King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,825
- 24,776
labda anapenda kufananishwa na mkjj! muulize kwenye blogu yake,anaweza akakupa majibu sahihi zaidi.ama u-pm manake si ni memba humu pia?
Hata mimi namtambua hivyo Mzee Mwanakijiji. Sasa kwa nini Majid hakukanusha kwamba yeye si Mwanakijiji?