John10
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 357
- 11
Sasa na wewe ndiyo unakuwa ignorant. Raisi kusema kuna udini ndiyo ina prove beyond a shadow of a doubt kwamba kuna udini? Kwa hiyo kesho akiingia raisi mwingine akisema hamna udini uta badilisha kauli na kusema hamna udini raisi kasibitisha? Where is your reasoning mkuu. Tambua yule ni mwanasiasa na politics and facts do not always go hand in hand. Kuna yule mwanasiasa katuambia zile kura milioni kumi ambazo hazi kupigwa zinge kuwa zake nae tumuamini?
Pili, hamna sehemu yoyote ambayo nime kuiya mdini kwa kuongelea dini. That is your own conclusion. Nilikuita mdini kwa kuadvocate ajira ziangalia among other things dini. Ina maana kwa utaratibu unaotaka wewe Athumani hata kama ana vigezo vyote ana weza kukosa kazi kwa sababu kwenye ofisi hiyo idadi ya watu wa dini yake wamesha timia!
Tatu, umesema JK kathibitisha kuna udini right? Haya JK kateua Wakristo hao 32 mnaodai dhidi ya Waislamu 18. Sasa je tumeenda full circle na sasa una jiunga na wanaodai JK ni mdini kwa sababu kateua baraza la mawaziri bila kuangalia uwiano wa dini? Si that's your point? Ama?
Rais akizungumza anatakiwa awe anazumgumza facts na siyo mawazo yake binafsi. Kwa hiyo, ninaamini JK kasema TZ kuna Udini kwa kutumia Facts.
Hii ndiyo moja ya sababu nilikuwa nakupa question ya kiongozi fulani kuwa IGNORANT. Umeona nimechukua JK hotuba yake as facts kustudy vizuri kuhusu Udini anaozungumzia. JK siyo mdini ni IGNORANT. Anazungumzia TZ ni chenye Udini, halafu bado anagawa madaraka kwa kupendelea watu wa dini fulani. Hii inaonesha jinsi gani viongozi wetu ni MAIGNORANT.