Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Chatu anaweza kummeza hadi Tembo ila akimmeza anakaa hapo hapo had aozee ndo aondoke,,chatu mwili wake upo kama mpira unatanuka ,
Chatu anaweza kumeza hadi gari ndogo kama Passo Vitz nk
Kuna chatu mmoja alishikwa na njaa akameza bonge la jiwe lenye uzito wa nusu tani.🤣🤣