Nazan tunachanganya mambo
alafu tu wabinafsi sana sisi watanzania kwa mfano kuhusishwa shule za waislam kutaifishwa ivi ni shule ngapi za wakristo zimetaifishwa ukianzia na ilboru(kaskazini)pugu,minaki(pwani)( hadi kusini) mtwara na songea kigonsela?
Ubunifu ziro sisi wabongo mfano kuhusu ruzuku je hizo taasisi ziliomba mikataba na serikali ikanyimwa au walisubili wenzao waombe nao walalamike?au waliponyimwa walichukua hatua gani km walinyimwa?
Kuhusu ruzuku,je waliomba wakanyimwa?ivi kuipa kampuni ya simu ya mwekezaji msamaha wa kodi au mgodi na kuipa hosp kipi cha muimu kwa watanzania?
Miradi ya maendeleo km hosp,shule,vyuo,angalia ubora na umakini na ufanisi,ivi kcmc na bugando unaweza ukalinganisha na
hosp zetu?sitaki kuzitaja jina,maana kuna huduma au kozi ambazo hata muhimbili hakuna au nadanganya,?kuna mengi sana kwenye utawala,ivi tunagawa vyeo km pipi ili kuonyesha hatuna upendeleo au tunaangalia ufanisi wa mtu?
NinA mengi ila naomba niishie hapa,ila tutafakari kabla ya kuamua