Kwanini private candidates wengi huwa wanafeli (hawapati matokeo mazuri kama ya school candidates?

Surveyor_1

Member
Jan 2, 2022
48
29
Habari wana JF.

Kuna mwalimu mmoja mstaafu nilimsikia akisema private candidates mara nyingi huwa hawafanyi vizuri kwa kuwa alama zao za mitihani hugawanya nusu kwa kuwa wao huwa hawana assessments za darasani na majaribio kama school candidates.

Ama kwa upande wa school candidates wao yale majaribio na mitihani ya kipindi chote cha masomo huwa yanawabeba kwenye mtihani wa mwisho.

Je, kuna ukweli wowote juu ya hili? Msaada went great thinkers.
 
Kweli umevurugwa. Umeuliza ishu mbili tofauti.
Najibu title kama ifuatavyo
“Ni vigumu sana kusoma na kufaulu kitu unachohisi unakijua ama ulichowahi kusoma” kwa ufupi PC wengi vikombe vyao vimejaa!
 
Kweli umevurugwa. Umeuliza ishu mbili tofauti.
Najibu title kama ifuatavyo
“Ni vigumu sana kusoma na kufaulu kitu unachohisi unakijua ama ulichowahi kusoma” kwa ufupi PC wengi vikombe vyao vimejaa!
Sio kweli. kuna watu wanasoma kama PC wakiwa hawajawahi kusoma/kufanya mitihani kwa kuwa mfumo uliwaacha nyuma kwa sababu mbalimbali, wakalazimika kuwa PC bila kupenda. Na shule tumesoma nao full time na darasani wako fit kuliko hata School candidates ila kwenye results la NECTA unakuta chali 🙄🙄.

Kuna mwamba mmoja tu nilisoma nae yule ndo alinistaajabisha alipiga 1.9 ya PCM kama PC. Mpaka leo sijawahi kuelewa aliwezaje.
 
Sio kweli. kuna watu wanasoma kama PC wakiwa hawajawahi kusoma/kufanya mitihani kwa kuwa mfumo uliwaacha nyuma kwa sababu mbalimbali, wakalazimika kuwa PC bila kupenda. Na shule tumesoma nao full time na darasani wako fit kuliko hata School candidates ila kwenye results la NECTA unakuta chali 🙄🙄.

Kuna mwamba mmoja tu nilisoma nae yule ndo alinistaajabisha alipiga 1.9 ya PCM kama PC. Mpaka leo sijawahi kuelewa aliwezaje.
🙏
 
Iko hivi PC wengi wanazinigua mitihani ya NECTA kutokana wanakuwa wanasoma bila usimamizi mkali na mkazo kama walivyokuwa hawa school candidate..

Unakuta PC anapepa la NECTA lakini ile pressure ya NECTA anakuwa hana kutokana yupo mzingira ya mtaani pia PC wengi wanakuwa wansoma huku wanafanya mishe mbali mbali kitaa at the end anakosa muda wa kupitia

Pia PC wengine unakuta kamaliza NECTA form 2010 hafu unakuja kurisit 2022 hapo kutoboa ni ngumu coz teyeri umri ushakutupa mkono unakuwa na mambo mengi na mambo mengi unakuwa umesahau ni kama unaanza upya.Kurisit hutakiwi kuzidisha miaka 3 tangu umalize shule


Ukifatilia matokeo mengi ya PC (rissiters) wengi huwa wanakimbia kabisa pepa hawafanyi maana anaona pepa limefika hafu kichwani mweupe so anaamua kunyuti na hakuna mtu atamuuliza ili mradi alishawalipa NECTA chao na kituo washachukua pesa yake so ni yeye apige pepa(kutetea pesa yake ) au laaah.

Binafsi naamini PC akipata mazingira ya kusoma under pressure NECTA anapasua bila stress so mtu kama unaresit ni vema ukaenda na shule kabisa yahn uwe mwanafunzi kwa huo mwaka unaopiga pepa
 
Iko hivi PC wengi wanazinigua mitihani ya NECTA kutokana wanakuwa wanasoma bila usimamizi mkali na mkazo kama walivyokuwa hawa school candidate..

Unakuta PC anapepa la NECTA lakini ile pressure ya NECTA anakuwa hana kutokana yupo mzingira ya mtaani pia PC wengi wanakuwa wansoma huku wanafanya mishe mbali mbali kitaa at the end anakosa muda wa kupitia

Pia PC wengine unakuta kamaliza NECTA form 2010 hafu unakuja kurisit 2022 hapo kutoboa ni ngumu coz teyeri umri ushakutupa mkono unakuwa na mambo mengi na mambo mengi unakuwa umesahau ni kama unaanza upya.Kurisit hutakiwi kuzidisha miaka 3 tangu umalize shule


Ukifatilia matokeo mengi ya PC (rissiters) wengi huwa wanakimbia kabisa pepa hawafanyi maana anaona pepa limefika hafu kichwani mweupe so anaamua kunyuti na hakuna mtu atamuuliza ili mradi alishawalipa NECTA chao na kituo washachukua pesa yake so ni yeye apige pepa(kutetea pesa yake ) au laaah.

Binafsi naamini PC akipata mazingira ya kusoma under pressure NECTA anapasua bila stress so mtu kama unaresit ni vema ukaenda na shule kabisa yahn uwe mwanafunzi kwa huo mwaka unaopiga pepa
Nimekupata vizuri mkuu,asante sana sana kwa muongozo
 
Iko hivi PC wengi wanazinigua mitihani ya NECTA kutokana wanakuwa wanasoma bila usimamizi mkali na mkazo kama walivyokuwa hawa school candidate..

Unakuta PC anapepa la NECTA lakini ile pressure ya NECTA anakuwa hana kutokana yupo mzingira ya mtaani pia PC wengi wanakuwa wansoma huku wanafanya mishe mbali mbali kitaa at the end anakosa muda wa kupitia

Pia PC wengine unakuta kamaliza NECTA form 2010 hafu unakuja kurisit 2022 hapo kutoboa ni ngumu coz teyeri umri ushakutupa mkono unakuwa na mambo mengi na mambo mengi unakuwa umesahau ni kama unaanza upya.Kurisit hutakiwi kuzidisha miaka 3 tangu umalize shule


Ukifatilia matokeo mengi ya PC (rissiters) wengi huwa wanakimbia kabisa pepa hawafanyi maana anaona pepa limefika hafu kichwani mweupe so anaamua kunyuti na hakuna mtu atamuuliza ili mradi alishawalipa NECTA chao na kituo washachukua pesa yake so ni yeye apige pepa(kutetea pesa yake ) au laaah.

Binafsi naamini PC akipata mazingira ya kusoma under pressure NECTA anapasua bila stress so mtu kama unaresit ni vema ukaenda na shule kabisa yahn uwe mwanafunzi kwa huo mwaka unaopiga pepa
Haha mechanical engineer mdau mbobezi wa elimu
 
Hii stori alituhadithia mwalimu wetu.

Ni nje ya mada.

Jamaa alikua 6 mpenzi wake hapo kijijini alikua form 5.

Ticha alivyopiga pepa ya 6 akapata divishen 2, yeye maisha yake yote ilikua lengo asome law UDSM. Basi akamuambia mchumba kwamba bwana eeh nina 2 ngoja nianze maombi.

Mpenzi akamwambia usiende sasa hivi. Nisubiri na mimi ili twende chuo kwa pamoja. Ticha kwa kuona hana sababu ya msingi ya kumuambia mzee wake juu ya yeye kutofanya maombi mwaka huo akarudi home kajinunisha akamuambia mzee wake "Bwana mi hii 2 sijaridhika nayo inadhalilisha ukoo"

Akaendelea "Ninaomba uniruhusu niresit"

Baba mtu hakuongeza neno mipango ikafanywa so ticha mwaka huo akapiga pepa na mpenzi wake.

Matokeo yakatoka ticha ana 3, mpenzi ana 1. Ticha akamuomba mdada amsubirie afanye clearancdada akagoma akajiendea UDSM ticha akaenda UDOM kusomea ualimu wa Kiswahili na ndiyo tukakutana hapo TMK
 
Hii stori alituhadithia mwalimu wetu.

Ni nje ya mada.

Jamaa alikua 6 mpenzi wake hapo kijijini alikua form 5.

Ticha alivyopiga pepa ya 6 akapata divishen 2, yeye maisha yake yote ilikua lengo asome law UDSM. Basi akamuambia mchumba kwamba bwana eeh nina 2 ngoja nianze maombi.

Mpenzi akamwambia usiende sasa hivi. Nisubiri na mimi ili twende chuo kwa pamoja. Ticha kwa kuona hana sababu ya msingi ya kumuambia mzee wake juu ya yeye kutofanya maombi mwaka huo akarudi home kajinunisha akamuambia mzee wake "Bwana mi hii 2 sijaridhika nayo inadhalilisha ukoo"

Akaendelea "Ninaomba uniruhusu niresit"

Baba mtu hakuongeza neno mipango ikafanywa so ticha mwaka huo akapiga pepa na mpenzi wake.

Matokeo yakatoka ticha ana 3, mpenzi ana 1. Ticha akamuomba mdada amsubirie afanye clearancdada akagoma akajiendea UDSM ticha akaenda UDOM kusomea ualimu wa Kiswahili na ndiyo tukakutana hapo TMK
Huyo pimbi alikuwa bado hajawajua hao viumbe..! Sasa kikamkuta hivi unafutaje matokeo kifalafala hivyo..? Mapimbi ni mapimbi tu!. Vipi msela bado yupo na huyo manzi
 
Hii stori alituhadithia mwalimu wetu.

Ni nje ya mada.

Jamaa alikua 6 mpenzi wake hapo kijijini alikua form 5.

Ticha alivyopiga pepa ya 6 akapata divishen 2, yeye maisha yake yote ilikua lengo asome law UDSM. Basi akamuambia mchumba kwamba bwana eeh nina 2 ngoja nianze maombi.

Mpenzi akamwambia usiende sasa hivi. Nisubiri na mimi ili twende chuo kwa pamoja. Ticha kwa kuona hana sababu ya msingi ya kumuambia mzee wake juu ya yeye kutofanya maombi mwaka huo akarudi home kajinunisha akamuambia mzee wake "Bwana mi hii 2 sijaridhika nayo inadhalilisha ukoo"

Akaendelea "Ninaomba uniruhusu niresit"

Baba mtu hakuongeza neno mipango ikafanywa so ticha mwaka huo akapiga pepa na mpenzi wake.

Matokeo yakatoka ticha ana 3, mpenzi ana 1. Ticha akamuomba mdada amsubirie afanye clearancdada akagoma akajiendea UDSM ticha akaenda UDOM kusomea ualimu wa Kiswahili na ndiyo tukakutana hapo TMK
Kuna watu akili zao zina shida gani yahn serious umefaulu kwa kupata daraja la pili hafu unarudia pepa ila upate divisheni 1 tena kwa ushawishi wa mwanamke daah....
 
Huyo pimbi alikuwa bado hajawajua hao viumbe..! Sasa kikamkuta hivi unafutaje matokeo kifalafala hivyo..? Mapimbi ni mapimbi tu!. Vipi msela bado yupo na huyo manzi
Alitemwa baada ya ile 2. Kama walirudiana hakuwahi kutuambia mpaka namaliza shule pale
 
Sio kweli. kuna watu wanasoma kama PC wakiwa hawajawahi kusoma/kufanya mitihani kwa kuwa mfumo uliwaacha nyuma kwa sababu mbalimbali, wakalazimika kuwa PC bila kupenda. Na shule tumesoma nao full time na darasani wako fit kuliko hata School candidates ila kwenye results la NECTA unakuta chali .

Kuna mwamba mmoja tu nilisoma nae yule ndo alinistaajabisha alipiga 1.9 ya PCM kama PC. Mpaka leo sijawahi kuelewa aliwezaje.
Aliweza Kwa kusoma..
 
Sababu kuu
1. Private candidates wengi ni grade 3.
Wengi walishafeli(makapi) am sorry.
2.Husoma nusunusu(kunusa)
3.,Umri au majukumu.
 
Aliweza Kwa kusoma..
Yeah alikuwa anasoma, alikuwa anavunja sana hizo Physics na Pure Maths kuliko walimu, yaani kuna kipindi mwalimu akichemka akashindwa kueleweka jamaa anamsaidia mwalimu kwa wepesi kabisa 😂😂.

Walimu wote walikuwa wanamheshimu mwamba, pia yeye licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa darasani na mkubwa ki umri kuliko hata walimu wengi ndo alikuwa mwanafunzi mwenye nidhamu.

Ki uhalisia kwa uwezo wake mwamba alitakiwa kupata 1.3 ila ndo hivyo aliapata 1.9 (CCC) Lkn huwa hatuachi kushangaa kwa sababu mimi sijawahi kuona PC kapiga Div One tena ya Science, tena zile enzi zetu(kipindi cha analogy 😂😂)

Bila shaka kuna kitu ambacho NECTA wanakijua na sisi hatukijui kuhusu PC
 
Back
Top Bottom