Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 770
- 2,408
Mungu ni mwema mdogo wangu amefaulu kwa kupata daraja la kwanza na alama 16 (1 point 6). Physics na Mathematics amepata D. Ila Biology B, Chemistry B na Geography C. Lengo lake lilikuwa ni kusoma PCB, PCM au EGM. Hataki CBG.
Kwenye PCB au PCM tayari Physics ana D. Kwenye EGM tayari Math ana D. Je, inawezekana akaruhusiwa kusoma PCM, PCB au EGM. Maana mimi najua ufaulu unaoruhusiwa ni alama C. Naomba mwongozo wakuu wale mliobobea katika nyanja hii nyeti ya Elimu.
Natanguliza shukrani zangu.
Kwenye PCB au PCM tayari Physics ana D. Kwenye EGM tayari Math ana D. Je, inawezekana akaruhusiwa kusoma PCM, PCB au EGM. Maana mimi najua ufaulu unaoruhusiwa ni alama C. Naomba mwongozo wakuu wale mliobobea katika nyanja hii nyeti ya Elimu.
Natanguliza shukrani zangu.