futa kauli bwana majid ni mwandishi anaeheshimika tz na dunia inajua
Majidi ni 'Mwenyekiti'.. ndivyo tulivyomzea huko bloguni kwake. Labda huo uana kijiji unatokana na kuita kijiwe chake 'kijiji'
mzee mwanakijiji na maggid mjengwa, mpaka mnawagombania hivyo wamelifanyia nini taifa letu mpaka wakumbukwe? Kwanza mimi siwafahamu
Mzee Mwanakijiji na Maddid Mjengwa, hii ni ''proof'' kazi yenu (yako) tunaitambua! huyu (maggid) hajaaminika bado, Mzee Mwanakijiji thibitisha hili watu hapa tumeisha changamka na chemsha bongo hii.Ndugu yangu Mayasa, Ahsante sana kuwaonyesha wengine njia. Uko sahihi kwa asilimia mia moja. Kwa vile Mjengwablog niliamua kuiita ' Kijiji' ambamo watembeleaji ni kama 'wanakijiji' wa Mjengwablog, basi, kuna walioamua kuniita ' Mwenyekiti' wakimaanisha Mwenyekiti wa Kijiji. Kaka yangu Charles Hillary ni mmoja wa ' Wanakijiji' wangu na alielekea huko katika kunitambulisha. Sikuona umuhimu wa kuanza mjadala kwa kukanusha redioni ( BBC) utambulisho ule wa kuitwa ' Mwanakijiji'. Ni kwa vile yaliyokuwa mbele yetu katika mjadala ule yalikuwa ya muhimu zaidi. Kila dakika ilikuwa na umuhimu zaidi kuliko kuipoteza kwa kuwachanganya wasikilizaji juu ya "Oh, mimi sio ' Mwanakijiji' ni ' Mwenyekiti' na blah blah nyingine. Kwani kama ' Mwenyekiti' wa kijiji anaishi katika kijiji anachokiongoza kuna kosa gani kuitwa mwanakijiji? Hivyo basi, niliyoyaandika hapa ndio yachukuliwe kuwa usahihi wa jambo zima na mengine mliyosoma yachuliwe kama ' Porojo za kuchangamsha kijiwe!"- Hata mie zimenichangamsha, ahsanteni sana! Maggid ( 'Mwenyekiti' na 'Mwanakijiji' wa Kijiji Cha Mjengwablog. Unakaribishwa kijijini kwetu!) PS: Mzee Mwanakijiji pia ni 'Mwanakijiji' wangu na mie ni ' Mwanakiji' wake, mwenye kubisha akamwulize!
MM Mwanakijiji stands for Mimi mwanakijijiNi yeye labda aje hapa atuambie M.M. MwanakijijiHizo M M ni nini.Kwa u spy wangu mwanakijiji yumo online muda wote na najua lazima kaisoma hii post. Akitaka atachangi, ila nadhani mnajua kuwa majina mengine watu wanajuana humu ndani kwa hiyo habari ndio hiyo.Usiwe na wasi Maggid kama unahabari online google itatupa haya naku google
RZ1 bana kwanza umeombwa uwafahamu.Mzee Mwanakijiji na Maggid Mjengwa, mpaka mnawagombania hivyo wamelifanyia nini Taifa letu mpaka wakumbukwe? Kwanza mimi siwafahamu
Ndugu yangu Mayasa,
Ahsante sana kuwaonyesha wengine njia. Uko sahihi kwa asilimia mia moja. Kwa vile Mjengwablog niliamua kuiita ' Kijiji' ambamo watembeleaji ni kama 'wanakijiji' wa Mjengwablog, basi, kuna walioamua kuniita ' Mwenyekiti' wakimaanisha Mwenyekiti wa Kijiji. Kaka yangu Charles Hillary ni mmoja wa ' Wanakijiji' wangu na alielekea huko katika kunitambulisha.
Sikuona umuhimu wa kuanza mjadala kwa kukanusha redioni ( BBC) utambulisho ule wa kuitwa ' Mwanakijiji'. Ni kwa vile yaliyokuwa mbele yetu katika mjadala ule yalikuwa ya muhimu zaidi. Kila dakika ilikuwa na umuhimu zaidi kuliko kuipoteza kwa kuwachanganya wasikilizaji juu ya "Oh, mimi sio ' Mwanakijiji' ni ' Mwenyekiti' na blah blah nyingine. Kwani kama ' Mwenyekiti' wa kijiji anaishi katika kijiji anachokiongoza kuna kosa gani kuitwa mwanakijiji?
Hivyo basi, niliyoyaandika hapa ndio yachukuliwe kuwa usahihi wa jambo zima na mengine mliyosoma yachuliwe kama ' Porojo za kuchangamsha kijiwe!"- Hata mie zimenichangamsha, ahsanteni sana!
Maggid
( 'Mwenyekiti' na 'Mwanakijiji' wa Kijiji Cha Mjengwablog. Unakaribishwa kijijini kwetu!)
PS: Mzee Mwanakijiji pia ni 'Mwanakijiji' wangu na mie ni ' Mwanakiji' wake, mwenye kubisha akamwulize!
Labda alitaka apate ujiko!...Sasa kwa nini Majid hakukanusha kwamba yeye si Mwanakijiji?
Hata mimi namtambua hivyo Mzee Mwanakijiji. Sasa kwa nini Majid hakukanusha kwamba yeye si Mwanakijiji?