chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 203
Noted Mkuu. Cheers!
Mkuu una kitu namba 8 kweli?
Kaka hiyo siri ya mtungi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted Mkuu. Cheers!
Mkuu una kitu namba 8 kweli?
Kaka mengine siri ys mtungi,wabaya watu!!
u should pay rent for spending so much time in my head,lol!
Is that an SMS to me? Oooh My . . . . so sweet . . .
Baby Angel wangu King'asti nakuaahidi leo hii nitakulipa kodi ya wewe kutuwekea SMS zako ulizowahi tuma na kukutumia. Ukipenda nakuhahidi . . . .
LOL Mkuu nimeshasahau hata Gear za kuingilia . . .
weeh,umeshaanza kutangaza sera!si tunaweka sms za enzi hizo?hiyo ni massawee aliniandikiaga,ila naweza kui-dedicate kwako manake na nyie si ndo mnavyofanyaga?manake e-mail moja inatumiwa 5 ladies,lol!
weeh,umeshaanza kutangaza sera!si tunaweka sms za enzi hizo?hiyo ni massawee aliniandikiaga,ila naweza kui-dedicate kwako manake na nyie si ndo mnavyofanyaga?manake e-mail moja inatumiwa 5 ladies,lol!
Wifi mbona mumenitupa?Hata sms za uongo na kweli hamna!? Sorry SM mi hizo msg za kudanganyana hua sikumbuki maana hata kurudia kusoma hua sirudii...
Wifi mbona mumenitupa?Hata sms za uongo na kweli hamna!? Sorry SM mi hizo msg za kudanganyana hua sikumbuki maana hata kurudia kusoma hua sirudii...
Duh!
King umeniacha hoi, nimecheka sana. Hujatulia wewe!
Sasa uki-idictate kwangu na Massawe akaiona? Ujue ni jirani yangu hapa ana kigorofa chake.
Hebu niambie hii ya SMS/Email moja kwa 5 ladies . . . au ndo zenu nini . . . .
SMS ya "habari ya asubuhi Sweetheart, I miss you baby, I love u baby" inapigwa CC kwa Dada's au kaka's 5. LOL
Mkuu; sasa wewe na mchungaji mkiwa mbali mbali na mkitaka kuliwazana mnatumiana nini?
Au kwenu ni za Kijeshi jeshi tu . . . . "We mama nanhii, hebu njoo huko niku . . . . " LOL
Wifi usikute kuna mtu anachakachua msg zangu...yani tangu juzi nalia mmenisusa hata za kufowadiwa siambulii!Hee jamani wifi ina maana PM, msg na email hazifiki?kuna haja ya kuweka mkongo wa mawasiliano wa familia!ama ndo unasoma unasahau,manake za kwetu za ukweli banaa sio za uongo!
</p>Wifi usikute kuna mtu anachakachua msg zangu...yani tangu juzi nalia mmenisusa hata za kufowadiwa siambulii!
Wifi chokoleti tena??Mbona sijaonja hiyo kitu nna mwezi?Haki ya nani kuna mtu hataki nifaidi...ngoja niwapigie tufanye mkakati wa kuwadhibiti wachakachuaji!wifi mi nadhani uangalie hao wakina sipiyuu na yule mwingine,maybe wana password yako.manake sasa nadhani hata chocolate na flowers hupati sasa?au ndo wanaku-forwardia kwa ujiko wao kama alivyojifyagilia hapa superman!
chapaa,ukiwa na mshumaa unawaka usiufunike blanket weka kiambazani utuangazie yakhe