Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Demokrasia haifanani kati ya nchi na nchi.....
Nchi yetu inafuata demokrasia vyema tu!!
#SiempreJMT
Nchi yetu inafuata demokrasia vyema tu!!
#SiempreJMT
Mkuu Nani angemchagua Lisu. Mbona unapenda sana kujifariji mtandaoni hapa. Watanzania unawajua kweli? Na mtaendelea kushindwa kwa kuwa hampendi kuface matatizo na changamoto zenu. Tuambie hapa.
Unadhani kuendesha nchi Ni kila mtu anaweza. Lissu anapaswa kuwa muanzisha debate vyuoni. Nchi Hii haitaweza kamwe kuendeshwa na mtu wa aina ya Lissu.
Sio tu wananchi, hata usalama wa nchi hauwezi kukubali. Wote hao unaowaona duniani usalama wa nchi zao lazima wakubali.
Face your challenges. Mtu kama Slaa alikuwa Ana sifa. Na watu 2014 walivutiwa sana na CHadema na Slaa. Kila alipoenda. Sasa nyie mnakimbilia kulalamikia vipele kuwasha wakati mna Gonorrhea linakula Ndani. Wake up. JPM. Alishinda na wala hakukuwa na ushindani. Labda na Lowasa mana naye Ni CCM tu.
Chadema na ujinga wao wa kuichafua nchi na kudhani wazungu hao watawasaidia labda kupata chochote kasent ka kula,yaani ni lazima wafanye matendo ya kuonyesha wanaumizwa ili sympathy ya kutokana na tendo hilo waonewe imani na pengine kusaudiwa chochote.
RubbishMkuu Nani angemchagua Lisu. Mbona unapenda sana kujifariji mtandaoni hapa. Watanzania unawajua kweli? Na mtaendelea kushindwa kwa kuwa hampendi kuface matatizo na changamoto zenu. Tuambie hapa.
Unadhani kuendesha nchi Ni kila mtu anaweza. Lissu anapaswa kuwa muanzisha debate vyuoni. Nchi Hii haitaweza kamwe kuendeshwa na mtu wa aina ya Lissu.
Sio tu wananchi, hata usalama wa nchi hauwezi kukubali. Wote hao unaowaona duniani usalama wa nchi zao lazima wakubali.
Face your challenges. Mtu kama Slaa alikuwa Ana sifa. Na watu 2014 walivutiwa sana na CHadema na Slaa. Kila alipoenda. Sasa nyie mnakimbilia kulalamikia vipele kuwasha wakati mna Gonorrhea linakula Ndani. Wake up. JPM. Alishinda na wala hakukuwa na ushindani. Labda na Lowasa mana naye Ni CCM tu.
CHADOMO UKIWAGONGA TU UTOSINI NI MATUSIRubbish
Isingekuwa kuheshimu mawazo ya mtu........Maandamano yao hayatabadili mioyo ya watanzania katika sanduku la kura. Mange Kimambi alifanya maandamano maeneo mbali mbali kule usa, lkn katika uchaguzi mkuu waandamanaji wameangukia pua. Mpaka mgombea mmoja akakimbilia ulaya ili kujinusuru na aibu ya wapiga kura wake.
Nyie mtajichafua mara ngapi!mjichafue wenyewe halafu msingizie wapo wanataka kuwawachafua?Police ya New york isiruhusu uvunjivu wa amani
Yaani ata nchi za watu mnataka muwapeleke kina sirro wakazuie maandamano.,
Mulisema Tanzania sio kijiji mnataka kutoka nje kuimarisha hivyo lazima mukubaliane na changamoto zake maandamano Tz haiwezekani lakini kwa wenzetu yanawezekana kama vipi mama aghairishe safari ajifungie kama alivyokuwa mtu 1 ili mubaki na kijiji chenu