GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,721
- 109,153
Madaktari Bingwa wengi wa Akili wanasisitiza na Kutusisitiza mno Wanadamu ( Watu ) kuwa pamoja na kwamba tupo busy na Maisha ila Usiku kuanzia Saa 4 hadi Saa 11 ni lazima tuwe tumelala vya Kutosha Kwa Afya ya Miili yetu na Akili pia.
Wataalam hao wakaenda mbele pia na kusema kuwa Mwanadamu anayekosa Usingizi au asiyependa Kulala mida hiyo tajwa hapo juu basi moja kwa moja atakuwa na shida ya Akili ambayo inaweza hata Kuathiri Ufanisi wake wa Kiutendaji.
Kwa miaka ya hivi karibuni 2020 na hata 2022 GENTAMYCINE kwa Masikio pamoja na Macho yangu haya haya niliwahi Kuona na Kusikia Marais kadhaa wa Afrika ( kwa sasa nimewasahau ila huko mbeleni nikiwakumbuka nitawataja ) wakisema tena kwa Kujiachia kabisa Ili Waonekane kuwa Wanazikeshea nchi zao kuwa Wao Usiku wa Manane huwa hawalali kabisa Mmoja akisema Yeye huwa anasaini Mafaili hiyo mida na Kusikiliza Simu za jinsi Watendaji wake Wanavyotongozana na Mwingine nikamsikia akisema Yeye mida hiyo ndiyo huwa anaitumia kwa Kuchati na kujibu Arafa ( Meseji ) za Wateule ( Watendaji ) wake.
Je, hii tabia ni Sawa / ni Upuuzi mno?
Wataalam hao wakaenda mbele pia na kusema kuwa Mwanadamu anayekosa Usingizi au asiyependa Kulala mida hiyo tajwa hapo juu basi moja kwa moja atakuwa na shida ya Akili ambayo inaweza hata Kuathiri Ufanisi wake wa Kiutendaji.
Kwa miaka ya hivi karibuni 2020 na hata 2022 GENTAMYCINE kwa Masikio pamoja na Macho yangu haya haya niliwahi Kuona na Kusikia Marais kadhaa wa Afrika ( kwa sasa nimewasahau ila huko mbeleni nikiwakumbuka nitawataja ) wakisema tena kwa Kujiachia kabisa Ili Waonekane kuwa Wanazikeshea nchi zao kuwa Wao Usiku wa Manane huwa hawalali kabisa Mmoja akisema Yeye huwa anasaini Mafaili hiyo mida na Kusikiliza Simu za jinsi Watendaji wake Wanavyotongozana na Mwingine nikamsikia akisema Yeye mida hiyo ndiyo huwa anaitumia kwa Kuchati na kujibu Arafa ( Meseji ) za Wateule ( Watendaji ) wake.
Je, hii tabia ni Sawa / ni Upuuzi mno?