Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wdau hamjamboni nyote?
Nimeweka nukuu ya Nabii Mke wa Waadventista Wasabato Hellen G White akidai kuambiwa saa na siku ya kurudi kwa Yesu Kristo katika njozi
"As God has shown me in holy vision ... we heard the voice of God like many waters, which gave us the day and hour of Jesus' coming"
"Mungu amenionyesha katika maono matakatifu ... tulisikia sauti ya Mungu kama maji mengi ambayo yalitupa siku na saa ya kuja kwake Yesu"
Karibuni tujadili kwa hekima kubwa na kwa kutoa ushahidi wa kimaandiko
Aksanteni sana wapendwa
*Nukuu kutoka kitabu cha Early Writings, ukurasa wa 155, 34, 285).
Nimeweka nukuu ya Nabii Mke wa Waadventista Wasabato Hellen G White akidai kuambiwa saa na siku ya kurudi kwa Yesu Kristo katika njozi
"As God has shown me in holy vision ... we heard the voice of God like many waters, which gave us the day and hour of Jesus' coming"
"Mungu amenionyesha katika maono matakatifu ... tulisikia sauti ya Mungu kama maji mengi ambayo yalitupa siku na saa ya kuja kwake Yesu"
Karibuni tujadili kwa hekima kubwa na kwa kutoa ushahidi wa kimaandiko
Aksanteni sana wapendwa
*Nukuu kutoka kitabu cha Early Writings, ukurasa wa 155, 34, 285).