Mods, na wana JF,
Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"
[/COLOR]
Nonsense
Waliopo JF hawawezi kukuelewa kukuelewa na hoja zako.
Unaamaanisha nini: kwamba sasa hivi Wakristo si CCM na kwamba Waislamu hawakusema huyo ni chaguo la Mungu?
Na kumbuka Nyerere alisema kiongozi wa nchi lazima awe na dini, "kama mtu hana dini basi kwa msaafu au biblia tutamwapisha"
please usitujengee hiyo hoja wala usitutenganishe kwa udini, hatuna hilo na wala kwa sasa halitowezekana