Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

Kama ni kweli kuna haja ya kutenganisha uongozi na biashara. kwa sababu watu wanatumia nafasi za uongozi kwa manufaa binafsi bila kujali maslahi ya taifa. Na hii ni hatari ndio maana hakuna maamuzi magumu yananayofanywa kwa vitu ambavyo ni sensitive kama hili. Mungu inusuru nchi yetu
 
sishangai! tena sitashangaa akitoa tamko kama la masaburi kuwabeza wabunge na ewura
 
Kuna taarifa kwamba riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010. Kumbe ndo maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata jk ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivh majuzi....

Je unaweza kuthibitisha hilo au ndio majungu na udaku?

Tuthibitishie ili nasi tuchangie.
 
Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.
MzeePunch lete data hapa wakati wa Tahiri Square ya Bongo ndio huu!!!!!! Sijui itakuwa Karikoo au Jangwani?????????? Bora wote twende Mgogoni!!!!!!!

 
kwani kumiliki kampuni yoyote ile katika nchi hii ni dhambi?
<br />
<br />
SANA HASA KWA BWAMDOGO ALOMALZA
SHULE JUZKAT UNASKIA ETI ANA LORI MIA, PETROLSTATIONS MY FOOT WIZI TUU UKIMWAMBIA AOMYESHE KIPATO CHAKE NA MALI ALIZONAZO KAMA NI CHAINA WANAMFANYA KIISLAMU
 
yeah we muache aendelee kujilimbikizia mali. very soon ye na babake yatawakuta yaliowakuta kina Benn Ali na Mubarak. what goes around comes around.
 
Haya mambo yapo na sasa yanaonekana wazi kabisa hakuna hata mashaka nayo. Vipi wapendwa kwani issue ya mnadhimu wa majeshi ikoje?
 
hapa ndipo unasikia jamaa wameanzisha soo kama la hapa tottenham england i see the end of tz peacekeeper..
 
Nasikia na GBP, OILCOM, BIG BON, DALBIT, OILCOM, na hata uwanja mpya wa taifa, mlimani city, lile ghorofa karibu na ikulu, quality plaza, ile terminal mpya pale airport ambayo bado haijaisha vyote vya kwake, huyu fisadi sana. Nchi hii haijapa maendeleo kwa miaka 50 kwa sababu yake na baba yake.

mkuu hapa nakukatalia Big Bon namjua na wala hana ubia na kigogo yoyote kuwa mkweli bana.
 
karatasi hata cku moja haziwezi kuletsa maendeleo ya nchi.inabidi tutiane heshima kwanza ili wanaobaki waendelee kujenga nchi! Ipo cku na inapiga hodi
 
Nilishawahi kusema hapa Petrol itafika bei shilingi 4000 kwa lita moja.....2010 miezi ya mwisho na kweli imetokea hata kabla ya 2015......sasa Mungu atusaidie....lakini naona machafuko yanakuja Tanzania.......kama tutafika 2015......ni kwa neema ya Mungu...lakini 2015....Mungu awe nasi....nnchi hii inaweza kuacha historia ya umwagaji wa damu!!!!!! Mungu tusaidie....
 
Back
Top Bottom