biology

Biology is the natural science that studies life and living organisms, including their physical structure, chemical processes, molecular interactions, physiological mechanisms, development and evolution. Despite the complexity of the science, certain unifying concepts consolidate it into a single, coherent field. Biology recognizes the cell as the basic unit of life, genes as the basic unit of heredity, and evolution as the engine that propels the creation and extinction of species. Living organisms are open systems that survive by transforming energy and decreasing their local entropy to maintain a stable and vital condition defined as homeostasis.Sub-disciplines of biology are defined by the research methods employed and the kind of system studied: theoretical biology uses mathematical methods to formulate quantitative models while experimental biology performs empirical experiments to test the validity of proposed theories and understand the mechanisms underlying life and how it appeared and evolved from non-living matter about 4 billion years ago through a gradual increase in the complexity of the system.

View More On Wikipedia.org
  1. wa log

    Mwalimu wa kujitolea CHEMISTRY and BIOLOGY

    Mimi ni mwalimu wa chemistry na biology bachelor(2022) Ninatafuta shule ya serikali yenye uhitaji wa mwalimu wa kemia na baiolojia. Iniajiri kama mwalm wa kujitolea. Napatikana mkoani Mbeya.
  2. Nicho8

    Field za Bachelor of science in applied biology

    Wakuu habari zenu. Mimi naomba msaada kwa anayejua ni maeneo yapi ambako naweza fit kwaajili ya kufanya field ya bachelor of science in applied biology kwa mbeya au Arusha. Msaada please kama utakuwa na idea naomba ushee nami🙏✍️
  3. E

    Bachelor of Science in Molecular Biology and Biotechnology

    Habari wana JF, Naomba kujuwa maelezo zaidi ya kozi hii na fursa zake kwa ujumla.
  4. F

    Walimu wa sekondari wanatafutwa, wa masomo ya Hisabati na Sayansi Biology, physics na Chemistry (Part time)

    Habari wadau. Binafsi ni mmiliki wa app ya kufundisha tution za masomo kwa njia ya mtandao Ninatafuta walimu wenye uwezo mkubwa wa kuelewa na kufundisha masomo ya o level. Na shule ya msingi somo la hisabati. Masomo hayo ni hisabati, physics, chemistry na biology only. Kazi ni part time...
  5. Surveyor_1

    Kwanini private candidates wengi huwa wanafeli (hawapati matokeo mazuri kama ya school candidates?

    Habari wana JF. Kuna mwalimu mmoja mstaafu nilimsikia akisema private candidates mara nyingi huwa hawafanyi vizuri kwa kuwa alama zao za mitihani hugawanya nusu kwa kuwa wao huwa hawana assessments za darasani na majaribio kama school candidates. Ama kwa upande wa school candidates wao yale...
  6. Surveyor_1

    Je, inawezekana kufanya mtihani wa Biology A level kama private candidate ili kupata credit ya kusomea medicine?

    Habari wana JF, natumai muwazima. Nina jambo limenitatiza naomba ufafanuzi. Swali ni kuwa, kwa mtu ambae A level alisomaga PCM na akafaulu vizuri,je inawezekana kama akihitaji kusomea medicine akafanya mtihani wa Biology A level ili kupata credit (kwa kuzingatia anahitaji mchepuo wa PCB kwa...
  7. Njegele

    Kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijali?

    Habari wana JF, Napenda nielewe kwanini walimu wa Biology na chemistry Huwa hawajijari hasa kwenye suala la mavazi. Walimu wangu wa O-level wala hawakuwa na mda wa nguo nzuri kama walimu wa masomo mengine, A-level Sasa mda wao mwingi wako maabara, chuo kikuu ndo usiseme utadhani hawana...
  8. Jet fighter18

    Mimi Mwalimu wa Chemistry, natafuta kazi

    Mimi ni Mwl wa Chemistry na biology O level natafuta kazi. Nina uzoefu wa miaka 15 kazini. Nipo Dar es Salaam. Contact: 0764 727890
  9. Mwamundela

    Mwenye uhitaji wa Mwalimu wa masomo ya Chemistry, Biology na Physics

    Habari wanajamvi, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi ni mwalimu kwa taaluma ,nimesoma Bachelor of science with Education (Bsc EDUCATION) Na nimehitimu mwaka 2017. Nina uzoefu wa kufundisha Chemistry na Biology Kwa miaka mitano(5) Kwa NGAZI zote yaan A-Level na O- Level. Napatikana kitunda...
  10. IgKim

    Natafuta kazi yoyote ya halali, nimesoma Stashahada ya Ualimu Chemistry na Biology. Naweza fundisha Sekondari na Msingi

    Kama kuna mtu anahitaji mtu wa kufanya kazi yoyote ya halali, nipo hapa napatikana mkoa wa Arusha. Kwa yeyote mwenye connection ata Dar es Salaam naweza kuja kama kuna mwenye kazi tafadhali.
  11. mama D

    Binti kamaliza form 6 na ndoto za kusomea udaktari kwa matokeo ya Division 1 ya 9; Physics C, Chemistry C, Biology C, Maths C, amekosa mkopo

    Habari za jioni wakuu mabibi na mabwana Huyu binti namfahamu tangu akiwa mtoto. Anatoka kwenye mazingira magumu kuliko ngumu wenyewe. Hamjui baba yake mzazi, hajawahi kumsikia wala kumuona. Mazingira ambayo mama yake hawezi kumiliki hata simu ya elfu20, hawezi lipa kodi vyumba2 vya elfu 60...
  12. Infantry Soldier

    SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya. UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI. Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
  13. frangwi12

    Mimi ni Mwalimu wa Chemistry na Biology natafuta kazi

    Mim ni mwalimu wa masomo ya Biology na Chemistry nipo Dar, Temeke. Kwa shule yoyote yenye uhitaji wa mwalimu, nicheki 0624843841.
  14. Uhakika Bro

    Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

    Kuna mtindo wa kwenye social media watu kutosoma maelezo marefu sana. Hivyo basi nimeamua kuileta sehemu tu ya ile sehemu ya pili, enjoy; ....................kukazia pointi kadhaa na kufunga; Ndugu zangu, haidhuru mtu au mfumo kutokujua mwisho au mwanzo wake ili kuleta maana – ‘sense’. Maana...
  15. T

    Request for Proposal (RFP) - DESIGN AND BUILD A NEW BIOLOGY LABORATORY FOR ST JUDE’S GIRLS’ SECONDARY SCHOOL SISIA CAMPUS, MOSHONO, ARUSHA

    Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “Project designing, costing, permitting, registrations, construction and commissioning of a New 2 Storey Biology Laboratory for St Jude’s Girls’ Secondary School, Sisia Campus Moshono, Arusha”. Tender Reference: TENDER NO...
  16. Jamii Opportunities

    Biology and Chemistry Teacher at Mugini Secondary School

    Mugini Secondary School is seeking professional, hard-working Physics & Mathematics Teacher with at least four years of experience. The Institution demands independence, integrity, objectivity, competence and due care from all of its personnel in the conduct of its engagements. Our Company is...
  17. Planet Open School

    Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry

    Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu. Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Mwalimu atakuwa na vipindi vitatu kila week kwa kila somo. Baada ya...
  18. Planet Open School

    Mwalimu wa Biology na Chemistry anahitajika Mwanza

    Planet Open School ni taasisi inayochojihusisha na utoaji wa elimu kwa wale wanaojiendeleza kielimu. Taasisi hii inahitaji mwalimu wa biology na chemistry mwenye uwezo wa kufundisha kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita. Mwalimu atakuwa na vipindi vitatu kila week kwa kila somo. Baada ya...
  19. yongpal

    Naomba ufafanuzi wa kozi ya Bachelor of science in Biology

    Habarini za mchana, Naomba msaada wa mawazo juu ya hii kozi hapo juu nimechaguliwa UDOM, nikisoma hii kozi kuna uwezekano wa kuwa mwalimu wa Biology au inahusika na nini hasa nje na ualimu.
  20. Mwamundela

    Anayehitaji mwalimu wa Chemistry au Biology kwa Kidato cha 5 na 6

    Habari wadau, Mimi ni mwalimu kwa taaluma, nimesoma bachelor of science with education (Chemistry &Biology) nimehitimu mwaka 2017. Niko kitunda ilala Dar-es-Salaam. Nahitaji kama kuna MTU anashida ya kusoma chemistry au biology hasa advance (japo o-level pia mnakaribishwa) naomba tuwasiliane...
Back
Top Bottom