Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,989
- 28,126
Ndugu zangu,
Nimekutana na hii tafakuri juu ya baraka za mzazi kwa watoto. Tafakuri hii imejengeka kupitia mandiko ya vitabu vitakatifu kwa kile alichokifanya Isaka kwa mtoto wake Yakobo.
Kwamba Isaka alipokuwa Mzee sana na kuona siku zake za kuishi zinaelekea ukingoni, akamtaka mwanaye ampikie vinono ile ale kisha ambariki.
Maana yake alimtaka mtoto wake aliyemkusudia afanye jambo fulani la kumfurahisha, ndipo aachilie baraka zake.
Kwa msingi huo basi kukaibuka maswali mengine kama ifuatavyo:
1. Je, baraka hutolewa mara moja tu?
2. Je, baraka haziwezi kutolewa kwa watoto wote?
3. Je, mama anaweza kubariki watoto wake?
Kwa muktadha huu basi, huenda wengi wetu hatujui namna ya kubariki watoto wetu na wala hatujawahi kubarikiwa kama tunavyodhani.
Karibuni tujifunze.
Nimekutana na hii tafakuri juu ya baraka za mzazi kwa watoto. Tafakuri hii imejengeka kupitia mandiko ya vitabu vitakatifu kwa kile alichokifanya Isaka kwa mtoto wake Yakobo.
Kwamba Isaka alipokuwa Mzee sana na kuona siku zake za kuishi zinaelekea ukingoni, akamtaka mwanaye ampikie vinono ile ale kisha ambariki.
Maana yake alimtaka mtoto wake aliyemkusudia afanye jambo fulani la kumfurahisha, ndipo aachilie baraka zake.
Kwa msingi huo basi kukaibuka maswali mengine kama ifuatavyo:
1. Je, baraka hutolewa mara moja tu?
2. Je, baraka haziwezi kutolewa kwa watoto wote?
3. Je, mama anaweza kubariki watoto wake?
Kwa muktadha huu basi, huenda wengi wetu hatujui namna ya kubariki watoto wetu na wala hatujawahi kubarikiwa kama tunavyodhani.
Karibuni tujifunze.