Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,672
- 970
Bado inaunguruma mkuu....Hivi kesi ya Sabaya imeishia wapi
Bado inaunguruma mkuu....Hivi kesi ya Sabaya imeishia wapi
NYPD wanajielewa sio kama takataka zetuPolice ya New york isiruhusu uvunjivu wa amani
Amani ipi watu hawafiki 10?Police ya New york isiruhusu uvunjivu wa amani
Lini kulifanyika uchaguzi? Kama mnapendwa mbona mnajihami kwa wizi wa kuraMaandamano yao hayatabadili mioyo ya watanzania katika sanduku la kura. Mange Kimambi alifanya maandamano maeneo mbali mbali kule usa, lkn katika uchaguzi mkuu waandamanaji wameangukia pua. Mpaka mgombea mmoja akakimbilia ulaya ili kujinusuru na aibu ya wapiga kura wake.
Lisu ataendaje huko
USSR
Wewe unakula nchi wengine wanateseka alafu unasema Tanzania ni ya kwetu sote
Hata uchangiwe na kijiji marekani utaisoma kwenye ramani ....Huku sisi kama kwenda kwa Mromboo...Lisu ataendaje huko
USSR
Kajipeleka mwenyewe kwa mabeberu.
Mkuu kweli kutoka moyoni mwako,ukiacha roho mbaya kishetani,Ukiwa Na akili timamu(Ukiacha akili za umaskini za njaa ya kali)Ukiwa na Elimu yako uliyosotea shule mpaka chuo kikuu.Mwaka 2020 tulikuwa na uchaguzi wa haki? Je ,Kama kungekuwa Na uchaguzi huru na haki kweli Leo ungesema hayo .Maandamano yao hayatabadili mioyo ya watanzania katika sanduku la kura. Mange Kimambi alifanya maandamano maeneo mbali mbali kule usa, lkn katika uchaguzi mkuu waandamanaji wameangukia pua. Mpaka mgombea mmoja akakimbilia ulaya ili kujinusuru na aibu ya wapiga kura wake.
Police ya New york isiruhusu uvunjivu wa amani
Mkuu mwaka 2005 wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki lkn mgombea uraisi wakati ule Mbowe akakiletea chama chake zaidi ya wabunge 20, mwaka 2010 hivo hivo wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki wakasusia mpaka hotuba ya raisi Kikwete na kutoka nje lkn pamoja na yote mgombea wao Dr akatumia ushawishi wake wakapatikana wabunge zaidi ya 50, mwaka 2015 malalamiko yakawa yale yale ya siku zote kuhusu wizi wa kura na tume huru lkn mgombea wao mh Lowasa kupitia ushawishi wake akasaidia upinzani kupata wabunge zaidi ya 80, mwaka 2020 tume ile ile na malalamiko yale yale kama nilivyoandika hapo chini lkn kwa vile mgombea hakuwa na ushawishi wowote kwa wapiga kura akajikuta anakiangusha chama chake kwa kupata mbunge mmoja tu nchi nzima. Sasa hapo ambae anatakiwa kujitafakari ni mimi au Chadema kwa kusimamisha mgombea aliekubalika mitandaoni na kukataliwa ndani ya sanduku la kura? Mbona wenzake kama nilivyowataja hapo juu pamoja na figisu zote lkn waliweza kushawishi wapiga kura wakapata wabunge wengi? So msiwe watu wa kulaumu bila kuangalia kosa liko wapi. Mgombea wenu alikuwa hana ushawishi wa kupigiwa kura na ukizingatia na aina ya mgombea aliegombea nae alikuwa anakubalika zaidi kwa watanzania wa jinsia na rika zote ukiachana na wale wachumia tumbo wachache na wapiga madili wa hapa na pale.Mkuu kweli kutoka moyoni mwako,ukiacha roho mbaya kishetani,Ukiwa Na akili timamu(Ukiacha akili za umaskini za njaa ya kali)Ukiwa na Elimu yako uliyosotea shule mpaka chuo kikuu.Mwaka 2020 tulikuwa na uchaguzi wa haki? Je ,Kama kungekuwa Na uchaguzi huru na haki kweli Leo ungesema hayo .
Mungu ni wetu site IPO siku kila MTU Kwa nafasi yake atatoa hesabu ya maovu
Mkuu mwaka 2005 wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki lkn mgombea uraisi wakati ule Mbowe akakiletea chama chake zaidi ya wabunge 20, mwaka 2010 hivo hivo wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki wakasusia mpaka hotuba ya raisi Kikwete na kutoka nje lkn pamoja na yote mgombea wao Dr akatumia ushawishi wake wakapatikana wabunge zaidi ya 50, mwaka 2015 malalamiko yakawa yale yale ya siku zote kuhusu wizi wa kura na tume huru lkn mgombea wao mh Lowasa kupitia ushawishi wake akasaidia upinzani kupata wabunge zaidi ya 80, mwaka 2020 tume ile ile na malalamiko yale yale kama nilivyoandika hapo chini lkn kwa vile mgombea hakuwa na ushawishi wowote kwa wapiga kura akajikuta anakiangusha chama chake kwa kupata mbunge mmoja tu nchi nzima. Sasa hapo ambae anatakiwa kujitafakari ni mimi au Chadema kwa kusimamisha mgombea aliekubalika mitandaoni na kukataliwa ndani ya sanduku la kura? Mbona wenzake kama nilivyowataja hapo juu pamoja na figisu zote lkn waliweza kushawishi wapiga kura wakapata wabunge wengi? So msiwe watu wa kulaumu bila kuangalia kosa liko wapi. Mgombea wenu alikuwa hana ushawishi wa kupigiwa kura na ukizingatia na aina ya mgombea aliegombea nae alikuwa anakubalika zaidi kwa watanzania wa jinsia na rika zote ukiachana na wale wachumia tumbo wachache na wapiga madili wa hapa na pale.
Una umalaya wa kisiasa huwezi kuelewa!Akili yako inawoga wa umaskini huwezi kuelewaMkuu mwaka 2005 wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki lkn mgombea uraisi wakati ule Mbowe akakiletea chama chake zaidi ya wabunge 20, mwaka 2010 hivo hivo wapinzani walidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki wakasusia mpaka hotuba ya raisi Kikwete na kutoka nje lkn pamoja na yote mgombea wao Dr akatumia ushawishi wake wakapatikana wabunge zaidi ya 50, mwaka 2015 malalamiko yakawa yale yale ya siku zote kuhusu wizi wa kura na tume huru lkn mgombea wao mh Lowasa kupitia ushawishi wake akasaidia upinzani kupata wabunge zaidi ya 80, mwaka 2020 tume ile ile na malalamiko yale yale kama nilivyoandika hapo chini lkn kwa vile mgombea hakuwa na ushawishi wowote kwa wapiga kura akajikuta anakiangusha chama chake kwa kupata mbunge mmoja tu nchi nzima. Sasa hapo ambae anatakiwa kujitafakari ni mimi au Chadema kwa kusimamisha mgombea aliekubalika mitandaoni na kukataliwa ndani ya sanduku la kura? Mbona wenzake kama nilivyowataja hapo juu pamoja na figisu zote lkn waliweza kushawishi wapiga kura wakapata wabunge wengi? So msiwe watu wa kulaumu bila kuangalia kosa liko wapi. Mgombea wenu alikuwa hana ushawishi wa kupigiwa kura na ukizingatia na aina ya mgombea aliegombea nae alikuwa anakubalika zaidi kwa watanzania wa jinsia na rika zote ukiachana na wale wachumia tumbo wachache na wapiga madili wa hapa na pale.