Je, Kikwete ni mdini?

Je, Kikwete ni mdini?

This post from Sokomoko is one of the post that need to be discussed and im very happy for bringing this matter here coz majority of us here in JF tunaeneza propaganda za ajabuajabu kuhusu Kikwete na Uislam.

Big up sokomoko
\

I feel sorry mpaka sasa ndugu zetu wanaosema Jakaya ni mdini hakuna alieleta facts za kuonyesha udini wake zaidi ya kebehi na maneno ya kashfa juu ya uislam na waislam. I hope Mwanakijiji atapitia kitabu cha Kwaheri ukoloni karibu uhuru atakuja na uchambuzi makini na kuona tatizo lipo wapi na lirekebishike vipi.
 
\

I feel sorry mpaka sasa ndugu zetu wanaosema Jakaya ni mdini hakuna alieleta facts za kuonyesha udini wake zaidi ya kebehi na maneno ya kashfa juu ya uislam na waislam. I hope Mwanakijiji atapitia kitabu cha Kwaheri ukoloni karibu uhuru atakuja na uchambuzi makini na kuona tatizo lipo wapi na lirekebishike vipi.

Akili za kuambiwa changanya na za kwako! This is a useless thread. Pole Ustaadhi
 
nimekupata vizuri sasa tukija kwenye hili la dini ni lazima tuangalie madhehebu ya dini ili kuyawakilisha vizuri au mtu akiwa ni mkristu basi ni mkristu tu; kwa mfano, tuhakikishe Wakatoliki, Walutheri na Wapentekoste nao wanakuwa represented vizuri kama vile Sunni, Shia, Answar?

Yes.
 
Kati ya wajinga waliopo wa namna hii aliyeleta thead hii hali yake ni mbaya zaidi. Huu ni upuuzi mkubwa. Upuuzi wa kidini usituletee hapa. Acha kama ulivyoacha ziwa ulilonyonya na ukome.
 
Mods, na wana JF,

Haitakuwa busara kwa thread hii kuipeleka sehemu ya dini, inajulikana sehemu hiyo haifikiwi na watu wengi hapa JF ikiwa mimi mmoja wapo.

Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.


Sitegemei kuwa JF/Mods wapo kwa ajili ya kuchochea chuki dhidi ya Serikali iliyopo madarakani kwani kama itakuwa ni hivyo basi wanafanya jambo la hatari sana linaloweza kutugharimu. Tumeona ile thread ya OIC ikiachiwa kuchangiwa na kila mtu na mwenye kila tusi dhidi ya dini ya kiisamu na kejeli akiachiwa kwa marefu na mapana. Kwahiyo sioni sababu ya hii thread ya kisiasa zaidi kutupiwa huko kusikojulikana.


Mwisho napenda kutoa angalizo:

Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Hapa JF ni sehemu ya kutoa mawazo na kila mmoja aheshimiwe mawazo yake na sio kufungwa na kutupwa kapuni.

Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake. Na ndio maana kwa kutumia mlango wa nyuma kuna chama kikasimamisha watumishi wa Mungu kwa wingi na kufanikiwa kupenya kila pembe ya Tanzania. Inasemekana Kanisa liliplay part kubwa kwa mafanikio ya chama fulani. Na hizo zilikuwa ni hasira za watumishi wa kanisa.

KUNA TETESI KUWA WAFUATILIAJI WA MAMBO WAMEITHIBITISHIA SERIKALI UBADHIRIFU MKUBWA WA RUZUKU ILIYOKUWA INATOLEWA NA SERIKALI SAMBAMBA NA MISAMAHA YA KODI. MISAMAHA HII YA KODI NI ILE YA UAGIZWAJI MAGARI NA VITU MBALIMBALI KUPITIA TRUSTEES ZA MAKANISA. NA TANGU KUANZA KUBANWA KUMEKUWA NA UAIGIZAJI WA VITU MDOGO TOFAUTI NA HAPO MWANZO, MAANA INASEMEKANA WAJANJA WALIKUWA WANATUMIA MWANYA HUO KUJINUFAISHA.

Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"

Leo hii ukitia pua tu JF na maeneo mengi kwenye mitandao na mitaani utakutana na shutuma kuwa JK ni Mdini, lakini hawatoi facts za udini wake.

Je, JK ni mdini?

Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara 26 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015

  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe (Mkristo)
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira (Mkristo)
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa (Mkristo)
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi (Mkristo)
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu (Mkristo)
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika (Mkristo)
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri (Mkristo)
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii)Kassim Majaliwa -
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu (Mkristo)
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani (Mkristo)
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe (Mkristo)
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo (Mkristo)
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro (Mkristo)
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga(almaaruf Mawe Matatu) (Mkristo)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka (Mkristo)
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye (Mkristo)
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige (Mkristo)
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja (Mkristo)
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli (Mkristo)
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe (Mkristo)
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami (Mkristo)
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu (Mkristo)
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa (Mkristo)
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo (Mkristo)
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya (Mkristo)
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka (Mkristo)
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga (Mkristo)
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi (Mkristo)
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala (Mkristo)
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta (Mkristo)
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza (Mkristo)
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya (Mkristo)
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwinge (Mkristo)
Jumla yote ni 50 kati yao wakristo 32 na waislam 18.

Wakristo 64%
Waislam 36%

Ukiangalia wakuu wa mikoa na wilaya utaona wakristo ni wengi zaidi ya waislam sasa sijui na sifahamu huo udini wa JK upo wapi???

Mwenye data tafadhali azilete jamvini.


Kuna habari za hivi punde ni kuwa kuna makampuni zaidi ya 80 ya clearing and forwarding yamefungiwa kwa sababu mbalimbali kubwa hasa ubabu mashi. Inajulikana kwenye sekta hii watu wa kutoka mkoa fulani wameishikilia kwa asilimia zaidi ya 80. Inasemekana sifa ya watu wanaotoka huko ni ujanja mwingi na ni wakwepaji wakubwa wa kodi na walitumia vizuri sana nafasi ya kuwa na udugu kuanzia uwaziri mpaka kamishna wakati wa Che Nkapa.

Ushauri kwa JK, Mkuu wee endelea kukaza buti watu walipe kodi kwa manufaa ya nchi usijali tunakusapoti kwa maana hawana shukrani Serikali imewaachia wamekula sana kodi kupitia ukwepaji na misamaha hewa lakini wamekuwa mbele kunyea kambi.

Kama kigezo pekee alichotumia kuteuwa mawaziri ni hiki unachokiongelea basi jibu la swali lako la kama Kikwete ni mdini ni NDIYO. Naona amechagua wakristo na waislam peke yao wakati kwenye nchi hii tupo na wapagani wengi sana na wengine ni waumini dini nyingine ndogodogo kama Budha, wahindu etc.

Na kwa taarifa yako siyo kila anayeitwa John ni mkisto na siyo anayeitwa Juma basi ni mwislam. Kuna wapagani wengi tu wana majina yanayofanana na hayo ya wanaojiita wakristo na waislam.
 
Smoke screen hii, kama kawaida badala ya kujadili matatizo na kero sugu mbalimbali zinazozikabili taifa watu mnakimbilia kujadili dini walizoleta wafanyabiashara ya watumwa na wakoloni.

Jana mimi nimelala gizani na bila maji kama vile ninavyofanya kwa wastani wa miezi 3 kila mwaka toka 2004. Nyie je?
 
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingebiruka juu chini

waislam walianzisha shule au hospitali wakanyimwa ruzuku??na hizo shule si walikuwa wanasoma wa dini zote??na hospitali si wanatibiwa wote??tatizo la waislam badala ya kujenga shule na hospitali wanajenga madrasa na misikiti ili wawajaze chuki watoto..ukweli ni kwamba waarabu wamewarithisha mawazo ya kimaskini...eti siku hizi kuna seminari za kiislam,thank god wameiga kitu positive labda uhalifu utapungua


Seminari ya kwanza ya waislamu kuanzishwa ilikuwa ni Kindononi Muslim Islamic Seminary way back in 1984 na Nyerere aliamuru ibadilishwe isiwe Seminary ila iwe Sekondari ya kawaida (Rejea kitabu cha Mwembechai Killings.... cha Prof Hamza Njozi). Sasa kwa rafu hizi ulitegemea nini kutoka kwa waislamu.!? Huku Wakristo wakipata Ruzuku toka Serikalini na Wakristo wenziwao wakwasaidia ..huku misaada kwa waislamu ikizuiwa kupitia OIC.
 
Kikwete sidhani kama ni mdini ila ana dini yake anayoipenda, mdini ni wewe ambaye unachukuwa muda kuorodhesha idadi ya wakristo walioko kwenye baraza la mawaziri. Huo unaofanya ni udini tena wa kijinga. Napenda nikufahamishe pia kuwa idadi kubwa ya wabunge la Jamhuri ya Muungano ni wakristo, aidha idadi kubwa ya madiwani, wenyeviti wa vijiji na wajumbe wa nyumba kumi ni waislamu. Ila naomba ufanyie kazi idadi ya wanafuzi wanaofanya vizuri kidato cha Nne, cha sita na shule walizotoka. Uelewe bayana kuwa, uwezo wa mtu ndiyo hutumika kupewa madaraka na majukumu sio kutumia kigezo cha anatoka dini gani. Tambua wazi kuwa sifa za kumpata askofu au shehe sio zinazotumika katika kupata viongozi wa kisiasa.
 
Nyie shule bado ni tatizo mungu hakutoa karama hiyo kwenu mlichoambulia ni migogoro fitna na mauaji ya kujitoa mhanga!!!!!!!!!!
 
Angewapata waisilamu wengine zaidi wenye sifa angewaweka humo kwanza. Tatizo waisilamu waliisha ndo akalazimika kuchagua wakristu!
 
Sijalalamika kwanini waislam wamepewa wizara chache nimeonyesha kuwa JK sio mdini ila tatizo kabana misamaha iliyokuwa inatumika kinyume na malengo kwenye makanisa na ile ruzuku serikali iliyokuwa inaipa kanisa ambayo imekoma ndio sababu ya yeye kuitwa mdini na kujengewa chuki hapa JF.

Pia nimeelezea jinsi chuki zilivyopandikizwa especial makanisani maana huyu jamaa 2005 walimtaja kama chaguo la "Mungu" lakini 2010 wakakaa kimya kwa kuwa biashara zao zimeshtukiwa.

Pia nikaenda mbali nikasema zamani CCM na Mkristo ni kama Chanda na pete ila Kanisa kupitia kile chama chetu kwa kunyimwa ruzuku na serikali kubana misamaha ya kodi isiyo na tija ikakisaidia kile chama chetu ambacho kilisimamasha watumishi wa kiroho wengi kuliko chama chochote.

Nadhani umeelewa wewe ndio unahitaji kurudi shule inaonyesha ulidumaa when u were under 5 na akili yako ikaduma.


Pumba!
Kama unaona CCM ina ushirika na Ukristo, nenda kajiunge CUF
Utalia sana lakini ukweli uko pale pale: huna hoja, ndiyo maana unakimbilia udini.
Nenda kawasomeshe wenzio, badala ya kukazania kushikishwa kuta!
 
Pumba!
Kama unaona CCM ina ushirika na Ukristo, nenda kajiunge CUF
Utalia sana lakini ukweli uko pale pale: huna hoja, ndiyo maana unakimbilia udini.
Nenda kawasomeshe wenzio, badala ya kukazania kushikishwa kuta!

Hili ni neno la leo
 
Imagine ingekuwa waislam wamesign huu mkataba wa siri...

Naona nchi ingebiruka juu chini



kwa sababu serikali ilikuwa inawapa wakiristo pesa,muhimu ni serikali iwafidie waislam pesa ilizowapa hawa wakrsito na kodi yao



Pamoja na yote hata hawa waksristo wakiongozwa na pengo wanapinga nchi kujiunga na oic kwa hoja eti watafaidika waislam wakati wao walikuwa wanaikamua system wanavyotaka


ama kweli waislam wa tanzania wavumilivu

KAZI ILIYOBAKI NI MOJA TU:
Wakati wewe unalia lia na udini, wenzio wanachapa kazi, kipato chao kinakua kikubwa. Wanajenga miradi mikubwa mikubwa, wewe unajenga misikiti.
Wanajenga mashule , wewe unanunua viwanja katikati ya jiji ili usijenge hata shule.
Basi , utakapomaliza kulia, watu watakuwa wamechukua uchumi wote.
Nakupa pole sana kwa ufinyu wa welewa wako......
 
Mods, na wana JF,

Haitakuwa busara kwa thread hii kuipeleka sehemu ya dini, inajulikana sehemu hiyo haifikiwi na watu wengi hapa JF ikiwa mimi mmoja wapo.

Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.


Sitegemei kuwa JF/Mods wapo kwa ajili ya kuchochea chuki dhidi ya Serikali iliyopo madarakani kwani kama itakuwa ni hivyo basi wanafanya jambo la hatari sana linaloweza kutugharimu. Tumeona ile thread ya OIC ikiachiwa kuchangiwa na kila mtu na mwenye kila tusi dhidi ya dini ya kiisamu na kejeli akiachiwa kwa marefu na mapana. Kwahiyo sioni sababu ya hii thread ya kisiasa zaidi kutupiwa huko kusikojulikana.


Mwisho napenda kutoa angalizo:

Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Hapa JF ni sehemu ya kutoa mawazo na kila mmoja aheshimiwe mawazo yake na sio kufungwa na kutupwa kapuni.

Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake. Na ndio maana kwa kutumia mlango wa nyuma kuna chama kikasimamisha watumishi wa Mungu kwa wingi na kufanikiwa kupenya kila pembe ya Tanzania. Inasemekana Kanisa liliplay part kubwa kwa mafanikio ya chama fulani. Na hizo zilikuwa ni hasira za watumishi wa kanisa.

KUNA TETESI KUWA WAFUATILIAJI WA MAMBO WAMEITHIBITISHIA SERIKALI UBADHIRIFU MKUBWA WA RUZUKU ILIYOKUWA INATOLEWA NA SERIKALI SAMBAMBA NA MISAMAHA YA KODI. MISAMAHA HII YA KODI NI ILE YA UAGIZWAJI MAGARI NA VITU MBALIMBALI KUPITIA TRUSTEES ZA MAKANISA. NA TANGU KUANZA KUBANWA KUMEKUWA NA UAIGIZAJI WA VITU MDOGO TOFAUTI NA HAPO MWANZO, MAANA INASEMEKANA WAJANJA WALIKUWA WANATUMIA MWANYA HUO KUJINUFAISHA.

Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"

Leo hii ukitia pua tu JF na maeneo mengi kwenye mitandao na mitaani utakutana na shutuma kuwa JK ni Mdini, lakini hawatoi facts za udini wake.

Je, JK ni mdini?

Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara 26 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015

  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe (Mkristo)
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira (Mkristo)
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa (Mkristo)
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi (Mkristo)
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu (Mkristo)
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika (Mkristo)
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri (Mkristo)
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii)Kassim Majaliwa -
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu (Mkristo)
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani (Mkristo)
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe (Mkristo)
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo (Mkristo)
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro (Mkristo)
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga(almaaruf Mawe Matatu) (Mkristo)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka (Mkristo)
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye (Mkristo)
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige (Mkristo)
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja (Mkristo)
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli (Mkristo)
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe (Mkristo)
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami (Mkristo)
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu (Mkristo)
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa (Mkristo)
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo (Mkristo)
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya (Mkristo)
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka (Mkristo)
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga (Mkristo)
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi (Mkristo)
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala (Mkristo)
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta (Mkristo)
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza (Mkristo)
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya (Mkristo)
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwinge (Mkristo)
Jumla yote ni 50 kati yao wakristo 32 na waislam 18.

Wakristo 64%
Waislam 36%

Ukiangalia wakuu wa mikoa na wilaya utaona wakristo ni wengi zaidi ya waislam sasa sijui na sifahamu huo udini wa JK upo wapi???

Mwenye data tafadhali azilete jamvini.


Kuna habari za hivi punde ni kuwa kuna makampuni zaidi ya 80 ya clearing and forwarding yamefungiwa kwa sababu mbalimbali kubwa hasa ubabu mashi. Inajulikana kwenye sekta hii watu wa kutoka mkoa fulani wameishikilia kwa asilimia zaidi ya 80. Inasemekana sifa ya watu wanaotoka huko ni ujanja mwingi na ni wakwepaji wakubwa wa kodi na walitumia vizuri sana nafasi ya kuwa na udugu kuanzia uwaziri mpaka kamishna wakati wa Che Nkapa.

Ushauri kwa JK, Mkuu wee endelea kukaza buti watu walipe kodi kwa manufaa ya nchi usijali tunakusapoti kwa maana hawana shukrani Serikali imewaachia wamekula sana kodi kupitia ukwepaji na misamaha hewa lakini wamekuwa mbele kunyea kambi.

1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Jakaya Mrisho Kikwete (Muislam)
2. Makamu wa kwanza wa Rais wa jamhuri ya Muungano: Ghalib Bilali (Muislam)
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar: Mohammed Sheni (Muislam)
4. Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar: Seif Sharif Hamadi (Muislam)
5. Makamu wa pili wa Rais Zanzibar:..................................
6. Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano: Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mkristo)...

Hapo jee
 
Kwanza lazima tuwe na viongozi ambao wanapresent geographic ya TZ, dini tofauti tofauti,kabila tofauti tofauti. Tuwe na viongozi ambao wametoka mikoa tofauti tofauti ili kuwe na haki ktk geographic ambayo inapresent TZ, na siyo mikoa fulani, na dini fulani tu. Tukijenga nchi kwa misingi ya usawa tutafika mbali sana as a Nation, lakini siyo kama sasa hivi, watu wanapeana kazi kwa kujuana. Matokeo yake, ndiyo tunaona vita katika nchi kama Sudan, Rwanda, Congo, nk.

John,
Ndiyo maana tunataka katiba mpya ili wewe uweke malalamiko yako humo , yajadiliwe na yapimwe kama yana mantiki.
Sioni busara yoyote ya hiyo Geographic represantation, maana nashindwa kujua utawezaje kulinganinisha unguja na Mwanza.
Sasa basi, kwa kuwa uko serious na umetumwa na huyo mdini ( Yes, ni wewe umeuliza kama JK ni mdini au la), basi mshauri aanzishe mchakato wa Katiba mpya, ili hayo ya equal representationn , OIC, KADHI, kubadilishana madaraka and all the non sense yajadiliwe na opublic ya Tanzania na uone yana kubalika vipi
Sawa Mzee?
 
Ivi mtoa mada lengo lake ni nini hasa?

Jamaa ni wale waislam wanaovaa kanzu kuu kuu, bagarashia na kandambili. Kutwa kushinda Misikitini kusubiri wapewe misaada! hana uwezo wa kufikiri mbali na urefu wa pua yake!
 
Smoke screen hii, kama kawaida badala ya kujadili matatizo na kero sugu mbalimbali zinazozikabili taifa watu mnakimbilia kujadili dini walizoleta wafanyabiashara ya watumwa na wakoloni.

Jana mimi nimelala gizani na bila maji kama vile ninavyofanya kwa wastani wa miezi 3 kila mwaka toka 2004. Nyie je?

That is something people should reckon at!

Badala ya kujadili namna ya kuondokana na matatizo yanayotukabili ambayo yanatokana na viongozi wetu na wananchi wenye dhamana kuksa nidhamu na uadilifu tunakimbilia kuchikoza mijadala yenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani. Hivi kwa nini hatujiulizi ni kwa nini tangu uhuru ambapo keshokutwa tunatimiza miaka 49 hatujawa na mkakati wa kudumu wa kupambana na tatizo la umeme? Tunabuni viji-mbinu vya zima moto mradi myanya ya ki-richmond ipatikane! Kweli kwa nusu karne nchi imekosa viongozi wenye akili kutafuta suluhu ya kudumu ya matatizo haya au watu wanafanya makusudi ili ulaji uendelee kuwepo?

Nawaombeni sasa badala ya kuongea mambo yasiyo na tija tujadili ya maana!!
 
That is something people should reckon at!

Badala ya kujadili namna ya kuondokana na matatizo yanayotukabili ambayo yanatokana na viongozi wetu na wananchi wenye dhamana kuksa nidhamu na uadilifu tunakimbilia kuchikoza mijadala yenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani. Hivi kwa nini hatujiulizi ni kwa nini tangu uhuru ambapo keshokutwa tunatimiza miaka 49 hatujawa na mkakati wa kudumu wa kupambana na tatizo la umeme? Tunabuni viji-mbinu vya zima moto mradi myanya ya ki-richmond ipatikane! Kweli kwa nusu karne nchi imekosa viongozi wenye akili kutafuta suluhu ya kudumu ya matatizo haya au watu wanafanya makusudi ili ulaji uendelee kuwepo?

Nawaombeni sasa badala ya kuongea mambo yasiyo na tija tujadili ya maana!!

Mkuu watu wa aina hii na kanzu zao kuu kuu,na kandambili chakavu. Huwezi jadiliana nao kitu wao huwaza lini watapewa wali bure na tende.
 
Back
Top Bottom