Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,344
- 864,977
- Thread starter
- #221
Naomba tukisome na tuelewe between the lines. Wazungu sii wajinga kutumia trillions of money kuchimbua chini ili wapate kuona mambo kale kule MESOPOTAMIA.Ni muda mrefu tangu thread hii mkongwe Mshana Jr uanzishe.
Nikiwa huko Ulayae, nilipita pita sana katika makumbusho yao, hasa kwenye maktaba zao, nyingi kati allo ya hizo zipo restricted. Kwa kuwa nilisha kuwa raia wao kwa kuoa na kufanya kazi nchi kadhaa zao, hasa za kiutafiti, hivyo zuio halikunihusu sana. Nilijisomea mambo mengi ya kale. Wazungu waliyafatilia kwa undani sana tena very seriously tangu karne ya 12. Kunako karne za 16 hadi 19, au hadi Leo, bado wanafuatilia mambo huko MASHARIKI YA KATI, yaani nchi za IRAQI na IRAN kwa upekee, ingawa na zingine zipo. Kwa jina la ujumla the " MESOPOTAMIA". Huko ndiko kulikoanzia ustaarabu wote, I e, sayansi, maendeleo n.k. Hivyo hata dini zote hapa DUNIANI, msingi wake ni huko. Na chanzo cha asili ya kutokea kwa dunia yetu, kimeelezewa huko. Ni kweli, binadamu alifanyiwa " GENETIC ENGINEERING" hapa pande ya hii AFRIKA!
Haya yamefunuliwa kiasi katika kitabu cha " mtafiri wa mambo kale na mwandishi wa vitabu" katika moja ya vitabu vyake, hasa cha "The 12th Planet".
Ipo kama hadithi, lakini mengi ni facts.
Naomba tukisome na tuelewe between the lines. Wazungu sii wajinga kutumia trillions of money kuchimbua chini ili wapate kuona mambo kale kule MESOPOTAMIA.
Wamepata mengi, even the shuttle rockets/ships, engines, farming, botanicals things, etc.
Wamepata mengi, even the shuttle rockets/ships, engines, farming, botanicals things, etc💪🏿✔.