Surveyor_1
Member
- Jan 2, 2022
- 48
- 29
Habari wana JF, natumai muwazima.
Nina jambo limenitatiza naomba ufafanuzi.
Swali ni kuwa, kwa mtu ambae A level alisomaga PCM na akafaulu vizuri,je inawezekana kama akihitaji kusomea medicine akafanya mtihani wa Biology A level ili kupata credit (kwa kuzingatia anahitaji mchepuo wa PCB kwa ajili ya madomo ya udaktari)
Nina jambo limenitatiza naomba ufafanuzi.
Swali ni kuwa, kwa mtu ambae A level alisomaga PCM na akafaulu vizuri,je inawezekana kama akihitaji kusomea medicine akafanya mtihani wa Biology A level ili kupata credit (kwa kuzingatia anahitaji mchepuo wa PCB kwa ajili ya madomo ya udaktari)