Hivi inakuwaje unatozwa kodi kiwanja na jengo?

donga

JF-Expert Member
Sep 13, 2017
2,475
4,926
Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani

Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji

Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli

Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa

Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu

Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
 
Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani

Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji

Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli

Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa

Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu

Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
Sheria za Ardhi za Tzn zinakutambua wewe kama mpangaji tuu huna chako.

Ndio maana huruhusiwi kumiliki viwanja au kiwanja bila kukiendeleza hata kama ulikilipia utanyang'anywa.

Ni afadhari hata kwenye mashamba unaweza kodisha watu sio plots.
 
Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani

Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji

Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli

Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa

Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu

Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
Ardhi ni kama hewa?Nani alikudanganya?Unajua hata kaburi la Yesu lililipiwa?Utajua tu.
 
Kiwanja ni mali ya serikali, wewe umepewa umiliki/matumizi kwa muda wa miaka 99, so mwenye nacho lazima umlipe..

Soma kwenye hati ya umiliki utaona, na mwenyewe anaweza kukichukua muda wowote akiwa na interest napo.
 
Back
Top Bottom