Je, inawezekana mzazi akawasaliana na afisa wa utumishi kazini kwa mtoto wake ili kusaidia ombi la uhamisho

Pleasepast

JF-Expert Member
May 30, 2023
325
454
Habarini za asubuhi wapendwa

Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa na haya mambo anijuze, hivi inawezekana mzazi kusaidia kuongea na afisa wa utumishi kazini kwa mtoto wake ili mtoto apate uhamisho baada ya mtoto kupitia changamoto kubwa kazini kuhusu mwanamke aliyezaa na ye yani ndugu wa mke wakawa wanamfanyia mambo mabaya na kukawa na hatari ya wao kumharibia kazi

Naomba kuwasilisha wakuu.
 
Kazaa naye, kwanini asimuoe? nyie ndo mnasaidia kuongeza watoto wa mtaani.

Anyways, fanya uende moja kwa moja ukakutane na katibu mkuu wa wizara yake, japo kuingia ni mbinde sana.

Uwe na documents za kusapoti ombi lako.
 
Ndugu sio kil
Kazaa naye, kwanini asimuoe? nyie ndo mnasaidia kuongeza watoto wa mtaani.

Anyways, fanya uende moja kwa moja ukakutane na katibu mkuu wa wizara yake, japo kuingia ni mbinde sana.

Uwe na documents za kusapoti ombi lako.
Ndugu yangu sio kila mwanamke ni wa kuoa wengine ni mashetani hawafai kuolewa na mtu anajikuta amezaa nae kwenye kipindi ambacho binti ana igiza tabia njema na kumbe ni nyoka
 
Habarini za asubuhi wapendwa

Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa na haya mambo anijuze, hivi inawezekana mzazi kusaidia kuongea na afisa wa utumishi kazini kwa mtoto wake ili mtoto apate uhamisho baada ya mtoto kupitia changamoto kubwa kazini kuhusu mwanamke aliyezaa na ye yani ndugu wa mke wakawa wanamfanyia mambo mabaya na kukawa na hatari ya wao kumharibia kazi

Naomba kuwasilisha wakuu.
Kama mzazi wala usisubiri sababu mwisho wa siku unaweza poteza mtoto wako , simama kama mzazi ndiyo maana kuna msemo mtoto hakui kwa wazazi wake. Onyesha nini maana ya kuwa mzazi. Msaidie mtoto wako.Pole sana haya mambo yapo sana makazini na sababu mbali mbali zingine umekataa kushiriki dili, umesimamia sheria na taratibu, pengine una elimu zaidi, pengine una bidii kazini yanaweza yakakukuta kama haya
 
Nashukuru kwa ushauri wako kwaio niende tu nikashughulikie kumsaidia kuomba wamuhamishe kutoka hapo alipo kwasababu alipo ndipo yupo uyo mwanamke na ukoo wake wote ila yeye uko ni mgeni sio kwao
Kama mzazi wala usisubiri sababu mwisho wa siku unaweza poteza mtoto wako , simama kama mzazi ndiyo maana kuna msemo mtoto hakui kwa wazazi wake. Onyesha nini maana ya kuwa mzazi. Msaidie mtoto wako.Pole sana haya mambo yapo sana makazini na sababu mbali mbali zingine umekataa kushiriki dili, umesimamia sheria na taratibu, pengine una elimu zaidi, pengine una bidii kazini yanaweza yakakukuta kama haya
 
Habarini za asubuhi wapendwa

Naomba kuuliza kwa mwenye uelewa na haya mambo anijuze, hivi inawezekana mzazi kusaidia kuongea na afisa wa utumishi kazini kwa mtoto wake ili mtoto apate uhamisho baada ya mtoto kupitia changamoto kubwa kazini kuhusu mwanamke aliyezaa na ye yani ndugu wa mke wakawa wanamfanyia mambo mabaya na kukawa na hatari ya wao kumharibia kazi

Naomba kuwasilisha wakuu.
Mwambie amuoe huyo binti
Anataka nan amuoe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru kwa ushauri wako kwaio niende tu nikashughulikie kumsaidia kuomba wamuhamishe kutoka hapo alipo kwasababu alipo ndipo yupo uyo mwanamke na ukoo wake wote ila yeye uko ni mgeni sio kwao
Lakin mkuu hukumkataza kijana wako asijihusishe na ngono anapoenda huko ugenini?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Binti hataki kuolewa ila anataka kukaa na mtoto na kaka zake wanampigia kijana simu wanasema lazima ahudumie mtoto na hela atume kwa mama ake na binti sasa wamemuandama kijana wote wao wako ukoo mzima ila yeye yupo peke yake na mimi niko mbali ndio maana nataka nimsaidie ahame huko wasije wakamuua ndio maana nilizani labda nikiwasiliana na afisa wake wa utumishi itakua sawa au itaonekana nimewaingilia kwenye kazi zao
Kazaa naye, kwanini asimuoe? nyie ndo mnasaidia kuongeza watoto wa mtaani.

Anyways, fanya uende moja kwa moja ukakutane na katibu mkuu wa wizara yake, japo kuingia ni mbinde sana.

Uwe na documents za kusapoti ombi lako.
 
Back
Top Bottom