Je, Dunia ilianzia Mashariki ya Kati?

Je, Dunia ilianzia Mashariki ya Kati?

Mkuu kuna hii kitu inaitwa Darwinism, i.e., the theory of darwin inazungumzia upande wa pili kuhusu "The human intelligence design"


Ukitoka hapo...jaribu kufuatilia hii hapa chini inayosema namna binadamu alivyoendelea na kuweza kujitawala huku mabadiliko makubwa yakianzia middle east katika bustan ya "Eden..."





Nipo kwa ajili ya kuongeza ufahamu nitafanya hivyo
 
mbona izo picha n za kuchora
Kumbuka hayo sio mambo ya juzi wala karne 10 zilizopita tunaongolea habari za pre-historic world uumbaji wa mwanzo kabisa...picha halisi yoyote utakayoonyeshwa hiyo ni ya kutengenezwa
 
Kumbuka hayo sio mambo ya juzi wala karne 10 zilizopita tunaongolea habari za pre-historic world uumbaji wa mwanzo kabisa...picha halisi yoyote utakayoonyeshwa hiyo ni ya kutengenezwa

ooh sawa mkuu hapo nmekuelewaa
 
Nijuavyo Mimi kugundulika kwa fuvu la kale kwa eneo Fulani sio kigezo cha kuwa binadamu wa kwanza aliishi hapo. Maana miamba ya eneo huathiri fuvu. Inasemekana sehem yenye miamba ya calcium carbonate km North Tanganyika mafuvu yake yanakaa na taarifa kwa muda mrefu kuliko maeneo mengine, hivyo unaweza kuta mtu wa kale hakutokea arusha wala south Africa ila eneo jingine ambalo miamba yake inafanya mifupa kupoteza taarifa kwa urahs
 
Nijuavyo Mimi kugundulika kwa fuvu la kale kwa eneo Fulani sio kigezo cha kuwa binadamu wa kwanza aliishi hapo. Maana miamba ya eneo huathiri fuvu. Inasemekana sehem yenye miamba ya calcium carbonate km North Tanganyika mafuvu yake yanakaa na taarifa kwa muda mrefu kuliko maeneo mengine, hivyo unaweza kuta mtu wa kale hakutokea arusha wala south Africa ila eneo jingine ambalo miamba yake inafanya mifupa kupoteza taarifa kwa urahs
Na hoja ndio hoja yangu tusitweze na tafiti za wazungu na kuzikubali tu kuwa ni za wazungu tuwe watu wa kuhoji na kama mwanzoni hakuna waliohoji basi ni zamu yetu sasa nasi kuhoji japo kupitia JF
 
Haya mambo watu wanayachukulia poa poa tu bila kujua kuwa yamebeba siri na maana kubwa sana kwa wale ambao wanajua hasa nini wanachokifanya.....

Mpaka pale ambapo tutakuja kujua maana ya haya ndio tutaweza kujenga hoja kwa ukamilifu wake.....
 
Mi nakubali dunia ilianzi huko...Adam ndiye binadamu wa kwanza kuexist....Biblia inasema alibarikiwa watoto wengi wa kike na wa kiume,ambao probably walioana ili kuijaza dunia..wakasambaa katika uso wa dunia,Historia ikaenda mpaka kwa Nuhu,ambaye alipata watoto wa 3,Mmoja wa watoto ni baba wa wa kushi(Ethiopia na maeneo mengine ya Africa..laana aliyopewa na baba yake ilipelekea kuzaa mtoto mweusi,Shem alibaki huko huko na ndio baba wa watu wa Asia..wakati Japhet ni baba wa wazungu
 
Mi nakubali dunia ilianzi huko...
Sidhani.....
Adam ndiye binadamu wa kwanza kuexist....
Sawa....
Biblia inasema alibarikiwa watoto wengi wa kike na wa kiume,ambao probably walioana ili kuijaza dunia..wakasambaa katika uso wa dunia,Historia ikaenda mpaka kwa Nuhu,ambaye alipata watoto wa 3,Mmoja wa watoto ni baba wa wa kushi(Ethiopia na maeneo mengine ya Africa..
Hapa ndio chenga zinaanzia.....
laana aliyopewa na baba yake ilipelekea kuzaa mtoto mweusi,Shem alibaki huko huko na ndio baba wa watu wa Asia..wakati Japhet ni baba wa wazungu
Aliyekuambia Kush ni Afrika nani?

Unazungumzia Afrika eneo au watu wa Afrika?
 
You are right lakini uelewe kuwa vitabu hivi "vitakatifu" viliandikwa na watu wa maeneo hayo kwa manufaa na madhumuni yao wenyewe.......lnitially
napenda avatar yako....I really admire MANSA MUSSA....
 
Je israel ni waarabu au wazungu??!!waisrael ni jamii ambayo ina dini zote waislam,wakristo,pagan,yahudi nk.
Waisrael ndo waliishi mwanzoni hapo palestina na ndo yalikuwa makazi yao kabla ya kutokea njaa zama za yusufu kitu kilichopelekea wakimbilie misri kwa ndugu yao waliemtesa yusufu.huku nyuma wapalestina katika pitapita kutoka sham na saudi wakakuta mji uliotelekezwa hivyo wengi wao wakaweka makazi hapo kwa makarne mengi hadi kipindi cha musa kuja kuwatorosha na kupasua bahari wakimkimbia farao aliekuwa anawaua waisrael.
Kurudi kwao wakakuta waarabu wamehamia hapo na wakipaita falastini hapo ndo vita hadi leo haiishi ya kugombea ardhi.
 
Je israel ni waarabu au wazungu??!!waisrael ni jamii ambayo ina dini zote waislam,wakristo,pagan,yahudi nk.
Waisrael ndo waliishi mwanzoni hapo palestina na ndo yalikuwa makazi yao kabla ya kutokea njaa zama za yusufu kitu kilichopelekea wakimbilie misri kwa ndugu yao waliemtesa yusufu.huku nyuma wapalestina katika pitapita kutoka sham na saudi wakakuta mji uliotelekezwa hivyo wengi wao wakaweka makazi hapo kwa makarne mengi hadi kipindi cha musa kuja kuwatorosha na kupasua bahari wakimkimbia farao aliekuwa anawaua waisrael.
Kurudi kwao wakakuta waarabu wamehamia hapo na wakipaita falastini hapo ndo vita hadi leo haiishi ya kugombea ardhi.
c6f995c1e4310383c73f700ff1d96e5a.jpg
 
Mi nakubali dunia ilianzi huko...Adam ndiye binadamu wa kwanza kuexist....Biblia inasema alibarikiwa watoto wengi wa kike na wa kiume,ambao probably walioana ili kuijaza dunia..wakasambaa katika uso wa dunia,Historia ikaenda mpaka kwa Nuhu,ambaye alipata watoto wa 3,Mmoja wa watoto ni baba wa wa kushi(Ethiopia na maeneo mengine ya Africa..laana aliyopewa na baba yake ilipelekea kuzaa mtoto mweusi,Shem alibaki huko huko na ndio baba wa watu wa Asia..wakati Japhet ni baba wa wazungu
Kwahyo huu uzao wa watu weusi ni laana.. Ndio maana huku majanga hayakatiki, yanatirrka tu kama mvua za masika
 
Back
Top Bottom