Surveyor_1
Member
- Jan 2, 2022
- 48
- 29
Habari wana JF,
Karibuni nataraji kujiunga na diploma ya computer science,nimelazimika kusoma diploma kutokana na majukumu yangu kwa sasa japokuwa form four nilifaulu vizuri tu namshukuru mola.
Swali langu ni kuwa, je naweza kufanya mtihani wa ACSEE kwa baadae kama private candidate sawa ntakuwa na diploma au shahada?
Kwa kuwa kwa baadae nataraji kusoma kozi zingine za engineering na napenda nianzie bachelor na siyo diploma na kwa ujuzi wangu ni kwamba hilo linawezekana kama ntakuwa na na chetu cha ACSEE
Naombeni ufafanuzi
Karibuni nataraji kujiunga na diploma ya computer science,nimelazimika kusoma diploma kutokana na majukumu yangu kwa sasa japokuwa form four nilifaulu vizuri tu namshukuru mola.
Swali langu ni kuwa, je naweza kufanya mtihani wa ACSEE kwa baadae kama private candidate sawa ntakuwa na diploma au shahada?
Kwa kuwa kwa baadae nataraji kusoma kozi zingine za engineering na napenda nianzie bachelor na siyo diploma na kwa ujuzi wangu ni kwamba hilo linawezekana kama ntakuwa na na chetu cha ACSEE
Naombeni ufafanuzi