Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he?????? Wewe bongolala unkula kuku na mayai?????penzi lako tamu kuliko la kaka yako!
weeh superman na hizo mbio unamkimbilia wa zamani?mbona unavuta sana memories?ngoja na mwenza wako nae aanze,utakoma!:spy:
Noted Mkuu. Cheers!
Mkuu una kitu namba 8 kweli?
Mkuu King;
Mimi niko Gado!
Ziko kwenye simu ya zamani (Unakumbuka Nokia Mche wa Sabuni?) wakati bado namfukuzia Mamaaa . . .
Hebu tupe vionjo vya SMS zako basi . . .