Ilo shetani UCD ukitaja MUNGU linachukia sababu ni moja la mashetani yaliyomkasirikia MUNGU kwa kumponya LISU. Na wao kushindwa kwa UWEZA WA MUNGUKisiasa ameshindwa kweli maana kachakazwa hasa kiasi kwamba hata si Mbunge tena, Ila ki afya yeye ni mshindi. Sasa ww ulikuwa unashindana nae kisiasa au kwa afya yake? Maana wafuasi wake naona wanampongeza kwa kuishinda mauti na wewe unamshambulia kwa kushindwa kisiasa. Tuchukue nafasi hii kumpongeza kwa kupigania uhai wake na kwa uweza wa MUNGU bado yupo imara.
Waumie kwa lipi? Huyo msaliti wakati hata ubunge hana tena!
Ilo shetani UCD ukitaja MUNGU linachukia sababu ni moja la mashetani yaliyomkasirikia MUNGU kwa kumponya LISU. Na wao kushindwa kwa UWEZA WA MUNGU
Atakuwa anajilaumu sanaKama ulijua kuna siku yake ulipiga risasi za nini wewe Zezeta
Mkuu huyo jamaa ana ujinga wa kumtosha
Mkuu huyo jamaa ana ujinga wa kumtosha
Karibu sana Nyumbani Mr. President 2020
"Mopao Mokonzi"
Kakwambia mume wa mamaako?Mkuu mnataka kumuua tena??
MUNGU ATADAI DAMU ZA WATU MIKONONI MWENU.NDIPO MTAKAPOKIMBIANA.Kasome Biblia adhabu ya msaliti ni nini?
Kumbe? Nilikuwa sijui mkuu!
UNA UPUUZI MWINGI SANA UKIDHANI JF KUNA MAZEZETA YASIYOFIKIRIA KAMA WEWE.UCHUNGUZI UMEFANYIKA NA UMEKWISHA. WAHUSIKA WAKUU WANASUBIRIWA NA MMOJA WAO NI LISSU. HIZO NGONJERA MARA WALINZI WALIONDOLEWA MARA CCTV ZILIFUNGULIWA NI HABARI ZA KUTUNGA NA KESI ITAKAPONGURUMA HATA WEWE UTAUFAHAMU UKWELI
HahahahaIna maana amekuja kimya kimya? Vipi yale maandalizi ya mapokezi hapo Ufipa? Kweli Jiwe kiboko hadi 'shujaa' anarudi kwa kunyatianyatia!!!??
Kwahiyo hao hawajashikiwa akiliKumbe wakati mwingine una akili, kama unakili kuwa wana chama wa cdm ndiyo wanahitaji mwenyekiti wao aendelee kuwaongoza.
Sasa hapo kosa liko wapi? Wanachama ndiyo wenye uamuzi wa kujua nani awaongoze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahaha!
Ahahahahahahaha!
Usilojua.
Inaweza kuwa mbinu mpya, tena ya hatari zaidi kuliko unavyodhani.
Mwenye maguvu usitake kupambana naye kwa maguvu ambayo wewe huna. Tumia njia mbadala ya maguvu zitakazofanya kazi nzuri zaidi.
[/QUOTE
Kama unaamini hivyo, Sawa. Ngoja tuone matokeo ya hiyo mbinu "hatari". Ahahahahahahh!
Kama vile usivyoona tofauti kati ya babaako na hawara ya mamaako.jiwe na shetani hamna tofauti