kalamuzuvendi
Member
- Nov 19, 2010
- 65
- 3
1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Jakaya Mrisho Kikwete (Muislam)
2. Makamu wa kwanza wa Rais wa jamhuri ya Muungano: Ghalib Bilali (Muislam)
3. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar: Mohammed Sheni (Muislam)
4. Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar: Seif Sharif Hamadi (Muislam)
5. Makamu wa pili wa Rais Zanzibar:..................................
6. Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano: Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mkristo)...
Hapo jee
Aise huyu jamaa ni kilaza kweli.
1.Zanzibar waislam ni wengi zaid(+90%), so ni sawa kuwa hivyo kwao.
2.Makam wa rais wa tanzania anatakiwa atoke znz, according to jibu no1 juu hutakiwi shangaaa hili pia.
kama una akili huto reply otherwsie utaprove kuwa wewe ni kilaza!