GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Sikutegemea kuna mwana JF anaweza kulalamika kuwa kuna mgao wa maji Dar es Salaam.
Sijawahi sikia wakazi wa Temeke, Mbagala au Kigamboni wakiongelea hadithi za mgao wa maji
Kigamboni ni wilaya mpya watu wanaishi wao na visima vyao vya maji
Mbagala na Temeke wao wanaishi na Maji yao ya kununua miaka yote toka kwenye magari ya maji
Kwa mtu smart kichwani na msomi wa hapa JF hakika ana mbinu za kuhifadhi maji kuanzia matank na visima
Eneo ambalo Nipo sijawahi sikia mtu analalamika maji hayatoki bombani, Maji kutotoka kwenye bomba kuna mambo mengi Yawezekana kuna matengenezo au kuna uhaba wa mvua au bombo kuu limepasuka
Ukijua kuna siku maji Yanaweza kutotoka bombani kwanini usijiandae na wewe ni msomi wa hapa JF?
Tank la maji la lita elfu tatu ni bei gani?
Mota ya kusukuma maji yapande kwenye tank ni bei gani?
Tuache siasa kwenye mambo ya kijinga
Sijawahi sikia wakazi wa Temeke, Mbagala au Kigamboni wakiongelea hadithi za mgao wa maji
Kigamboni ni wilaya mpya watu wanaishi wao na visima vyao vya maji
Mbagala na Temeke wao wanaishi na Maji yao ya kununua miaka yote toka kwenye magari ya maji
Kwa mtu smart kichwani na msomi wa hapa JF hakika ana mbinu za kuhifadhi maji kuanzia matank na visima
Eneo ambalo Nipo sijawahi sikia mtu analalamika maji hayatoki bombani, Maji kutotoka kwenye bomba kuna mambo mengi Yawezekana kuna matengenezo au kuna uhaba wa mvua au bombo kuu limepasuka
Ukijua kuna siku maji Yanaweza kutotoka bombani kwanini usijiandae na wewe ni msomi wa hapa JF?
Tank la maji la lita elfu tatu ni bei gani?
Mota ya kusukuma maji yapande kwenye tank ni bei gani?
Tuache siasa kwenye mambo ya kijinga