Hahaha dinasours wa kwenye Jurassic Park/World wanaweza mkuuHata Dinasour hawezi mezaTembo wala IST.
Anatanuka joh! Chatu ana mwili elastic!Mbona mdogo anaweza kumeza mtu huyu
Unamezwa tu. Huna namna.Nami niliwaza hilo la kumkamata bichwa lake ila hiyo itafaa ikiwa hajakubana hadi mikono! What if akakuwahi akakubana hadi mikono ukabaki umenyooka kama moja utafanyaje?
Leopard ni Chui madoaLeopard ni chui
Tiger ni chui milia
Jaguar ni jamii ya chui madoa! Ila watu wengi wanajuaga huyo cougar/puma ndiyo jaguar!Pia anaweza kuwa Jaguar
Dianosor wa ardhini mkubwa kiumbo ni yule mwenye shingo ndefu, So Trex na Spanous ambao ndio Apex Predate Size ya mwili wao ni mkubwa kuliko Tembo ila sio ukubwa wa kuweza kummeza Tembo atamla kwa vipande vipande mpaka aishe Kwanzaa hawana sifa ya kumeza wanamega na kutafuna...Hahaha dinasours wa kwenye Jurassic Park/World wanaweza mkuu
Ila inasemakana dinasours waliokuwepo zamani waliweza aise
Maana wanasema kuna waliokuwa wanafikia size ya mlima
Kama tu ambavyo kuna nyangumi wanafikia size ya kisiwa
Kuna clip moja niliicheki simba tena jike linarushwa Mateke na twiga hadi likasalimu amriHii midude mikubwa alafu aggressive inampiga biti mpaka Tembo mkubwa anarudi nyuma anakuja speed.
Hahaha bora hata majambazi yanaweza yakakuhurumia yakaghairi kukuua mkuu! Huyo bwana mkubwa hadi afikie hiyo hatua basi we jihesabu ushageuzwa kitoweo tu!Unamezwa tu. Huna namna.
Ni kama mkeo kuna point ikishafika anakuwa helpless anakubali tu utimize nia yako hata kama ana hasira sana na hataki. Au ushtuke usiku ukute majambazi yamezunguka kitanda na mapanga, risasi n.k hapo huna ujanja tena.
Jaguar wako aina tatuJaguar ni jamii ya chui madoa! Ila watu wengi wanajuaga huyo cougar/puma ndiyo jaguar!
Yeah dinasours wengi wanakata na kutafuna! Anyway hizi za kumeza magari nahisi huwa ni theories tu!Dianosor wa aldhini mkubwa kiumbo ni yule mwenye shingo ndefu, So Trex na Spanous ambao ndio Apex Predate Size ya mwili wao ni mkubwa kuliko Tembo ila sio ukubwa wa kuweza kummeza Tembo atamla kwa vipande vipande mpaka aishe Kwanzaa hawana sifa ya kumeza wanamega na kutafuna...
Hata ng'ombe anamezwa mkuu! By the way hivi wale anaconda wa amazon hawamezi tembo kweli?Hatakama inategemea na Size ili kummeza kiumbe kikubwa kama huyo atameza Puppy, Kitty na pets wengine.
[emoji23][emoji23] uyo chatu yupi tena jamani?Chatu anaweza kummeza hadi Tembo ila akimmeza anakaa hapo hapo had aozee ndo aondoke,,chatu mwili wake upo kama mpira unatanuka ,
Chatu anaweza kumeza hadi gari ndogo kama Passo Vitz nk
Duuh nimewaza sasa wakimuona yule mweusi wanawezaje kutofautisha kuwa huyu ni jaguar na huyu ni cougar (puma)Jaguar wako aina tatu
*madoa
*madoa na weusi
*mweusi full
Puma common colour yake ni ya simba nyeusi ni optional na hivyohivyo kwa jaguar common ni madoamadoa nyeusi ni optional.
Chatu kama moja ya mnyama anayekula wanyama wengine hakuna utata kuwa chatu anaweza mshambulia na kumla Mbuzi, Mbwa, Swala nk.
Swali: je, chatu mkubwa anaweza mshambulia mnyama jamii ya paka akamla mfano Simba, chui na Duma?