Kuna taarifa kwamba riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010. Kumbe ndo maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata jk ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivh majuzi....
MzeePunch lete data hapa wakati wa Tahiri Square ya Bongo ndio huu!!!!!! Sijui itakuwa Karikoo au Jangwani?????????? Bora wote twende Mgogoni!!!!!!!Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hao kina Asas nasikiasikia dada yao mmoja kawa mama ake mdogo Riz 1.
<br />kwani kumiliki kampuni yoyote ile katika nchi hii ni dhambi?
Isije ikawa kama yale ya Shimbo.
Nasikia na GBP, OILCOM, BIG BON, DALBIT, OILCOM, na hata uwanja mpya wa taifa, mlimani city, lile ghorofa karibu na ikulu, quality plaza, ile terminal mpya pale airport ambayo bado haijaisha vyote vya kwake, huyu fisadi sana. Nchi hii haijapa maendeleo kwa miaka 50 kwa sababu yake na baba yake.
kwani kumiliki kampuni yoyote ile katika nchi hii ni dhambi?
Isije ikawa kama yale ya Shimbo.