ilianzia KigomaHii ni mada ngumu mkuu isitoshe wenzetu wa mashariki ya kati na ulaya wametunza historia zao hivyo kuwa na facts nyingi za zamani ukilinganisha na sisi waafrika. Mimi binafsi npo kwenye utafiti bado ila naamini dunia ilianzia Afrika
Absolutely,Ngozi nyeusi ni matokeo ya laana,ukisoma katika Mwanzo 9 kuanzia fungu la 22,utaona Hamu ambaye ni baba wa Kanaani aliuona uchi wa baba yake ambaye alikuwa amelewa,kibaya zaidi akaenda kuwaeleza ndugu zake,wao hawakuthubutu kuutizama uchi wa baba yao,baba yao pombe ilipomuisha alijua mwanae mdogo alichomtenda,hivyo akamlaani,,tena akamwambia atakuwa mtumwa wa ndugu zake(No wonder Mpaka leo tunatawaliwa Direct na Indirect)Hili ni tokeo la laana.Dah kwa hiyo mkuu watu weusi ni laana ??? Hebu fafanua kidogo hili tafadhali
Absolutely,Ngozi nyeusi ni matokeo ya laana,ukisoma katika Mwanzo 9 kuanzia fungu la 22,utaona Hamu ambaye ni baba wa Kanaani aliuona uchi wa baba yake ambaye alikuwa amelewa,kibaya zaidi akaenda kuwaeleza ndugu zake,wao hawakuthubutu kuutizama uchi wa baba yao,baba yao pombe ilipomuisha alijua mwanae mdogo alichomtenda,hivyo akamlaani,,tena akamwambia atakuwa mtumwa wa ndugu zake(No wonder Mpaka leo tunatawaliwa Direct na Indirect)Hili ni tokeo la laana.
SOMENI INJILI YA BARNABAS NA INJILI YA JUDAS ISKARIOTISinodi ama baraza la "Yavneh - Jamnia- Jabneh" mwaka 90-100 AD ndio walioandika. Yavneh ulikuwa ni mji wa pili katika historia ya kuondoa mambo ya kweli ya WAUMINI WA KWELI WA YASHUA (YESU). HILI BARAZA NDILO LILILOANDIKA KITABU CHA MWANZO NA PIA KUCOMPILE BIBLE. MAANA NAFAHAMU WAZI KWAMBA BIBLIA NI KITABU CHENYE MKUSANYIKO WA VITABU MBALIMBALI KUTOKA KWA WAANDISHI MBALIMBALI NA KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI.
Kitu muhimu hapa inatakiwa tuelewe kuwa, miaka hii WAISRAELI ASILI NA WAKWELI WALISHAKIMBIA ENEO HILI PALE WARUMI WALIPOVAMIA YERUSALEM MWAKA 70 AD ( Destruction of Temple). UKISOMA MATHAYO 24:15-21 UTAELEWA KUWA YESU ANAWATAHADHALISHA WATU NINI WATATAKIWA KUFANYA WHEN GREAT TRIBULATION WILL ASCEND ON YERUSALEM.
KWAKUWA WAISRAEL WA KWELI (TRUE AND ORIGINAL ISRAELITES) WALIKUWA WAMEKIMBIA MAENEO HAYO YA AFRIKA YA KASKAZINI MASHARIKI, SWALI LA KUJIULIZA HAPA NANI WALIKUWA WAJUMBE WA LILE BARAZA LA YAVNEH (JAMNIA)?
PILI BARAZA LINGINE LA KWANZA NA LA PILI LA NICAEA "NICEA" CHINI YA EMPEROR CONSTANTINO LILIKUWA NA MADHUMUNI YA KUJADILI NATURE OF YESU/YASHUA, KUJADILI KUWEKA SIKU YA PASSOVER (PASAKA) NA MISINGI YA UBATIZO. NA HAPA NDIPO NASADIKI ILIPOZALIWA. BARAZA HILI LILIFANYIKA MWAKA 325 AD NA LA PILI LILIFANYIKA MWAKA 787 AD. NA HAYA MABARAZA YOTE MATATU YALITANGULIWA NA BARAZA LA YERUSALEM LA MWAKA 50 AD.
MJADALA KATIKA BALAZA HILI ULIKUWA MKALI SANA MAANA CONSTANTINO ALIWAALIKA MAASKOFU WOTE. KUMBUKA MAASKOFU WASOMI WENGI MDA HUU WALIKUWA KUTOKA AFRIKA YA KASKAZINI NA MASHARIKI. THE REST BISHOPS WALIKUWA WAJUMBE NDIO KAMA WABUNGE WA CCM NA CONSTANTINO ALIWAHOFIA HAWA MAASKOFU WA KUTOKA AFRIKA MAANA THEY WERE THE ONE WHO KNOW WHO WAS YASHUA AS A HUMAN HASA PADRI ARIUS WA LIBYA NDIE ALIKUWA ANAOGOPEKA KWA MISIMAMO YAKE YA KUSIMAMIA UKWELI UNAOTAKA KUPINDISHWA. MWISHOWE AKAUWAWA MAANA ALIKUWA ANAPINGANKUMFANYA YESU MUNGU.
KWAKUFAHAMU JINSI WAZUNGU WANAVYOWEZA KUKUATAKI KIPROPAGANDA WALIMSHINDWA NA WAKAMUUA
KUMBUKA CONSTANTINO ALIITISHA SINODI HILI KWA SABABU YA NDOTO YAKE. KWAMBA "KUPITIA MSALABA NITATAWALA" THROUGH CROSS I WILL CONQUER.
HAWA MAASKOFU WA AFRIKA WANAJUA KUWA YESU/YASHUA HAKUFA MSALABANI. BALI WALIMNYONGA KWENYE MTI. REJEA THE BOOK OF ACTS SURA YA 10: 32-35. HIVYO DHANA YA MSALABA ILITOKANA NA UBUNIFU WA HUYU COSTANTINO NA AKAENFORCE IWE NDIO HABARI MUHIMU KUWA YASHUA ALIKUFA MSALABANI.
HIVYO UKISOMA VYEMA HISTORIA YA KANISA NA MAFUNDISHO YA UKRISTU YAKUWA NA MSINGI UTOKANAO NA MAANDIKO YA VITABU VYA BIBLIA UTAFAHAMU KUWA MAANDIKO YAMEHARIRIWA NA KUBORESHWA KWA MALENGO YAO MAALUMU HASA YA KUTENGENEZA MISUKULE ISIOWEZA KUHOJI BALI KUPOKEA NA KUAMINI TU.
KUHITINISHA MY PREMISE YA KWANZA KTK MJADALA HUU NI KWAMBA HADITHI ZILIZOPO KWENYE BIBLIA YA LEO ZILIHARIRIWA KATIKA NYAKATI MBALIMBALI KATIKA MAMLAKA MBALIMBALI HIVYO SIO RELIABLE SOURCE YA KUJIABALISHA NA KUABALISHA.
FIGISU FIGISU ZIMEFANYIKA SANA. NDIO MAANA WALIKATAA VITABU VINGINE VISIWEKWE KABISA KWENYE MKUSANYIKO HUO WA VITABU VTA BIBLIA. AMBAKO NDIKO UTAKUTA HADITHI TOFAUTI NA ZILE ZILIZOPO KWENYE BIBLIA YA LEO.
MFANO HADITHI YA NUHU NA WANAWE, HADITHI YA GHARIKA YA DUNIA NA BUSTANI YA EDEN.
Ambaye ni Adam? Lilith? Eva? Au huyu wa Olduvai gorge? Je nafasi ya Babylon na Eden nk nk zinakaa wapi kwenye hili? Je Unazungumzia kwa muktadha wa historic world au pre-historic ?
Sinodi ama baraza la "Yavneh - Jamnia- Jabneh" mwaka 90-100 AD ndio walioandika. Yavneh ulikuwa ni mji wa pili katika historia ya kuondoa mambo ya kweli ya WAUMINI WA KWELI WA YASHUA (YESU). HILI BARAZA NDILO LILILOANDIKA KITABU CHA MWANZO NA PIA KUCOMPILE BIBLE. MAANA NAFAHAMU WAZI KWAMBA BIBLIA NI KITABU CHENYE MKUSANYIKO WA VITABU MBALIMBALI KUTOKA KWA WAANDISHI MBALIMBALI NA KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI.
Kitu muhimu hapa inatakiwa tuelewe kuwa, miaka hii WAISRAELI ASILI NA WAKWELI WALISHAKIMBIA ENEO HILI PALE WARUMI WALIPOVAMIA YERUSALEM MWAKA 70 AD ( Destruction of Temple). UKISOMA MATHAYO 24:15-21 UTAELEWA KUWA YESU ANAWATAHADHALISHA WATU NINI WATATAKIWA KUFANYA WHEN GREAT TRIBULATION WILL ASCEND ON YERUSALEM.
KWAKUWA WAISRAEL WA KWELI (TRUE AND ORIGINAL ISRAELITES) WALIKUWA WAMEKIMBIA MAENEO HAYO YA AFRIKA YA KASKAZINI MASHARIKI, SWALI LA KUJIULIZA HAPA NANI WALIKUWA WAJUMBE WA LILE BARAZA LA YAVNEH (JAMNIA)?
PILI BARAZA LINGINE LA KWANZA NA LA PILI LA NICAEA "NICEA" CHINI YA EMPEROR CONSTANTINO LILIKUWA NA MADHUMUNI YA KUJADILI NATURE OF YESU/YASHUA, KUJADILI KUWEKA SIKU YA PASSOVER (PASAKA) NA MISINGI YA UBATIZO. NA HAPA NDIPO NASADIKI ILIPOZALIWA. BARAZA HILI LILIFANYIKA MWAKA 325 AD NA LA PILI LILIFANYIKA MWAKA 787 AD. NA HAYA MABARAZA YOTE MATATU YALITANGULIWA NA BARAZA LA YERUSALEM LA MWAKA 50 AD.
MJADALA KATIKA BALAZA HILI ULIKUWA MKALI SANA MAANA CONSTANTINO ALIWAALIKA MAASKOFU WOTE. KUMBUKA MAASKOFU WASOMI WENGI MDA HUU WALIKUWA KUTOKA AFRIKA YA KASKAZINI NA MASHARIKI. THE REST BISHOPS WALIKUWA WAJUMBE NDIO KAMA WABUNGE WA CCM NA CONSTANTINO ALIWAHOFIA HAWA MAASKOFU WA KUTOKA AFRIKA MAANA THEY WERE THE ONE WHO KNOW WHO WAS YASHUA AS A HUMAN HASA PADRI ARIUS WA LIBYA NDIE ALIKUWA ANAOGOPEKA KWA MISIMAMO YAKE YA KUSIMAMIA UKWELI UNAOTAKA KUPINDISHWA. MWISHOWE AKAUWAWA MAANA ALIKUWA ANAPINGANKUMFANYA YESU MUNGU.
KWAKUFAHAMU JINSI WAZUNGU WANAVYOWEZA KUKUATAKI KIPROPAGANDA WALIMSHINDWA NA WAKAMUUA
KUMBUKA CONSTANTINO ALIITISHA SINODI HILI KWA SABABU YA NDOTO YAKE. KWAMBA "KUPITIA MSALABA NITATAWALA" THROUGH CROSS I WILL CONQUER.
HAWA MAASKOFU WA AFRIKA WANAJUA KUWA YESU/YASHUA HAKUFA MSALABANI. BALI WALIMNYONGA KWENYE MTI. REJEA THE BOOK OF ACTS SURA YA 10: 32-35. HIVYO DHANA YA MSALABA ILITOKANA NA UBUNIFU WA HUYU COSTANTINO NA AKAENFORCE IWE NDIO HABARI MUHIMU KUWA YASHUA ALIKUFA MSALABANI.
HIVYO UKISOMA VYEMA HISTORIA YA KANISA NA MAFUNDISHO YA UKRISTU YAKUWA NA MSINGI UTOKANAO NA MAANDIKO YA VITABU VYA BIBLIA UTAFAHAMU KUWA MAANDIKO YAMEHARIRIWA NA KUBORESHWA KWA MALENGO YAO MAALUMU HASA YA KUTENGENEZA MISUKULE ISIOWEZA KUHOJI BALI KUPOKEA NA KUAMINI TU.
KUHITINISHA MY PREMISE YA KWANZA KTK MJADALA HUU NI KWAMBA HADITHI ZILIZOPO KWENYE BIBLIA YA LEO ZILIHARIRIWA KATIKA NYAKATI MBALIMBALI KATIKA MAMLAKA MBALIMBALI HIVYO SIO RELIABLE SOURCE YA KUJIABALISHA NA KUABALISHA.
FIGISU FIGISU ZIMEFANYIKA SANA. NDIO MAANA WALIKATAA VITABU VINGINE VISIWEKWE KABISA KWENYE MKUSANYIKO HUO WA VITABU VTA BIBLIA. AMBAKO NDIKO UTAKUTA HADITHI TOFAUTI NA ZILE ZILIZOPO KWENYE BIBLIA YA LEO.
MFANO HADITHI YA NUHU NA WANAWE, HADITHI YA GHARIKA YA DUNIA NA BUSTANI YA EDEN.
toka mwanzo nilihisi una hoja na una kitu unakijua....... lkn kwa haya uliyoyaandika nimegundua HUJUI HATA KIMOJA ....... umeandika uongo mwingi sana hapa kuanzia habar ya kujadili ubatizo mpk msalaba....... enewei nadhan una dhamira yako so siwez kusema neno!
SOMENI INJILI YA BARNABAS NA INJILI YA JUDAS ISKARIOTI
The Gospel of Barnabas
Gospel of Judas Gospel of Judas - Google Search
Nashukuru kwamba umejifunza, wafundishe na wanao. Nilifukuzwa Seminary kwa sababu ya kuhoji mamlaka. Sembuse wewe Msukule a.k.a Muumini. Tafuta Maarifa yatakuweka huru
Ndg kwa kuwaongezea, watafute vitabu kama 1-2 ESDRAS, Kitabu cha Enoch, kitabu cha Jasher (Yasher), kitabu cha Jubilees. Halafu wasome pia The book of the coming forth day and night by our forefathers and foremothers in Ancient Egyptah
Kuijua biblia au kujua mafumbo yake ni kitu ambacho kinapatikana ktk hadithi za kusadikika za waandishi empty spritual na waliofeli kama yuda iskariot na wengine wenye akili ya darasani...Ukitaka kuelewa maneno ya MUNGU ni yeye mwenyewe akufunulie kupitia Holly Spirit au watu wa kweli wenye huyu Roho ndani yao...Only HOLLY SPIRIT...bila huyu ndo sababu hata wakristo wengi wameingia Chaka.Anaongea,,anasisitiza na anakumbusha.Na anafundisha from scratch,,,Mambo ya spirit hasa mafumbo na yasioelezeka yanaeleweka Spiritual kupitia HOLLY SPIRIT.SOMENI INJILI YA BARNABAS NA INJILI YA JUDAS ISKARIOTI
The Gospel of Barnabas
Gospel of Judas Gospel of Judas - Google Search
Hii kitu inaelekea kuwa na ukweli fulaniDunia imeanzia afrika tena afrika mashariki Adam alikuwa mweusi hata ayubu pianalikuwa mweusi..bustan ya eden ilipatikana afrika ndo mana kila.aina ya wanyama wanapatikana afrika..milima na mito wanayoiongelea katika bible ndo hii iliyoko afrika mashariki....ila hawa jamaa weupe wametuzid ujanja wame turn history na kuwa yao....jiulize mpaka leo hii fuvu la mtu wa kale ni lile.lililopatikana olduvai gorge tu hakuna lililopatikana middle east