Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,551
Habarini wakuu?
Najua wengine watashangaa na wengine watabeza ila ni hali halisi, Ngoja nisimulie kisa kilivyonitokea juzi hapa jumatano ya wiki hii.
Mwanzoni mwa wiki hii nilikula likizo ya muda mfupi ya wiki moja na kupelekea kijana msomi kama mimi kupumzika home na kurekebisha baadhi ya mambo yangu binafsi.
Jumatano nilipigiwa simu na jamaa yangu wa karibu kuwa tutoke kupiga moja moto na moja baridi tukisindikizwa na kitimoto,nilikubaliana na wazo lake na kumwambia achague location yeye maana napokula mimi kitimoto wamefunga wanafanya marekebisho.
Fast foward baada ya kufika hyo pub(ndo mara ya kwanza nafika hapo) Jamaa yangu akaagiza kitimoto choma kilo 2 kivyake na mimi nkaagiza roast kilo 1 na ugali kidgo huku bia zinatembea kama kawa,Sijui yule mpishi alitumia kitu gani kwenye kumuunga yule kitimoto,mara baada ya kurudi home gafla tumbo likaanza kuniuuma na kunisokota sana hali iliyopelekea nikimbilie kituo cha afya binafsi.
KUMBE MMILIKI WA KILE KITUO NI MUISLAM TENA MFIA DINI NA NI DOKTA HAPO.
Kufika manesi wakanipokea na kuniwahisha kwenye wodi ya walio na emergency healthy issues maana wakati huo siwezi hata kusimama vizuri, Dokta huyo akaja chapu chapu na kuanza kuniuuliza kulikoni.
Mimi bila kujua nkamwambia “NIMEKULA KITIMOTO NA UGALI NKASHUSHIA BIA 4 NDO TUMBO LIKAAANZA KUNIUUMA” ( wakati namueleza hayo huyo dokta alikuwa kanishika begani huku anajaribu kunibinyabinya tumbo)
Mara Ghafla dokta akaruka futi 2 nyuma na kuniuuliza “Hayo mafuta mafuta mdomoni ni ya huyo mdudu?”
nikamjibu” ndiyo”
Akajibu “mtumeeeee”
Nikambiwa ninyanyuke haraka sana na niende kituo kingine na hawawezi kunihudumia kwa vyvyte sababu ya kuwa yeye ni muislam na ni mfungo wa ramadhan huku ananawa mikono na sabuni nyingi na kutokomea wodini.
Sikuamini ila nesi alipokuja na kuniambia “kaka we nenda tu maana hatuwez kukuhudumia kwasababu boss ni TAKBIIIIRRRR Na kashika dini vibaya mno”
Nikainuka na kwenda kituo kingine kwa kuchechemea na kuinamainama huku nkiwa na mawazo na maumivu juu ya kunyanyapaliwa.
Nilihudumiwa kituo kingine na nkapewa dawa za kuflash tumbo.Nimeharisha sana na sasa niko vizuri wakuu.
Ndugu waislam,
kama mna ubaguzi wa namna hii msiuingize kwenye huduma za jamiii.Hospitali ni ya wote na si vema kubaguana.
HII NCHI INAOONGOZWA KWA SHERIA NA SI SHARIA
Najua wengine watashangaa na wengine watabeza ila ni hali halisi, Ngoja nisimulie kisa kilivyonitokea juzi hapa jumatano ya wiki hii.
Mwanzoni mwa wiki hii nilikula likizo ya muda mfupi ya wiki moja na kupelekea kijana msomi kama mimi kupumzika home na kurekebisha baadhi ya mambo yangu binafsi.
Jumatano nilipigiwa simu na jamaa yangu wa karibu kuwa tutoke kupiga moja moto na moja baridi tukisindikizwa na kitimoto,nilikubaliana na wazo lake na kumwambia achague location yeye maana napokula mimi kitimoto wamefunga wanafanya marekebisho.
Fast foward baada ya kufika hyo pub(ndo mara ya kwanza nafika hapo) Jamaa yangu akaagiza kitimoto choma kilo 2 kivyake na mimi nkaagiza roast kilo 1 na ugali kidgo huku bia zinatembea kama kawa,Sijui yule mpishi alitumia kitu gani kwenye kumuunga yule kitimoto,mara baada ya kurudi home gafla tumbo likaanza kuniuuma na kunisokota sana hali iliyopelekea nikimbilie kituo cha afya binafsi.
KUMBE MMILIKI WA KILE KITUO NI MUISLAM TENA MFIA DINI NA NI DOKTA HAPO.
Kufika manesi wakanipokea na kuniwahisha kwenye wodi ya walio na emergency healthy issues maana wakati huo siwezi hata kusimama vizuri, Dokta huyo akaja chapu chapu na kuanza kuniuuliza kulikoni.
Mimi bila kujua nkamwambia “NIMEKULA KITIMOTO NA UGALI NKASHUSHIA BIA 4 NDO TUMBO LIKAAANZA KUNIUUMA” ( wakati namueleza hayo huyo dokta alikuwa kanishika begani huku anajaribu kunibinyabinya tumbo)
Mara Ghafla dokta akaruka futi 2 nyuma na kuniuuliza “Hayo mafuta mafuta mdomoni ni ya huyo mdudu?”
nikamjibu” ndiyo”
Akajibu “mtumeeeee”
Nikambiwa ninyanyuke haraka sana na niende kituo kingine na hawawezi kunihudumia kwa vyvyte sababu ya kuwa yeye ni muislam na ni mfungo wa ramadhan huku ananawa mikono na sabuni nyingi na kutokomea wodini.
Sikuamini ila nesi alipokuja na kuniambia “kaka we nenda tu maana hatuwez kukuhudumia kwasababu boss ni TAKBIIIIRRRR Na kashika dini vibaya mno”
Nikainuka na kwenda kituo kingine kwa kuchechemea na kuinamainama huku nkiwa na mawazo na maumivu juu ya kunyanyapaliwa.
Nilihudumiwa kituo kingine na nkapewa dawa za kuflash tumbo.Nimeharisha sana na sasa niko vizuri wakuu.
Ndugu waislam,
kama mna ubaguzi wa namna hii msiuingize kwenye huduma za jamiii.Hospitali ni ya wote na si vema kubaguana.
HII NCHI INAOONGOZWA KWA SHERIA NA SI SHARIA