DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Taifa limekosaa wazee wa kushauri .
Yawezekana Mkapa angeongea jambo Kama angekuepo Ila ndo hivyo.
Maana Mwaka 2010 nakumbuka Mtoto wa Mkapa aligombea ubunge pale Kigamboni kura za maoni dhidi ya Ndugulile Ila mtoto wa mkapa hakutoboa katika kura za maoni.
Ila Leo hii kinachoendelea ni aibu Sana .
Yawezekana Mkapa angeongea jambo Kama angekuepo Ila ndo hivyo.
Maana Mwaka 2010 nakumbuka Mtoto wa Mkapa aligombea ubunge pale Kigamboni kura za maoni dhidi ya Ndugulile Ila mtoto wa mkapa hakutoboa katika kura za maoni.
Ila Leo hii kinachoendelea ni aibu Sana .