comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,222
- 5,946
Tutakupata kwenye betriMkuu hapa umenishtua, kuanzia sasa nitatumia solar na generator
Tutakupata kwenye betriMkuu hapa umenishtua, kuanzia sasa nitatumia solar na generator
Wabunge gani unao wataka kuweka huo mjadala?Hawa wa bunge la ndugai!!Ikitokea mtu yuko mjini akahamia kwenye Solar, waziri wetu kajipangaje kukusanya kodi kwa watu wa aina hiyo?
Kuna watu wana line za simu zaidi ya moja; nyingine huwa ni data na nyingine kupokea kama backup. Kama haiwekewi airtime itabaki kudaiwa kwa malimbikizo au itakuwaje?
Nadhani wabunge watakuwa na nafasi kujadili na kumshauri kwa weledi mhe. Waziri wetu wa Fedha Ng'wigulu Nchemba.
Nikinunua umeme kwa mwezi mara 2 au zaidi inakuwaje?kodi ya mwaka inagawanywa kwa miezi 12,kwa hiyo hapa kama kila mwezi ni 1000,maana yake kwa mwaka ni 12,000/=.Mpangaji akikaa miezi sita atakuwa amenunua umeme wa miezi 6 ,hivyo amelipa 6,000/=.Inayobaki atalipa atakaye itumia hiyo luku baadaye.
Utalipa 1000 kila unaponunua uneme, ukihama utaenda kulipa ukohamia, atakaehamia hapo ulipohama anaendelea kulipia. Sasa tunaonunua umeme wa elfu 2 sijui itakuwajekodi ya jengo inalipwa mara moja kwa mwaka, sasa ikitokea mpangaji ameishi miezi 6 tu akahama inakuwaje?
Nadhani wabunge watakuwa na nafasi kujadili na kumshauri kwa weledi mhe. Waziri wetu wa Fedha Ng'wigulu Nchemba.
Duh! Kwa hiyo ni sawa na mabanda ya mbagalahahahahahahhahahahahahahahahaha...........
duh!
Kweli, betri ya solar inachajiwa na umeme wa TANESCO, basi nitabaki kwenye generator yangu.Tutakupata kwenye betri
Vijijini hawalipi kodi ya jengoSerikali inapendekeza Kukusanya kodi za majengo kwa kutumia Luku.najiuliza tuu,vipi nyumba zisizo na umeme,je zimesamehewa kodi ya majengo?
Lakini maana yake kodi imeongezeka pia watu watakuwa wanaweka LUKU moja tu kwenye kiwanja kimoja hata kama kuna nyumba zaidi ya mojaToka niimfahamu Dr Mwigulu Nchemba kwa hiyo hotuba kweli kaitendea kazi taaluma yake!!!
Hili la Kodi ya nyumba Nampa heko Sana,bonge la solution,kweli jamaa ni great thinker.
Bonge la bajeti hii,tusubiri utekelezaji Sasa!
Ina maana kwenye nyumba yenye mita 100 watakuwa wanazilipia nyumba hewa 99Yaani ni shida kwa mfano jengo la ghorafa linaweza kuwa na mita zaidi ya mia tofautitofauti
Unakwepa 1000 ya kodi🤣.Kweli, betri ya solar inachajiwa na umeme wa TANESCO, basi nitabaki kwenye generator yangu.
Tutakupata kwenye MAFUTAKweli, betri ya solar inachajiwa na umeme wa TANESCO, basi nitabaki kwenye generator yangu.
Jengo moja frame 10 na kila frame ina mita yakeKuna mita za luku nyingi kuliko nyumba amini nakwambia
Sawa na umeme utanunua UNIT nyingi zaidi.Lakini maana yake kodi imeongezeka pia watu watakuwa wanaweka LUKU moja tu kwenye kiwanja kimoja hata kama kuna nyumba zaidi ya moja
Hahahaha... kwa kibano hicho,nimesalimu amri.Tutakupata kwenye MAFUTA
Na ile inayotumia solar, je?Nyumba ambayo haina umeme haiitwi nyumba bali ni banda.