he?????? Wewe bongolala unkula kuku na mayai?????penzi lako tamu kuliko la kaka yako!
weeh superman na hizo mbio unamkimbilia wa zamani?mbona unavuta sana memories?ngoja na mwenza wako nae aanze,utakoma!:spy:
Noted Mkuu. Cheers!
Mkuu una kitu namba 8 kweli?
Mkuu King;
Mimi niko Gado!
Ziko kwenye simu ya zamani (Unakumbuka Nokia Mche wa Sabuni?) wakati bado namfukuzia Mamaaa . . .
Hebu tupe vionjo vya SMS zako basi . . .