Je, Dunia ilianzia Mashariki ya Kati?

Nina waswas sana na mnepha kama bhangi hazijamwathiri bas atakuwa na tatizo la kisaikolojia. Namwona anavyohangaika na europhobia na pia kuji feel ni inferior.huwa linapokuja suala hili anaishia kushambulia wazungu na kujitukuza kikondoo.ukimwuliza hata asilimia 70 ya vitu anavyotumia asili yake ni wazungu

mnepha unajaribu kukejeli huku kujikinga na hoja ambayo unashindwa kuijenga, nilitegemea uje na constructive argument lakini naona unaleta mipasho na self-trending thoughts zisizo na mwendelezo wowote
Hebu jaribu kujenga hoja yako upya upinge hoja kwa hoja....
Nimeona huko kwingine pia umekurupuka lakini watu wamekuwa wapole kwako...hapa tunachotaka ni uhalisia wa kile kilichoandikwa na kusimuliwa kwa miongo mingi
Lakini pia unaposema hakuna mashariki ya kati maana yake unakataa uwepo wa Africa mashariki magharibi nk....
 
Weka hapa huo ushahidi. Ili watu wasione una blah blah... Weka facts.

Kwamba Adam na Eva waliishi mashariki ya kati kwa vielelezo vilivyopo nikweli kabisa,
Lakini Kwamba dunia ilianzia mashariki ya kati, hapana si kweli. Kuna kila ushahidi Kwamba kulikuwa na watu kabla ya binadam na ushahidi upo wakutosha kuhusu watu wakale zaidi ambao waliishi sehemu mbalimbali Africa na kitovu ni Africa Mashariki

NB: sio lazima mtu kuwa binadam
 
Sometimes it hard to believe a penguin from Australia ...aliruka mpaka Middle East to get into the Ark...

Sent From INFINIX NOTE 3 PRO
 
37033dbee09bd10819ec6c66226f87c2.jpg


a10e8b1089d3de5c4ea2e0a765bf4e86.jpg


Nazungumzia dunia ya uhai? dunia inayoongelewa kwenye vitabu vyetu vya dini!
Tumekuwa na mada ihusuyo bustani ya Eden kimsingi binafsi imenisaidia kuongeza ufahamu.

Ni katika mada hiyo nimegundua kuwa historia ya dunia hasa kidini na kiimani inabebwa na mashariki ya kati na kwa sehemu Africa...inawezekana kabisa wazungu si wakazi wa dunia hii au walikuja baadae kabisa wakati maisha yakiendelea na inawezekana kabisa walitoka sayari nyingine.

Ukisoma habari za mnara wa babel( babylon tower) ukisoma habari za bustani ya eden ukisoma habari za Jerusalem na paradiso, habari za makabila 12 za Israel, mfalme suleiman na machimbo yake! Hifadhi kubwa ya urithi wa dunia na hata mafuta ghafi ni hapo middle East

68a1ae6229627353e122d173a6546421.jpg


Lakini pia inawezekana kabisa hata sodoma na gomora haikuwa mbali na hapo maana yake Ukiangalia hizo picha tu mwonekano wake utaona kabisa kama kuna watu walikula bhata basi ni hawa jamaa.

Mashariki ya kati ina role kubwa sana kwenye historia ya dunia yetu leo hii na ndio maana nikawaza kwa uwazi kabisa kuwa huenda ikawa ndio kitovu cha dunia ya uhai imani dini
starehe na hata dhambi

fbaa391bd7f37f1f4f8b849567660b89.jpg


Hii kama ni kweli je hizi kabila nyingine zilitoka wapi? Je nazo ni uumbaji wa Mungu? Je kabla ya hawa wa middle East kuja wengine walikuwa wapi?wakifanya nini? Je hawa ndio wale wa mataifa waliotajwa kwenye Biblia takatifu?

ac6cb69a34a46531e7cee9fa0ab5afa3.jpg


bb9c0af5c7eebcabe46acdf96a141fa8.jpg


Mniwie radhi kwa mapicha mengi mengi lengo lilikuwa ni kuleta ufafanuzi kwa haraka..picha hurahisisha mawasiliano. .na ndio maana hata baadhi ya picha hizi si halisi bali wajuzi walituchorea kile kilichosimuliwa na kuandikwa

35a2d32c862182333a6b4f7085b3e545.jpg
fe3145aa5b40405e46d183b15b34b31e.jpg


Hizi ni picha na maelezo kidogo ya kile kilichofanyika Sodoma (sodom)na gomorah ilikuja kujulikana baadae au wazungu walikuja kuligeuza neno sodom kama ulawiti na ushoga...hii yote ni hapo hapo mashariki ya kati

2138fdbc290397b64041ed057bd97c1a.jpg
387b082e671745a01ec9a95e5314a395.jpg


Picha hizi za bustani zinazoning'inia za Babilon (hanging gardens of babylon) bado zinathibitisha watu wa mtaa huo walivyoharibika kwa starehe pengine kuliko kizazi kingine chochote na inawezekana kabisa hawa ndio makungwi wetu

ca5fb650dafe6591609fa510d6179d27.jpg


ed52f57a4b0e651cee354a8cb4cdc6f2.jpg


Zilikuwepo pia bustani zenye manukato hapa guru wa mapenzi ndio walitoa darasa la mapenzi

Ukija kuangalia biashara na hata majanga mengine kama ya gharika ya wakati wa Nuhu na mengine yote ikiwemo vita na majanga ya kiasili mashariki ya kati kuna kitu cha ziada kuhusu uumbaji wa dunia hii
Nimejaribu kuulewa title ya thread hii nikashindwa, nikaonakua sentence inayouliza maswali haina maana kabisa. "Je Dunia Ilianzia Mashariki ya Mbali" hii semantically haina maana kabisa kulingana na jinsi Tunavyoelewa maana ya DUNIA kwa lugha ya kiswahili haina maana kusema dunia ilianza mashariki ya kati. Kati ya Dunia na Mashariki ta kati ipi kwanza inategemea nyenzake. Kuwepo kwa mashariki ya kati lazima kuwe na dunia kwanza. Kwahiyo kusema dunia ilianzia mashariki ya kati ni semantically meaningless setence.
 
Nimejaribu kuulewa title ya thread hii nikashindwa, nikaonakua sentence inayouliza maswali haina maana kabisa. "Je Dunia Ilianzia Mashariki ya Mbali" hii semantically haina maana kabisa kulingana na jinsi Tunavyoelewa maana ya DUNIA kwa lugha ya kiswahili haina maana kusema dunia ilianza mashariki ya kati. Kati ya Dunia na Mashariki ta kati ipi kwanza inategemea nyenzake. Kuwepo kwa mashariki ya kati lazima kuwe na dunia kwanza. Kwahiyo kusema dunia ilianzia mashariki ya kati ni semantically meaningless setence.
Kila jambo moja lina mitazamo na tafsiri nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Japo mkuu mada yako ni ya mda kidogo nikimanisha sikuwahi kuiona ulichokizungumza kwa upande wa imani uko sahihi ...japo tukirudi kwenye uhalisia (japo napo kuna nadharia nyingi ) evolution of universe ni kizungumkutiiii japo kwa wale ambao tunaamini katika theory mbalimbali za sayansi tunaweza kuamini kuwa dunia kwa kujikita kwenye uhai ilikuwepo japo uhai kwenye dunia ndo tukiweka tofauti ya imani tulianzia kwenye simple to complex nikifananisha na wengi wanavyosema from zero to hero ...
 
Japo mkuu mada yako ni ya mda kidogo nikimanisha sikuwahi kuiona ulichokizungumza kwa upande wa imani uko sahihi ...japo tukirudi kwenye uhalisia (japo napo kuna nadharia nyingi ) evolution of universe ni kizungumkutiiii japo kwa wale ambao tunaamini katika theory mbalimbali za sayansi tunaweza kuamini kuwa dunia kwa kujikita kwenye uhai ilikuwepo japo uhai kwenye dunia ndo tukiweka tofauti ya imani tulianzia kwenye simple to complex nikifananisha na wengi wanavyosema from zero to hero ...
 
Ambaye ni Adam? Lilith? Eva? Au huyu wa Olduvai gorge? Je nafasi ya Babylon na Eden nk nk zinakaa wapi kwenye hili? Je Unazungumzia kwa muktadha wa historic world au pre-historic ?
First human bado ni hadithi za chenga nawashauli muwe mnapitia kule quora kuna baadhi ya wasomi nguli mnaweza dadavua punje,ila swala la mtu wa kwanza ni fumbo na ni ngumu kufaham kirahisi.
 
Hii ni mada ngumu mkuu isitoshe wenzetu wa mashariki ya kati na ulaya wametunza historia zao hivyo kuwa na facts nyingi za zamani ukilinganisha na sisi waafrika. Mimi binafsi npo kwenye utafiti bado ila naamini dunia ilianzia Afrika
Si kweli endeleza utafiti
 
Kuna clear picture inakuja hapa inawezekana kabisa huyu zinjathropus wetu hakuwa wetu bali mgeni toka mashariki ya kati aliyefika na kuishia hapo Olduvai (kwa masahibu yasiyojulikana) kwakuwa hata kwenye ramani umbali si kivile kwa watu wa zamani na pia tukumbuke hata Arusha huko manyara kuna kabila la Wairaq! Je hawa ni kizalia cha Zinjathropus wetu?
81375ba05c3c163ef121ead0555ac0bb.jpg
Hakuna ramani ya dunia ni nadharia tu hizo,ndomana kuna misemo ya vitabu yasema chini ya bahar kuna kina sawa na mbingu(ambayo nayo ni nadharia)na dunia sio tufe na hiz ramani ni uongo mtupu.
 
Kamdanganye mwenza wako mkuu.
First human bado ni hadithi za chenga nawashauli muwe mnapitia kule quora kuna baadhi ya wasomi nguli mnaweza dadavua punje,ila swala la mtu wa kwanza ni fumbo na ni ngumu kufaham kirahisi.
Si kweli endeleza utafiti
Hakuna ramani ya dunia ni nadharia tu hizo,ndomana kuna misemo ya vitabu yasema chini ya bahar kuna kina sawa na mbingu(ambayo nayo ni nadharia)na dunia sio tufe na hiz ramani ni uongo mtupu.
Katika umri wako wa miaka 23 bado una mengi sana ya kujifunza... Nakushauri endelea kujifunza kuna mengi huyajui bado... Mengi mno huna ufahamu nayo... Katafute ufahamu utafunuliwa mengi
 
Mi nakubali dunia ilianzi huko...Adam ndiye binadamu wa kwanza kuexist....Biblia inasema alibarikiwa watoto wengi wa kike na wa kiume,ambao probably walioana ili kuijaza dunia..wakasambaa katika uso wa dunia,Historia ikaenda mpaka kwa Nuhu,ambaye alipata watoto wa 3,Mmoja wa watoto ni baba wa wa kushi(Ethiopia na maeneo mengine ya Africa..laana aliyopewa na baba yake ilipelekea kuzaa mtoto mweusi,Shem alibaki huko huko na ndio baba wa watu wa Asia..wakati Japhet ni baba wa wazungu
Hivi wale watu halisi wa america ni baba wa nani?
Maana wale walikuwa sio wazungu.
 
Je israel ni waarabu au wazungu??!!waisrael ni jamii ambayo ina dini zote waislam,wakristo,pagan,yahudi nk.
Waisrael ndo waliishi mwanzoni hapo palestina na ndo yalikuwa makazi yao kabla ya kutokea njaa zama za yusufu kitu kilichopelekea wakimbilie misri kwa ndugu yao waliemtesa yusufu.huku nyuma wapalestina katika pitapita kutoka sham na saudi wakakuta mji uliotelekezwa hivyo wengi wao wakaweka makazi hapo kwa makarne mengi hadi kipindi cha musa kuja kuwatorosha na kupasua bahari wakimkimbia farao aliekuwa anawaua waisrael.
Kurudi kwao wakakuta waarabu wamehamia hapo na wakipaita falastini hapo ndo vita hadi leo haiishi ya kugombea ardhi.
Sio kweli Waisrael walipofika kaanan mwanzo kabisa walikuta watu wanaishi , hivyo sio wa kwanza pale
 
37033dbee09bd10819ec6c66226f87c2.jpg


a10e8b1089d3de5c4ea2e0a765bf4e86.jpg


Nazungumzia dunia ya uhai? dunia inayoongelewa kwenye vitabu vyetu vya dini!
Tumekuwa na mada ihusuyo bustani ya Eden kimsingi binafsi imenisaidia kuongeza ufahamu.

Ni katika mada hiyo nimegundua kuwa historia ya dunia hasa kidini na kiimani inabebwa na mashariki ya kati na kwa sehemu Africa...inawezekana kabisa wazungu si wakazi wa dunia hii au walikuja baadae kabisa wakati maisha yakiendelea na inawezekana kabisa walitoka sayari nyingine.

Ukisoma habari za mnara wa babel( babylon tower) ukisoma habari za bustani ya eden ukisoma habari za Jerusalem na paradiso, habari za makabila 12 za Israel, mfalme suleiman na machimbo yake! Hifadhi kubwa ya urithi wa dunia na hata mafuta ghafi ni hapo middle East

68a1ae6229627353e122d173a6546421.jpg


Lakini pia inawezekana kabisa hata sodoma na gomora haikuwa mbali na hapo maana yake Ukiangalia hizo picha tu mwonekano wake utaona kabisa kama kuna watu walikula bhata basi ni hawa jamaa.

Mashariki ya kati ina role kubwa sana kwenye historia ya dunia yetu leo hii na ndio maana nikawaza kwa uwazi kabisa kuwa huenda ikawa ndio kitovu cha dunia ya uhai imani dini
starehe na hata dhambi

fbaa391bd7f37f1f4f8b849567660b89.jpg


Hii kama ni kweli je hizi kabila nyingine zilitoka wapi? Je nazo ni uumbaji wa Mungu? Je kabla ya hawa wa middle East kuja wengine walikuwa wapi?wakifanya nini? Je hawa ndio wale wa mataifa waliotajwa kwenye Biblia takatifu?

ac6cb69a34a46531e7cee9fa0ab5afa3.jpg


bb9c0af5c7eebcabe46acdf96a141fa8.jpg


Mniwie radhi kwa mapicha mengi mengi lengo lilikuwa ni kuleta ufafanuzi kwa haraka..picha hurahisisha mawasiliano. .na ndio maana hata baadhi ya picha hizi si halisi bali wajuzi walituchorea kile kilichosimuliwa na kuandikwa

35a2d32c862182333a6b4f7085b3e545.jpg
fe3145aa5b40405e46d183b15b34b31e.jpg


Hizi ni picha na maelezo kidogo ya kile kilichofanyika Sodoma (sodom)na gomorah ilikuja kujulikana baadae au wazungu walikuja kuligeuza neno sodom kama ulawiti na ushoga...hii yote ni hapo hapo mashariki ya kati

2138fdbc290397b64041ed057bd97c1a.jpg
387b082e671745a01ec9a95e5314a395.jpg


Picha hizi za bustani zinazoning'inia za Babilon (hanging gardens of babylon) bado zinathibitisha watu wa mtaa huo walivyoharibika kwa starehe pengine kuliko kizazi kingine chochote na inawezekana kabisa hawa ndio makungwi wetu

ca5fb650dafe6591609fa510d6179d27.jpg


ed52f57a4b0e651cee354a8cb4cdc6f2.jpg


Zilikuwepo pia bustani zenye manukato hapa guru wa mapenzi ndio walitoa darasa la mapenzi

Ukija kuangalia biashara na hata majanga mengine kama ya gharika ya wakati wa Nuhu na mengine yote ikiwemo vita na majanga ya kiasili mashariki ya kati kuna kitu cha ziada kuhusu uumbaji wa dunia hii
Kwahiyo Adam alikuwa muhindi au mzungu au mwarabu au mchina ?
 
Back
Top Bottom