa🥱🥱🥱na hili ☝️☝️nalo ni la Tundu Lissu tena?
6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
Is it a crime to defend yourself unapotaka kushambuliwa na adui zako?

After all, that was a reality, that, Magufuli wanted to kill Tundu Lissu..

It's only a stupid person like you to think otherwise...
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.
Repetition..☝️☝️

After matusi gani hayo anayotukanwa Rais? Kuambiwa ana akili matope? Matope means, useless..

Kwa alichofanya Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mkataba wa bandari ni ujinga, upumbavu na ni akili matope kwelikweli..!!

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.
Shaurianeni hivyo hivyo huko..
Ole Mushi.
0712702602
Kwa kuacha namba tu, tunaelewa kuwa unatafuta nini. Utafuta nafasi za rushwa na upendeleo mtoto wa kiume kama u DC nk

Badala ungane na CHADEMA na Tundu Lissu upambanie mazingira bora ya kisiasa na kiuchumi kumwezesha Kila mtu kufurahia maisha ktk taifa lake, wewe unapingana na mwanamapinduzi Tundu Lissu..

Kwa heri Ole Thadei Mushi 🚶🚶🚶🚶
 
I feel ashamed to be is the same continent as these Phthiraptera / Lice / Chawa....., let alone in the same country..... hata kama sikubaliani na Lissu (ingawa kwenye hili nakubaliana nae) na hata kama ningekuwa sikubaliani nae, akubaliana na phrase

"I might disapprove of what you say but I will defend it to the death for your right to say it”
 
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.

Na Thadei Ole Mushi.

Utulivu wa Akili utakusaidia kuelewa, Mihemko, Hasira na Ukada utakufanya kutokuona jambo hili la kiuchunguzi. Christina Shusho aliwahi kuimba nyimbo ya “ Nipe Macho ya nione” akiwa na maana ya kwamba kuna mambo mengine huwezi kuyaona kwa macho ya nyama tuliyonayo.

Twende Sawa hapa.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.

Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.

:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.

Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.



Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais



2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba. Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana. Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu. Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….

4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…

5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.

6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.

Ole Mushi.
0712702602

Hiii Nchi Ina matahira Bwanaaaa, hivi Kwann nilizaliwa Tanganyika Mamaaae !!



Naumia sana kuona naishi kwenye Nchi ambayo wewe mleta Mada na maujinga yako naye unaishi humuhumu.

Yaan hoja za Lissu, unazijibu kipumbavu ,Et Political Asylum, nilikua naangalia Kwa Belgium wanalipwa Blaa blaaaa.


Kweli????

Ndio maana Mwabukusi anawaitwa Vichwa matope, wapumbavuuuu wajingaaaa
 
ANACHOTAFUTA LISU NI KUKIMBIA NCHI KAMA KAWAIDA YAKE.

Na Thadei Ole Mushi.

Utulivu wa Akili utakusaidia kuelewa, Mihemko, Hasira na Ukada utakufanya kutokuona jambo hili la kiuchunguzi. Christina Shusho aliwahi kuimba nyimbo ya “ Nipe Macho ya nione” akiwa na maana ya kwamba kuna mambo mengine huwezi kuyaona kwa macho ya nyama tuliyonayo.

Twende Sawa hapa.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani alijitahidi kwa hali na mali katika kuirejesha hali ya amani na utulivu kwa wanasiasa hasa wa Upinzani waliokuwa wamepitia masahibu mengi kwenye utawala wa awamu ya Tano. Rais Samia aliwaita Mezani waongee na kuwataka hata wale waliokuwa nje ya nchi kurejea nyumbani na kuwahakikishia ulinzi na amani kwa familia zao na wao wenyewe.

Wakati maridhiano yanaanza Mh Mbowe alishambuliwa sana ndani ya Chama chake na kiuhalisia Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano, sio kwa bahati mbaya bali yeye bibafsi na wenzake wana mahesabu ya mbali sana ambayo vijana iyena iyena hawawezi kuona hesabu hizi za Lisu na wenzake.

:IPO HIVI: Twende Taratibu bila Jazba.

Ili uweze kupata Political asylum huko nje ya nchi ni lazima nchini kwako uwe Most wanted yaani unatafutwa ili uumizwe au unakandamizwa. Lisu, Wenje, Lema na wengineo walifanikiwa kupata political asylum kwa kuwa kwa namna moja au nyingine nchini kulikuwa na matukio ambayo yaliwakandamiza wapinzani na baadhi ya watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na Shambulio la Lisu lilirahisisha sana wanasiasa wa upinzani toka Tanzania kupokelewa kirahisi sana huko nje.

Katika mazingira ya Sasa chini ya Rais Samia wakimbizi wote wa Kisiasa wanakosa uhalali wa kuendelea kuwepo katika nchi za watu na kupewa stahiki mbalimbali.

Nilikuwa naangalia kwa Belgium ambapo Lisu alikimbilia kwa mwezi hupokea Euro 1560 za matumizi tu nje ya watoto kusomeshwa bure na incetives nyingine na kwa status yake kama kiongozi wa chama cha upinzani hiyo fedha inazidi.

Kwa Rate ya leo ya Euro moja ni 2704 Tsh ukizidisha mara Euro 1560 unapata 4,218,240 kwa mwezi ambazo hizi atakuwa hafanyi kazi zaidi ya kushinda Club House na kusoma magazeti. Narudia kwa status Yake hii fedha inaweza ku double pamoja fedha hiyo ukichanganya na Mshahara/Posho zinazotokana na Ruzuku kama makamu Mwenyekiti wa chadema si chini ya Milioni Kumi anakunja kwa Mwezi. Link ya stahiki za Mkimbizi Belgium hizi hapa.


Ni dhahiri Maridhiano yangelipoteza hili dili na ndio maana walikuwa wakali sana kwa Mbowe na wamefanikiwa kumchomoa kwenye maridhiano.

Justification ya jambo hili.

1. Ni kweli kuwa Lisu alikuwa hataki kabisa maridhiano aliyokuwa anayafanya Mwenyekiti Mbowe. Si mara moja Lisu ameyakataa maridhiano na kupinga Mkakati wa Mwenyekiti link ifuatayo ni moja ya mikutano yake aliyokuwa anakataa kabisa maridhiano.



Hata Mbowe alivyokwenda Mwanza kufanya ufunguzi wa Mikutano ya Kisiasa alilalamika kuwa wenzake hawamwelewi kwa nini anataka maridhiano na kudai kuwa ni haki yao wasimwelewe lakini hayupo tayari kumtukana Rais Samia. Alienda mbali hadi kumwalika Rais Samia kwenye Sherehe za Siku ya wanawake Duniani jambo ambalo halikufurahiwa sana na Lisu.

Link ifuatayo ni Mbowe akilalamika wenzake kutokumwelewa kuhusu Maridhiano na kwenye mkutano huo Mbowe alisema kuna watu wanataka amtukane Rais na kuahidi hata fanya jambo hilo na hakufafanua ni kina nani waliokuwa wanamshinikiza amtukane Rais



2. Jambo la Pili ambalo linathibitisha nia ya Lisu kutaka kurudi Ubelgiji ni aina ya Ukosoaji wake mkataba. Siku za karibuni amebadilisha kabisa lugha ya Kisheria iliyopo kwenye mkataba huo na kuanza kutukana. Wiki iliyopita alimwita Rais ana akili za Matope na hata anapokuwa jukwaani anaachana kabisa na Mkataba na anamuattack Rais Samia tu. Lisu anafanya hivyo si kwa kukosea anataka kuprovoke vyombo vya Dola na Rais ili wamfungulie Kesi au wamuite kumhoji na hata alipoitwa alikakataa kwenda hii yote ni kutaka kukamatwa au kutafutwa apate cha kuwaambia Ubelgiji kwa nn aendelee kuwepo Ulaya.

3. Mpaka Sasa Lisu hajarudisha Familia yake Nchini. Lema yeye alisema angalau anasubiri watoto wamalize Shule lakini Lisu bado hajasema chochote kwa nini hajawarudisha nchini, kuna Dalili sasa za kuambiwa nchini kwako kuna amani hivyo ni wakati wa kuishi nchini kwako na familia au aombe visa kama watu wengine jambo ambalo hatalimudu. Ukiona mtu anapigana vita usiyoijua ichunguze kwanza….

4. Jambo la nne la kuthibitisha hili ni mahusiano aliyokuwa nayo Rais samia na Upinzani na Mahusiano binafsi yake yeye na Lisu. Nguvu anayotumia Lisu inaleta maswali mengi ya Kujiuliza hivi ni kweli Rais Samia hafikiki na kushauriwa? Kwa nini anatumia nguvu kubwa kiasi hiki ? Kama jambo ni la kheri na kutoa tu Ushauri kuna haja gani ya Kumshambulia mtu ambaye hakujibu na wala hajawahi kukunyima kumfikia? Je ni mkataba tu au kuna mengine nyuma ya pazia? Ndio yapo Macho ya Rohoni yatakuonyesha haya…

5. Hata hili la Ney wa Mitego anatafuta Njia aliyopitia Roma Mkatoliki. Na Ney anajua wazi kuwa akianza kutafutwa au kufanyiwa chochote tutarudi kule Misri tulikotoka na yeye atapata cha kukimbia nchi. Pamoja na upole wa Rais Samia na usikivu wake bado ameendelea kushambuliwa ili tu aanze kuwatafuta wapate Sababu ya Kukimbia nchi. Kwa miaka Miwili Rais Samia ametibu vidonda vya wapinzani sana na kufanya mambo makubwa mno kwenye uchumi na huduma za kijamii unajiuliza kwa ukosoaji huu hata malaika ataiweza hii nchi? Ndipo hapo wataalamu wa mambo tunapoanza kuangalia hii fursa ya kuwa mkimbizi.

6. Baada ya uchaguzi mkuu Lisu alifanya kituko kingine cha kutafuta kuhalalisha ukimbizi wake. Hivi inakuingia akilini uje kwenye Kampeni za urais ukae siku zaidi ya 60 usikamatwe au kutengenezewa ajali huku watu wakijua utapita wapi, Utalala wapi, upo na nani halafu baada ya uchaguzi ukimbilie Ubalozini useme Magufuli anataka kukuua na kutafuta namna ya kutoroshwa kurudi Ubelgiji?
-
Hapa Lisu atatukana na kufanya attacking kwa Rais hadi apate sababu ya kukimbia. Hata ukimwangalia Mbowe anakosoa kwa ustaarabu bila kutukana, vivyo hivyo hata kwa Lema anakosoa kwa ustaarabu ila kwa Ndugu yetu huyu atataukana hadi apate Sababu.

CCM isiingie kwenye Mtego huo na badala yake iwaandikie nchi zote zenye raia waliokimbia nchi kuwa nchi imetulia hivyo raia wake warejeshwe nchini na kuwahakikishia Usalama wao.

Rais Samia ni Msikivu na Mpole sana, ana maono makubwa sana wanaotaka kuondoka nchini wasimchae au wasitafute njia ya Kumchafua Kimataifa. Lisu hafanyi haya kwa kukosea ana mipango yake ambayo kama ulikuwa Mtoro Darasani huwezi kuelewa haya yapo very Scientific kuyaelewa.

Hata Dr. Slaa kwa Sasa ni Jobless anatafuta pa kukamata ale…. Anataka akamatwe ndio maana alilitukana hadi Bunge. Ukiangalia Utulivu wa Mbowe kwenye hili jambo utanielewa vizuri zaidi.

Ole Mushi.
0712702602
Lissu anachokifanya ni kujaribu kuuelimisha Umma, Ili makosa yaliyofanyika yasijirudie, hata kama akikimbia ila Kuna watu watakuwa wamesikia tayari
 
Vp
Hiii Nchi Ina matahira Bwanaaaa, hivi Kwann nilizaliwa Tanganyika Mamaaae !!



Naumia sana kuona naishi kwenye Nchi ambayo wewe mleta Mada na maujinga yako naye unaishi humuhumu.

Yaan hoja za Lissu, unazijibu kipumbavu ,Et Political Asylum, nilikua naangalia Kwa Belgium wanalipwa Blaa blaaaa.


Kweli????

Ndio maana Mwabukusi anawaitwa Vichwa matope, wapumbavuuuu wajingaaaa
Nikamgonge mama yako ili uzaliwe tena Israel?
 
Back
Top Bottom