Je, hili limewahi kukutokea?

Je, hili limewahi kukutokea?

Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?

 
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.

Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.

Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
@Saint Anne @yna2 @

Na Wengine Wachache ila hawa Wameiteka Cardiovascular system Yangu
 
Zaman nilikua najua watu wazima wamestaaribika na washamaliza yote ujanani kumbe hamna bwana.
Kweli wanashida sana ndio maana nimerudi kwetu .

Dah! Wanalalamika hawajiamini wanaotaka attention zisizo za lazima halafu hawawezi kumudu basi.


Unaona anajitahidi naamechoka balaaa unaona kabisa hii kitu ikilazimisha utammaliza muhusika ..



Ila Kwa wengine weeh walahi dah unaenjoy some how ila kweli Kwa Sasa siwezi kuwa na Mzee anaboa bhana wai turudi kwetu
 
Watu mnaoanzisha mahusiano humu na kutombanna mna mioyo sana mnatakiwa kupigiwa mizinga 21.... hongereni hakika nyie ni mashujaa
 
We kula tu mbususu humu, siku ikitokea ile thread ya mtu kutapeliwa humu hadi pumbbu zako zinawekwa mezani tuzidiscuss , mtu anaejilipua kutombanna humu ni wa kumpa heshima

Hahaha, mkuu si tunaangalia wa kubadilishana nao ladha. Kuna wanawake wanaoijitambua humu acha tu. Kama mtu anajibebea hapo lazima siku aumbuke, ila kuna mitego ukiitegua mi nasema kula tu coz ni pisi zinajielewa hazina mbambamba wala.
 
Hahaha, mkuu si tunaangalia wa kubadilishana nao ladha. Kuna wanawake wanaoijitambua humu acha tu. Kama mtu anajibebea hapo lazima siku aumbuke, ila kuna mitego ukiitegua mi nasema kula tu coz ni pisi zinajielewa hazina mbambamba wala.
Haya bana katika kosa sitakaa kuthutubu hadi pumzi yangu ya mwisho ni kulana na mtu jf, coz najua tu kuna siku mbususu yangu itakua mada....sipo tayari kwa hilo 😂😂
 
Haya bana katika kosa sitakaa kuthutubu hadi pumzi yangu ya mwisho ni kulana na mtu jf, coz najua tu kuna siku mbususu yangu itakua mada....sipo tayari kwa hilo
Wanaume hatuna hizo, kwamba Me akuweke then aanze kutangaza nimemuweka Evelyn, haipo hiyo...tunaochukua risk ni sisi vidume, coz we know nyie watu hamna makoromeo.
 
Wanaume hatuna hizo, kwamba Me akuweke then aanze kutangaza nimemuweka Evelyn, haipo hiyo...tunaochukua risk ni sisi vidume, coz we know nyie watu hamna makoromeo.
Mmmh kuna kapumbavu humu kalishatoa list ya watu kaliowakula na kuna day kaliweka picha hapana asee this place...mnaoweza mpewe tuzo na mizinga 21
 
Back
Top Bottom