Au siyo?Chatu is overrated
Ni jongoo aliyenenepa
Au siyo?Chatu is overrated
Ni jongoo aliyenenepa
The most aggressive ni Tiger hasa Siberian tiger sio Leopard.Leopard wanasema ndo the most aggressive big cat
Hapana ni jaguar ndo mtata sanaLeopard wanasema ndo the most aggressive big cat
Kwanza nasikia chatu anatisha usoni na ana macho makali! Kwahiyo ikitokea ukabahatika kujitupa chini kabla hajakuviriga nasikia hakati tamaa kirahisi atakutambaa mwili mzima akifika usoni anakutazama kama mtu!Kuandika rahisi mkuu. Ila ikiwa ndo tukio mubashara panic tu inaweza mrahisishia bwana chatu kukumeza maana unaweza baki unabweka tu bwiii, bwiiii, bwiiii hata hajajiviringisha bado.
Nyoka mwenye uwezo wa kukumeza utachanaje mdomo wake?
Pia wanasema eti chui hawindi binadamu! Sasa sijui wanamaanisha chui yupi kati ya leopard na tiger!Leopard wanasema ndo the most aggressive big cat
Haya mambo aliwezaga Samson tu aiseNyoka mwenye uwezo wa kukumeza utachanaje mdomo wake? [emoji38]
Kweli mkuu!Wote hao kwa kiswahili ni chui ila lugha ya kiingereza ndiyo imewatofautisha leopard ni chui mwenye madoa (chui madoa) ila tiger ni chui mweye mistari (chui milia)! Tanzania sidhani kama tuna tigers ila leopards tunao ndiyo maana watu wengi hudhani leopard tu ndiyo chui!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili utumie hiko kiwembe inabidi uwe na mambo yafuatayo
1)Chatu aelewe hitajio lako aache kubana mikono
2)Aache kubana mifuko yako endapo umeweka mfukoni
3)Aache kubana shingo na mapafu ili upate punzi na ufahamu wa kuwaza kiwembe
4)lazima ongee na chatu kwanza kwamba chatu akwambie kesho nakukamata so beba kiwembe
Mkuu na kuna wale wengne ni jamii hiihii ya paka lakin wao ni weusi sana huwa wanaitwaje ?Wewe umepata wapi hii kitu, Tiger wanapatikana India, Srilanka, Russia na sehemu fulani za asia tu na ni mkubwa sawa na simba au hata kumzidi simba (Siberian Tiger), ngozi yake inayomichirizi myeusi na madoa ya njano. Jaguar yeye anapatikana Amerika ya kusini hasa katika misitu ya Amazon yeye anafanana sana na Chui wa huku Afrika na madoa ya ngozi yake yanafanana sana na yale ya chui ila yeye ni mkubwa kidogo kuliko chui na mdogo kuliko Simba na hapendi kukwea mitini kama chui ila ni muogeleaji mzuri na chakula chake kikuu ni mamba (Caiman crocodile) na Wanyama wa mitoni kama Capebara nk, Waweza kusema Chui na Jaguar wanafanana mno kimaumbile kuliko Jaguar na Tiger, kwa taarifa na habari zaidi ya hao wanyama Google.
JAGUAR SIO MWEUSI....Jaguar mweusi uyo
DuhChatu anaweza kummeza hadi Tembo ila akimmeza anakaa hapo hapo had aozee ndo aondoke,,chatu mwili wake upo kama mpira unatanuka ,
Chatu anaweza kumeza hadi gari ndogo kama Passo Vitz nk
Mkuu kumbuka kuna aina nyingi za jaguarJAGUAR SIO MWEUSI....
Hana tofaoti sana na LEOPARD ila anapatika kwenye misitu ya amazon tuu duniani...wakati leopard anapatikana karibia kila bara hasa Africa ndo wapo wengi wa mfano...
wale unaoona wanawinda kwenye maji hao ni jaguars nadhani mazingira ya misitu ya amazoni imechangia kwenye hiyo tabia
View attachment 1732432View attachment 1732433View attachment 1732434View attachment 1732436
Mkuuu hyo uwezo wa kuvuka mto mbele ya mamba naona ni hali ya ujasiri aliokuwa nao simba na mamba wanalitambua hilo.kuwa simba sio muoga na ili kumwa attack huwa shughuli pevu,ninachompendea simba ni ile hali ya ujasiri aliokuwa nao ambao baadhi ya wanyama wengne hawanaSimba wanavuka mto wenye mamba wengi na watata kama huko Zimbabwe mbuga yao moja imezungukwa na maji duma linabaki likiunguruma tuu kuwakinga watoto wakivushwa na jike Simba wanakula bangi sio kuvuta Mkuu... Kruger's game hapo Simba wanaweza kukaa barabarani masaa mengi hata hawajali wanatoka muda wanaotaka wao taratibu...
Wewe jamaa acha kunivunja mbavu.Chatu is overrated
Ni jongoo aliyenenepa
Jaguar kunaJAGUAR SIO MWEUSI....
Hana tofaoti sana na LEOPARD ila anapatika kwenye misitu ya amazon tuu duniani...wakati leopard anapatikana karibia kila bara hasa Africa ndo wapo wengi wa mfano...
wale unaoona wanawinda kwenye maji hao ni jaguars nadhani mazingira ya misitu ya amazoni imechangia kwenye hiyo tabia
View attachment 1732432View attachment 1732433View attachment 1732434View attachment 1732436
Kweli mkuu sifa nyingne ya huyo chui (Leopard) hana rafiki na pia hataki urafikii na hafugiki hata kidgo ni atari sana ukikutana nae andika umeumia 😁Unachanganya Chui(Leopard) na Duma(Cheetah).
Cheetah ndio mwenye tabia hizo kwasababu katika wanyama walanyama cheetah ndio mdhaifu anazinguliwa hadi na fisi ila sio
Leopard huyo ni Badass anaroho mbaya fisi mwenyewe anamuheshimu hana haja ya kukutisha ukimbie yeye anakuvaa mzimamzima