Si kuwa wale wasiojulikana wanajistukia na kujaribu kupima maji?
Kwa hakika kama angekutana na maandamano kokote aendako ingependeza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako ni za Kitoto kabisa naona Walikutoa Ubongo woteLisu ataendaje huko
USSR
Hawana muda wa kujishughulisha na siasa zenu za kipumbavu za maccmPolice ya New york isiruhusu uvunjivu wa amani
Sijui kwanini watz Ni waoga wa maandamano kiasi hiki tena maandamano ya Amani tu. Tumelogwa sijui?
Uwezo anautoa wapi?Hotuba za kuandikiwa. Yeye kama yeye sidhani kama ana Hoja za Kifalsafa za kuieleza Dunia.
Acha kuuliza maswali ya kipumbavu...
Waone au waje waone ushetani na uharamia wa watu wasio na weledi?Hao wanapoteza mda,kwani watakuwa wa kwanza kuandamana? Waje Bongo waandamane waone moto
Cha Ajabu ameona hicho sio tena kigezo Bali jinsia tu! Kwa kweli CCM sasa wana watu wa ajabu sana!Uwezo anautoa wapi?
Atahutubia ndani ya ukumbi wa UN, na si yeyey tu watakuwepo na marais wengine pia watakao hutubia.
Ccm ina watu wa hovyoooCha Ajabu ameona hicho sio tena kigezo Bali jinsia tu! Kwa kweli CCM sasa wana watu wa ajabu sana!
Jibu hoja we mkvndv sio unaandika vioja pu.si jike wee. Mumeo anafungwa sasa unalala peke yako ndan ndo maana unapayuka.Una umalaya wa kisiasa huwezi kuelewa!Akili yako inawoga wa umaskini huwezi kuelewa
Lini kulifanyika uchaguzi? Kama mnapendwa mbona mnajihami kwa wizi wa kura
ano yao hayatabadili mioyo ya watanzania katika sanduku la kura. Mange Kimambi alifanya maandamano maeneo mbali mbali kule usa, lkn katika uchaguzi mkuu waandamanaji wameangukia pua. Mpaka mgombea mmoja akakimbilia ulaya ili kujinusuru na aibu ya wapiga kura wake.