Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Ulimpenda kabisa wa humu humu
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
 
Kumbe na yakupendana humu yamo!
Je nakuombana bando na yenyewe yamo!
Mmmh.
 
Nakumbuka mwaka 2016 kuna mdau mmoja wa JF nilikuwa napenda sana uchangiaji wake kiasi cha kumfuata privately. Tukawa tunachat dhamira ikiwa ni kuja kutongozana hii yote kwa taswira tu niliomjengea kichwani mwangu kama pisikali fulani maana hatukuwa tumeshea picha. Ila kwa story zake alikuwa ni corporate lady umri wa makamo. Na michango yake yote ilikuwa anatoa kama binti.

Siku moja kulikuwa na tafrija Bank ya Diamond Trust wateja walialikwa tawi la Masaki. Kuna msela tulikuwa sehemu moja tunapiga stori kama wawakilishi wa kampuni zetu za ajira. Ikiwa tunachezea simu zetu huku tukiongea ghafla akanionyesha article JF huku akisema subiri a log in ili acomment. Si ndio kuona yule demu wangu wa inbox ndio msela kupitia log in details maana hakuficha.

Sikusema chochote ila baada ya hapo nilimblock kabisa. ID yake nikiangalia sasa hivi ilikuwa active mara ya mwisho 2018.
Nimetaja jina la eneo tulikokutana ili mwamba kama yupo humu kwa ID nyingine ajue kuwa nilimshtukia kuwa ni dume na hata mpaka leo sijui alikuwa na nia gani. Maana wasifu wake wa kazi aliotumia nikiwa na chat nae unashabihiana na ule wa uhalisia katika udume wake na hili nilijua tulipokuwa tunapiga story bank.
Toka siku hiyo nachukulia ma member wote humu kuwa ni madume kama mimi tu.
Jf ni kama kichaka aise!

Nakumbuka kuna mmoja humu alijifanya ni mwanamke nikamuendea pm kumuomba nimuunge group kipindi hicho

Akakubali na kumuunga ila baada ya muda tukagundua kua ni mwanaume anatuchezea mchezo ikabidi kumremove

Kilichofata baada ya hapo akafungua nyuzi humu kwa I'd zake tofauti tofauti kunichafua[emoji28]
 
Hivi ni kweli watu wanatokea kupendana humu jamii forums na majina wanayotumia ni fake!!?
Mi huwa naona kama mnadanganya vile. Huwez kumpenda mtu hujawahi kumwona
 
Hongera walau ulipiga hatua moja mbele.

Mie mdau wangu niliyemuongelea akili yake ina uwezo mkubwa wa kupambanua mambo haraka mno, imebidi niandike kwa tahadhari kubwa na nitumie ID mbadala. Hapa nikithubutu kutaja tukio moja tu, lazima agundue namuongelea yeye. Sijui ingekuwaje kama tungepata fursa ku-consume lile penzi!

J jamani, so romantic, so briliant. Mwanadamu anayejitambua nafsi yake. Hatimaye imebaki stori.
Kwamba hamkupeana utamu jamani [emoji848]
 
We kula tu mbususu humu, siku ikitokea ile thread ya mtu kutapeliwa humu hadi pumbbu zako zinawekwa mezani tuzidiscuss [emoji16], mtu anaejilipua kutombanna humu ni wa kumpa heshima
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa comment yako hii umenifanya nighairi mpango
 
Back
Top Bottom