ngotho
Senior Member
- Jun 18, 2021
- 142
- 110
WE HAVE TRIED TO RAISE THE COMPLAIN BUT NO ANY ACTIONSTAKENSi uende daruso
WE HAVE TRIED TO RAISE THE COMPLAIN BUT NO ANY ACTIONSTAKENSi uende daruso
wameweka madirisha ya vioo unategemea nini ?Hosteli za magufuli zina joto sana,
Nilifikiri unaleta argument za maana kumbe ni pumba tu....Sikutegemea kuna mwana JF anaweza kulalamika kuwa kuna mgao wa maji Dar es Salaam.
Sijawahi sikia wakazi wa Temeke, Mbagala au Kigamboni wakiongelea hadithi za mgao wa maji
Kigamboni ni wilaya mpya watu wanaishi wao na visima vyao vya maji
Mbagala na Temeke wao wanaishi na Maji yao ya kununua miaka yote toka kwenye magari ya maji
Kwa mtu smart kichwani na msomi wa hapa JF hakika ana mbinu za kuhifadhi maji kuanzia matank na visima
Eneo ambalo Nipo sijawahi sikia mtu analalamika maji hayatoki bombani, Maji kutotoka kwenye bomba kuna mambo mengi Yawezekana kuna matengenezo au kuna uhaba wa mvua au bombo kuu limepasuka
Ukijua kuna siku maji Yanaweza kutotoka bombani kwanini usijiandae na wewe ni msomi wa hapa JF?
Tank la maji la lita elfu tatu ni bei gani?
Mota ya kusukuma maji yapande kwenye tank ni bei gani?
Tuache siasa kwenye mambo ya kijinga
Nchi ipi hiyo?Nchi nyingine hii ni emergency ya chuo kufungwa kwa muda mpaka suluhisho lipatikane.
Udsm matatizo ya maji ni miaka yoteChuo kikuu cha Dar es Salaam, ukosekanaji wa maji yanawatesa wanafunzi, hasa wanaokaa hosteli za magufuli na wale wa coict, viongozi twawaomba muangaliee hili swala
Hosteli za magufuli zina joto sana, kwa hiyo mji yanapaswa kuwepo muda wote
Tunateseka maji huku jamanii, angalieni hili swala, tununue maji ya kunywa kila siku mpaka na ya kuoga tena?
Tank la 3000lts, unaumwa wewe!Sikutegemea kuna mwana JF anaweza kulalamika kuwa kuna mgao wa maji Dar es Salaam.
Sijawahi sikia wakazi wa Temeke, Mbagala au Kigamboni wakiongelea hadithi za mgao wa maji
Kigamboni ni wilaya mpya watu wanaishi wao na visima vyao vya maji
Mbagala na Temeke wao wanaishi na Maji yao ya kununua miaka yote toka kwenye magari ya maji
Kwa mtu smart kichwani na msomi wa hapa JF hakika ana mbinu za kuhifadhi maji kuanzia matank na visima
Eneo ambalo Nipo sijawahi sikia mtu analalamika maji hayatoki bombani, Maji kutotoka kwenye bomba kuna mambo mengi Yawezekana kuna matengenezo au kuna uhaba wa mvua au bombo kuu limepasuka
Ukijua kuna siku maji Yanaweza kutotoka bombani kwanini usijiandae na wewe ni msomi wa hapa JF?
Tank la maji la lita elfu tatu ni bei gani?
Mota ya kusukuma maji yapande kwenye tank ni bei gani?
Tuache siasa kwenye mambo ya kijinga